Niko njia panda: Mimi ni masikini na ninayempenda kwao ni masikini zaidi

Niko njia panda: Mimi ni masikini na ninayempenda kwao ni masikini zaidi

Hivi Magufuli si huwa anasema alikuwa masikini lakini leo Rais...

Hivi Kikwete si kaandika kitabu chenye jina "Kutoka kijana mtembea peku hadi kuwa Rais"...

Hivi Bakhressa si alikuwa fundi mshona viatu K'koo...

It's always possible to build something out of nothing
 
Hivi Magufuli si huwa anasema alikuwa masikini lakini leo Rais...

Hivi Kikwete si kaandika kitabu chenye jina "Kutoka kijana mtembea peku hadi kuwa Rais"...

Hivi Bakhressa si alikiwa fundi mshona viatu K'koo...

It's always possible to build something out of nothing
Kwa hiyo nitembee kifua mbele huku nikiwa na matumaini kuwa siku moja nitakuwa "mtu fulani" sio!![emoji39][emoji39]
 
ukweli nampenda huyu mwanamke na naamini nae ananipenda, natamani tuje kuishi pamoja(mke na mume), mimi natoka familia masikini(naweza sema sana) ila mwenzangu amezidi. nimejitoa kua kwa lolote nijitahidi kwa kadri nitakavyoweza, ila kuna muda kuna kasauti kananijia kua haya majukumuni makubwa sana hovyo kama kananishawishi ni stop. silelewi. ingawa kwa asilimia kubwa moyo unanituma kukomaa nae as long personally tuna match.
Jichanganye umwoe utakuja kulia siku moja!
Otherways huyo mdada ana ajira au elimu ya kuweza kujisimamia hata kwenye biashara iwapo akiwezeshwa na umpime katika hilo kabla hujamwoa ila kama mama wa nyumbani jipange kuhudumia kwao kila mwezi wanaomba hela na ukute ni zile familia zenye watoto wengi jiandae na kusomesha.
Kingine wanawake waliotoka familia maskini sana ndo wanabadirika na kuwa na roho mbaya badae hubagua ndugu zako na huweza hata kusubiri mkishafanikiwa kidogo kwenye maisha wanatafuta sababu muachane ili mgawane mali
Ngoja niishie hapo kwanza!
 
Na kushauri mchukue tu sawa msaada kwa familia yao utaombwa ila sio zaid ya unavyo fikiria na ndy itakua moja kati ya chachu ya kupambana kwa bidii ili mjinasue wote kutoka kweny hali ngumu ya kimaisha
Mdanganye tu.!
 
Halafu nimekumiss sana ujue!

Ngoja nije chemba.

Nimekumiss zaidi
Halafu leo mchana nilitaka nikuulize kitu(cha kijinga) nikahofia utauona ujinga wangu....halafu badae nikajisemea kwa wewe hata ukiujua ujinga wangu haina shida 😅😂
 
Nilichojifunza wengi waliochangia uzi huu hawana uzoefu na mabinti waliotoka familia maskini
 
Naona kama tayari umeji nyanyapaa kwa kujiwekea tabaka. Na ukasahau kwamba penye mapenzi ya dhati, tabaka halina nafasi. Yaani penzi la kweli hakichagui kamwe.
Nakuona tayari ukishindwa kulimudu ama kufanya maisha na yule umpendae kwasababu tayari umejiona kama haumfai/hautoshi
 
Kama ni masikini wa Mali tu lakini matajiri wa akili, busara na hekimu you are safe brother.....lakini kama ndo ni slay queen...hana future...hana akili..hana mwili wa kimabavu wa kuchakarika mean anamiliki maneno ya ushawishi tu TUTATAFUTA you are not safe
kiukweli ni masikini wa mali tu lakini akili, hekima, busara anazo. sio slay queen. sema tu kuna muda najiwa na woga kua muhimili wa familia mbili.
 
Nimekumiss zaidi
Halafu leo mchana nilitaka nikuulize kitu(cha kijinga) nikahofia utauona ujinga wangu....halafu badae nikajisemea kwa wewe hata ukiujua ujinga wangu haina shida 😅😂

Ha ha ha, eti cha kijinga!

Nasubiri uniulize, ni hapa hapa au PM?
 
Naona kama tayari umeji nyanyapaa kwa kujiwekea tabaka. Na ukasahau kwamba penye mapenzi ya dhati, tabaka halina nafasi. Yaani penzi la kweli hakichagui kamwe.
Nakuona tayari ukishindwa kulimudu ama kufanya maisha na yule umpendae kwasababu tayari umejiona kama haumfai/hautoshi

Anatafuta mseleleko huyo.
 
ukweli nampenda huyu mwanamke na naamini nae ananipenda, natamani tuje kuishi pamoja(mke na mume), mimi natoka familia masikini(naweza sema sana) ila mwenzangu amezidi. nimejitoa kua kwa lolote nijitahidi kwa kadri nitakavyoweza, ila kuna muda kuna kasauti kananijia kua haya majukumuni makubwa sana hovyo kama kananishawishi ni stop. silelewi. ingawa kwa asilimia kubwa moyo unanituma kukomaa nae as long personally tuna match.
Wealth or success is not sexually transmitted.
Cha muhimu kila mmoja apambane ili muweze ku move from wherever you are to the next
 
Jichanganye umwoe utakuja kulia siku moja!
Otherways huyo mdada ana ajira au elimu ya kuweza kujisimamia hata kwenye biashara iwapo akiwezeshwa na umpime katika hilo kabla hujamwoa ila kama mama wa nyumbani jipange kuhudumia kwao kila mwezi wanaomba hela na ukute ni zile familia zenye watoto wengi jiandae na kusomesha.
Duh! kaka kama unamjua, wako wengi kweli.
 
Back
Top Bottom