Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Salaam ndugu zangu. Nipo safarini katikati ya Iringa Dodoma.Nacheck dush board yangu naona gari inachemsha.Labda kuna shida ya regetor.Maji yamekauka kabisa na mm sina maji.
Wataalam wazoefu inaruhusiwa kuweka mkojo na engine ikapoa?
Wataalam wazoefu inaruhusiwa kuweka mkojo na engine ikapoa?