makugegamba
Member
- Mar 1, 2017
- 46
- 48
ikiwezekana weka mkojo ukipelea jikate uweke na damu itasaidia zaid .hayo ndio matatizo ya kuletewa lesen nyumban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote aya yanawezekanaAu labda alitaka tujue yuko safarini na ana endesha gari.
ndio hapo nimejiuliza huyu jamaa ana mkojo kiasi gani wa kujaza radiator
Ndugu Iringa Dodoma VijitoHuko polini hakupiti magari? Kama vipi wasimamishe wenzio uombe msaada wa maji
Pia unaweza ukajaribu kuangalia pembeni kama kuna vijito chota huko
We mtu mzima, Acha umajinuniWeka chumvi kwenye radiator Na Kila sehemu kwenye engine. Hasa ndani ya engine block
Mkojo wa kujaza rejeta itakuwa balaa hiyo.Mkojo sio issue ila ukifika sehemu salama....safisha radiator if possible tumia Coolant ili isije liwa na chumvi chumvi ya mkojo(in future)
SWALI:-
Una mkojo wa kutosha wa kujaza radiator?
siyo tabia nzuri hiyo, unaweza kufanya utani mwenzio akaweka kweli chumvi.Weka chumvi kwenye radiator Na Kila sehemu kwenye engine. Hasa ndani ya engine block
Bujibuji, haya sasa ni mauaji ya kukusudia!Weka chumvi kwenye radiator Na Kila sehemu kwenye engine. Hasa ndani ya engine block