Niko njia panda, ushauri unahitajika

huggies 30,000 week 1
Ukunga 150,000 gharama za bima bila bima 750,000
Cerelac 30,000
Maziwa 30,000 mwezi
Set ya nguo,bebishow, mabeseni, chupa za maziwa andaa 500,000
Usafiri 50,000

Vingine wataongezea wadau.Tafakari chukua hatua!
[emoji16][emoji16][emoji16] daaah
 
Wakati unamwagia ndani ulitegemea nn?
 
UKIMWI umepima?
 
Safi mkuu,Umemshauri vizuri.
 
Maisha yana mambo ya ajabu sana
Mtoto yako tumboni
Watu wakitoa ushauri wa kutoa mimba,dogo hatakuwa na chance ya kuishi
Watu wakimshauri lea mkuu pata picha mzazi wako naye angetoa dogo atapata chance ya kuishi


Yaani huwezi amini uhai wa mtu unaamliwa hiki tunachoandika


wewe bwana huyo ni mwanao,HAKUNA USHAURI MWINGINE NAWEZA KUPA.
MPE CHANCE HUYO DOGO,UTANIKUMBUKA


WASALAAM,miminimkulimaakachekasana

 
Daaa kweli sema mzee na ulcers sasa buku perday mzozo
Ujue we dogo kiande kweli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unashangaa kula buku? Mimba ikikua mkeo atakula we utashinda njaa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…