Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe hujavaaNiko TRA Vingunguti hapa baadhi ya watu wamevaa barakoa. Nasubiri aje Manager awaamrishe wazivue
Kwa nini sijawahi kushuhudia matukio isolated kama haya? Labda naweza react kitofauti. Adrenaline rush if you know what I mean.
Mbombo ngafu.🚶🚶Teuzi hizi bwashee
Teuzi gan acheni unafk , JPM kasema uvae barakoa usivae ni upon you ...Hapa DSM private sectors nyingi Tu bila barakoa hupati huduma , umeisikia serikali ikiwafungia vibali..... ?? Serikali imesema hakuna shuruti yyte kumlazimisha mtu ajikinge na Korona , ukiamua kuvaa barakoa poa, kujifukiza powa au kujiweka lockdown fresh ni wewe mwenyewe lakini serikali haitatoa shuruti yyte... Kama una Duka lako hutaki kuhudumia watu mpak wanawe au wavae barakoa ni wewe tuuTeuzi hizi bwashee
[emoji106]Teuzi gan acheni unafk , JPM kasema uvae barakoa usivae ni upon you ...Hapa DSM private sectors nyingi Tu bila barakoa hupati huduma , umeisikia serikali ikiwafungia vibali..... ?? Serikali imesema hakuna shuruti yyte kumlazimisha mtu ajikinge na Korona , ukiamua kuvaa barakoa poa, kujifukiza powa au kujiweka lockdown fresh ni wewe mwenyewe lakini serikali haitatoa shuruti yyte... Kama una Duka lako hutaki kuhudumia watu mpak wanawe au wavae barakoa ni wewe tuu
Bado unamsubiri Manager mpaka sasa?Niko TRA Vingunguti hapa baadhi ya watu wamevaa barakoa. Nasubiri aje Manager awaamrishe wazivue
Kwa nini sijawahi kushuhudia matukio isolated kama haya? Labda naweza react kitofauti. Adrenaline rush if you know what I mean.