Niko njia panda, ushauri unahitajika

Niko njia panda, ushauri unahitajika

Maziwa ya 30000 hayakai hata week
Kazi ipo aisee 😂😂😂 bado nyumba lazma ukapange na sio rum 1 ina maana ni chumba na sebule na hapo inategemea binti kwao papoje
 
Nani aliyekwambia umefanya kosa? Kumpa mimba binti ukiwa chuo wala sio kosa. Kuna faida nyingi sana kama ukija kumuoa huyo binti na mkaendeleza familia yenu. Mimi nilimpa mimba mke wangu nikiwa second year chuo na nilikuwa na wasiwasi ila nikapiga moyo konde akazaa mtoto na baada ya miaka mitatu nikamuoa. Kwa sasa nina miaka 43 mtoto wangu yuko chuo kikuu nje ya nchi mwaka wa pili (umri kama wako). Nasubiri amalize apate kazi. Wenzangu ambao tuko umri sawa vitoto vyao ndio viko la saba kwa sasa. Nakaribia kuitwa babu kama mwanangu nae akitembelea nyota yangu ya ngono zembe

So dogo lea mimba waambie wazazi na uje kumuoa huyo binti faida utaziona baadae. Watu wengi wanaanza kusomesha watoto chuo wakati wanakaribia kustaafu. Wewe utamaliza kusomesha mtoto ukiwa 45 kisha una-concentrate na maendeleo mengine. Na asikwambie mtu kusomesha kazi sana ukilifanya mapema kutokana na kupata watoto mapema utatoboa kimaisha
i second this. Hakuna kosa kabisa waambie wazee na maisha yataendelea cha msigni concentrate na binti huyo huyo sio ujione yako inasimama sana umtelekeze.
 
Ukiwa chuo kikuu wewe tayari ni mtu mzima na unaruhusiwa kuwa na familia. Huwezi kukimbia majukumu siku zote kwasababu yapo tu
Watu wanasoma chuo wana wake zao, wanafunga ndoa hapo hapo chuo na hata ukiwa na miaka 60 bado utasoma chuo.
Watu ambao hawaruhusiwi kujiingiza kwenye mapenzi ni kuanzia elimu ya msingi, secondary na diploma
Mapenzi na shule hayajawahi kuchanganyika kama mafuta na maji.
Pole sana kijana, wevuna ulicho panda tu maana wazee walikupeleka shule ukasome na badala yake ukaenda kufanya mapenzi.
 
Peleka ujinga wako huko
Wakati unaenda kuto....mbn. ulituambia
Pambana na hali yako mzee
Hivi hii tabia ya wanafunzi kufanya ngono mtaacha lini?

Kwan wanafunzi hawana vya kutombea?
 
Ukiwa chuo kikuu wewe tayari ni mtu mzima na unaruhusiwa kuwa na familia. Huwezi kukimbia majukumu siku zote kwasababu yapo tu
Watu wanasoma chuo wana wake zao, wanafunga ndoa hapo hapo chuo na hata ukiwa na miaka 60 bado utasoma chuo.
Watu ambao hawaruhusiwi kujiingiza kwenye mapenzi ni kuanzia elimu ya msingi, secondary na diploma
Sawa mkuu,
 
Kila kitu kipo wazi hapo mkuu.

Usiogope majukumu.

Ndio wakati wako sasa kuwa baba pambana mkuu.

Hakikisha mama na mtoto wana furaha usiwe chanzo cha tabu kisa wewe.

Hapa tuzungumze kuhusu jina la mtoto.

Me ---> Brighton/Salim

Ke ----> Anna/ Miriam
Ya kufanya mzeee
 
Kila kitu kipo wazi hapo mkuu.

Usiogope majukumu.

Ndio wakati wako sasa kuwa baba pambana mkuu.

Hakikisha mama na mtoto wana furaha usiwe chanzo cha tabu kisa wewe.

Hapa tuzungumze kuhusu jina la mtoto.

Me ---> Brighton/Salim

Ke ----> Anna/ Miriam
Daaa mkuu hio id yako kichwa kichafu haiendani na point ulizozimwaga hapa ,,,ni kweli maana naona dalili za kutopata mtoto mbeleni,
 
Usimkatae mtoto, usitoe mimba na wala usimkatae mama kijacho. Tumia hilo hilo bumu vizuri utaona faida yake
Lea mtoto na mama yake huenda ndiyo mtoto wako wa kwanza na wa mwisho maana huwezi jua. Angalia biahara gani unaweza fanya ukiwa chuo na baada ya kutoka chuo ili uweze kulea familia yako.
Usimwambie ndugu yako yoyote maana unaweza kuwa ndiyo mwisho wa kusaidiwa kwako, siku ukiona mambo yamekuwa mazuri waambie. Hongera sana Baba kijacho
Sawa mkuu,
 
Mimi pia yalinikuta haya lakini sio mbaya ukiitunza masuala ya itakuwaje huna pesa itafahamika mbele kwa mbelee...!! Cha muhimu upate back up ya wazazi tu..
 
Usimkatae mtoto, usitoe mimba na wala usimkatae mama kijacho. Tumia hilo hilo bumu vizuri utaona faida yake
Lea mtoto na mama yake huenda ndiyo mtoto wako wa kwanza na wa mwisho maana huwezi jua. Angalia biahara gani unaweza fanya ukiwa chuo na baada ya kutoka chuo ili uweze kulea familia yako.
Usimwambie ndugu yako yoyote maana unaweza kuwa ndiyo mwisho wa kusaidiwa kwako, siku ukiona mambo yamekuwa mazuri waambie. Hongera sana Baba kijacho
Asante kwa ushauri mzuri
 
Kuna kipindi jamaa alitaka kunipiga exile, nikagoma. Jamaa alichukia
Chumba ufanye guest house. No
Nyie ndiyo wasababishi. Wakitongozwa tu, wanakubali hata hawezi kumshauri jamaa yake wakafanyie guest house. Tendo linahitaji faragha na usiri
Washikaji wanajua na mwanamke anajua anaenda kuliwa na wala hawaoni aibu
Wanaachaga kukaa kutulia wanashinda kupiga exile halafu waje kulialia humu
 
Back
Top Bottom