Niko njia panda, ushauri unahitajika

Niko njia panda, ushauri unahitajika

Inategemea na wazazi. Wengine ni wakali na wanataka mpaka umalize kile kitu unachofanya (masomo) ndiyo uingie kwenye familia maana wanaona km ulienda kutafuta mapenzi na siyo elimu.
Mzazi mwenye huruma siku zote ni Mama tu
kwa nini asiwaambie ndugu? kwani kuna kosa kafanya. Kumpa mimba mtu lazima kuwe na taarifa kwa wazazi kwa pande zote husika. Atakayezaliwa anaunganisha familia nzima tusifiche
 
Inategemea na wazazi. Wengine ni wakali na wanataka mpaka umalize kile kitu unachofanya (masomo) ndiyo uingie kwenye familia maana wanaona km ulienda kutafuta mapenzi na siyo elimu.
Mzazi mwenye huruma siku zote ni Mama tu
Ukishampa mimba binti wazazi lazima wawe upande wako.
 
Vipi Lakin maraha uliyoyapata ukifananisha nanjia panda uliyopo kipi bora kuliko mwenzake?
 
Anza kubet tu kijana .iyo Boom kubwa sana .weka stake ya buku 5 kwa match 2 uokote 20k bila tamaa...sahivi na weka adi 100k kwa match 2 au 3 naondka na 400k + plus kufungua biashara zingine soon navuta ndiga ya ndoto zangu..
Endesha familia kwa kubet unee kama hujalaza watoto njaaa
 
Namawaga ndani miaka nenda rudi kikubwa kama umwshindwa kutumia kinga basi soma kalenda na uzielewe vizuri siku za huyo baharia mwenzako.
 
Nani aliyekwambia umefanya kosa? Kumpa mimba binti ukiwa chuo wala sio kosa. Kuna faida nyingi sana kama ukija kumuoa huyo binti na mkaendeleza familia yenu. Mimi nilimpa mimba mke wangu nikiwa second year chuo na nilikuwa na wasiwasi ila nikapiga moyo konde akazaa mtoto na baada ya miaka mitatu nikamuoa. Kwa sasa nina miaka 43 mtoto wangu yuko chuo kikuu nje ya nchi mwaka wa pili (umri kama wako). Nasubiri amalize apate kazi. Wenzangu ambao tuko umri sawa vitoto vyao ndio viko la saba kwa sasa. Nakaribia kuitwa babu kama mwanangu nae akitembelea nyota yangu ya ngono zembe

So dogo lea mimba waambie wazazi na uje kumuoa huyo binti faida utaziona baadae. Watu wengi wanaanza kusomesha watoto chuo wakati wanakaribia kustaafu. Wewe utamaliza kusomesha mtoto ukiwa 45 kisha una-concentrate na maendeleo mengine. Na asikwambie mtu kusomesha kazi sana ukilifanya mapema kutokana na kupata watoto mapema utatoboa kimaisha
Ulioa na 25?
 
tenor.gif
 
Anza kubet tu kijana .iyo Boom kubwa sana .weka stake ya buku 5 kwa match 2 uokote 20k bila tamaa...sahivi na weka adi 100k kwa match 2 au 3 naondka na 400k + plus kufungua biashara zingine soon navuta ndiga ya ndoto zangu..
Hahhhh kamalian,,,nitaanza
 
Acha uzwazwa ww jitutumue lea io mimba na wazee piga panga za maana ukimaliza chuo uone watavyofurah kupata mjukuu

Tatizo lenu ninyi vijana wa sasa mnawaona wazaz wenu km MUNGU wao wrnyewe huko wamepitia sn tu
Daaaa kweli,hakuna namna naweza kosa mtoto mbeleni mkuu
 
Chuo kikuu unajuta kumpa binti mimba? Hutakiwi kujuta umeshakuwa Sasa jipange kuhudumia mimba had mtoto atakaezaliwa, wape taarifa wazazi na mkae chini na binti muweke mikakati ya baadae...
 
Dogo jiandae kulea, Tu

Yai limepasuka huwezi kuliunga, simama kiume, mpe uhalisia mwenza wako, Kupitia Boom lako ishini maisha yenu.
 
Back
Top Bottom