Niko njia panda, ushauri unahitajika

Niko njia panda, ushauri unahitajika

Nani aliyekwambia umefanya kosa? Kumpa mimba binti ukiwa chuo wala sio kosa. Kuna faida nyingi sana kama ukija kumuoa huyo binti na mkaendeleza familia yenu. Mimi nilimpa mimba mke wangu nikiwa second year chuo na nilikuwa na wasiwasi ila nikapiga moyo konde akazaa mtoto na baada ya miaka mitatu nikamuoa. Kwa sasa nina miaka 43 mtoto wangu yuko chuo kikuu nje ya nchi mwaka wa pili (umri kama wako). Nasubiri amalize apate kazi. Wenzangu ambao tuko umri sawa vitoto vyao ndio viko la saba kwa sasa. Nakaribia kuitwa babu kama mwanangu nae akitembelea nyota yangu ya ngono zembe

So dogo lea mimba waambie wazazi na uje kumuoa huyo binti faida utaziona baadae. Watu wengi wanaanza kusomesha watoto chuo wakati wanakaribia kustaafu. Wewe utamaliza kusomesha mtoto ukiwa 45 kisha una-concentrate na maendeleo mengine. Na asikwambie mtu kusomesha kazi sana ukilifanya mapema kutokana na kupata watoto mapema utatoboa kimaisha
Ushauri mzuri mkuu,cha kwanza ngoja nifunguke kwa wazee najua watanifukuza na wazee wa huyo binti watanisusia
 
Nani aliyekwambia umefanya kosa? Kumpa mimba binti ukiwa chuo wala sio kosa. Kuna faida nyingi sana kama ukija kumuoa huyo binti na mkaendeleza familia yenu. Mimi nilimpa mimba mke wangu nikiwa second year chuo na nilikuwa na wasiwasi ila nikapiga moyo konde akazaa mtoto na baada ya miaka mitatu nikamuoa. Kwa sasa nina miaka 43 mtoto wangu yuko chuo kikuu nje ya nchi mwaka wa pili (umri kama wako). Nasubiri amalize apate kazi. Wenzangu ambao tuko umri sawa vitoto vyao ndio viko la saba kwa sasa. Nakaribia kuitwa babu kama mwanangu nae akitembelea nyota yangu ya ngono zembe

So dogo lea mimba waambie wazazi na uje kumuoa huyo binti faida utaziona baadae. Watu wengi wanaanza kusomesha watoto chuo wakati wanakaribia kustaafu. Wewe utamaliza kusomesha mtoto ukiwa 45 kisha una-concentrate na maendeleo mengine. Na asikwambie mtu kusomesha kazi sana ukilifanya mapema kutokana na kupata watoto mapema utatoboa kimaisha
Hakika mkuu kuzaa mapema raha sana, japo huwa inatokea bila kupanga.

Mimi hapa wenzangu watoto wao wako nursery wengine hata shule hawajaanza, wakati mwenzao naona kabisa sio muda idadi ya kununua pedi inataka kuongezeka kwa nyumba
 
Pole kwa kipindi hiki cha ujauzito aanze kuuza viurembo vya kike chuoni like hereni, makeup etc.

Wewe pangilia muda anza kuuza nguo za mtumba za kike hapo chuoni kwako.

Anzieni hapo mengine yatajiweka sawa mbele. Muache utoto nyie ni wazazi watarajiwa.

Siku nyingine mwaga nje.
Rafiki kumwaga ndani kuna rahaa yake wee acha tu
 
Pole kwa kipindi hiki cha ujauzito aanze kuuza viurembo vya kike chuoni like hereni, makeup etc.

Wewe pangilia muda anza kuuza nguo za mtumba za kike hapo chuoni kwako.

Anzieni hapo mengine yatajiweka sawa mbele. Muache utoto nyie ni wazazi watarajiwa.

Siku nyingine mwaga nje.
Daaa nacheka ila naogopa...nitamwaga nje..
 
Hakika mkuu kuzaa mapema raha sana, japo huwa inatokea bila kupanga.

Mimi hapa wenzangu watoto wao wako nursery wengine hata shule hawajaanza, wakati mwenzao naona kabisa sio muda idadi ya kununua pedi inataka kuongezeka kwa nyumba
Hongera sana
 
  • Thanks
Reactions: Luv
We jamaa kiazi kweli! Acha kulialia....tafuta pesa muda wote na soma muda wote, hilo boom kula hata buku kwa siku....
 
Raha sana aisee unasahau kila kitu unahisi unamiliki dunia, baada ya mwezi unajikuta unamiliki stress kwa hao wanafunzi

Sisi wazee hatuna tabu, twajilia raha tu
Mambo haya mpaka najuta bora ningebaki chaputa
 
Ushauri mzuri mkuu,cha kwanza ngoja nifunguke kwa wazee najua watanifukuza na wazee wa huyo binti watanisusia
Huwezi kufukuzwa acha uoga. Muite mdingi wako kiutu uzima mweleze hilo jambo kwa utulivu. Ukute nae alikuwa anasubiria mjukuu kwa hamu.

Mie nilivyomwambia dingi enzi hizo aliniuliza tu ni kweli mimba ni yako nikamwambia nina uhakika 100% akasema ngoja nikawaweke sawa wazazi wake. Akaenda kuongea nao mambo yakaisha hivyo nikawa nahudumia mzigo ukiwa unakaa kwa wazazi wake.
Wazazi wako lazima watakuwa upande wako kwa kuwa atakayezaliwa na mjukuu wao. Ondoa woga waeleze tu
 
Huwezi kufukuzwa acha uoga. Muite mdingi wako kiutu uzima mweleze hilo jambo kwa utulivu. Ukute nae alikuwa anasubiria mjukuu kwa hamu.

Mie nilivyomwambia dingi enzi hizo aliniuliza tu ni kweli mimba ni yako nikamwambia nina uhakika 100% akasema ngoja nikawaweke sawa wazazi wake. Akaenda kuongea nao mambo yakaisha hivyo nikawa nahudumia mzigo ukiwa unakaa kwa wazazi wake.
Wazazi wako lazima watakuwa upande wako kwa kuwa atakayezaliwa na mjukuu wao. Ondoa woga waeleze tu
Sawa mkuu,,angalau presha imeshuka
 
Back
Top Bottom