Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Ni kweli bado , ila vijana wengi wakifika umri huu huwa wanaona wamechelewa sana ! Peer pressure na watu wazima wanakua wanamuuliza sana !Umri wake bado bhana 33....sema kufanya maamuz hapo simshauri sababu uongo umetangulizwa mbele....ilitakiwa awekwe Waz tangu mwanzo Ili achague
Wengi wanajikuta wako kwenye haraka