Niko TRA Vingunguti hapa watu wamevaa barakoa. Nasubiri aje Manager awaamrishe wazivue

Niko TRA Vingunguti hapa watu wamevaa barakoa. Nasubiri aje Manager awaamrishe wazivue

ungejibu kwanza.
Tangu watu waanze kutumika barakoa maambukizi yanapungua au yanaongezeka?
na ikiwa Corona inaambukiza kwa njia ya hewa me ukitumia barakoa hauvuti hewa?
Kwa hiyo maambukizi yameongezeka sababu watu wanatumia barakoa?
Ukiwa km mtaalam wa Afya uliebobea duniani tuambie jinsi gani tupunguze contact na majimaji yanayotoka kwenye mdomo au pua ya MTU alie na maambukizi
 
Nina barakoa kibao(sivai)
Nina asthma nikivaa barakoa ndo sipumui kabisa, sasa hapo mi naangalia uhai tu uko wapi
hiyo ndio inaitwa za kuambiwa changaza na za kwako. Safiii
 
ungejibu kwanza.
Tangu watu waanze kutumika barakoa maambukizi yanapungua au yanaongezeka?
na ikiwa Corona inaambukiza kwa njia ya hewa me ukitumia barakoa hauvuti hewa?
Bwasheee Covid haiambukizwi Kwa hewa. Tumia mitandao ya kijamii kujiongezea uelewa.
Hats ukiangalia sijataja Jews mimi
 
a very lame headline, kuna vitu vingine unazichukulia kama ni za kitoto ikiwemo hii headline yako!
Fasihi imetumika hapo bwasheee. Lame for you coz who knows at the time of reading you had stress
 
Nimevutiwa na picha ,ikabidi nikafukue makaburi,kule nakuta thread za mwanaume[emoji3][emoji3],jf bhana[emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 MTU kaomba picha nikaweka picha then all of a sudden mtu kaipenda picha eti Nina macho mazuri sijui nini. Typical Tanzanians kazi tunawaza chini. Hakuna hata mmoja ameuliza ni ya kwakoo amaaa?! Straight MTU ananisifia. So I just swayed the same direction as the dumb a$$e$ think.
Thankfully you took trouble knowing what my gender is.
 
Back
Top Bottom