mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kwa hiyo maambukizi yameongezeka sababu watu wanatumia barakoa?
Ukiwa km mtaalam wa Afya uliebobea duniani tuambie jinsi gani tupunguze contact na majimaji yanayotoka kwenye mdomo au pua ya MTU alie na maambukizi
Nina barakoa kibao(sivai)Zinapunguza maambukizi hasa hasa muathitika akivaa anaokoa wengi Sana.
Bwasheee Covid haiambukizwi Kwa hewa. Tumia mitandao ya kijamii kujiongezea uelewa.ungejibu kwanza.
Tangu watu waanze kutumika barakoa maambukizi yanapungua au yanaongezeka?
na ikiwa Corona inaambukiza kwa njia ya hewa me ukitumia barakoa hauvuti hewa?
Wabongo na ngono,hataree.Mwanamke una jicho tamu sana....
πππππππππ MTU kaomba picha nikaweka picha then all of a sudden mtu kaipenda picha eti Nina macho mazuri sijui nini. Typical Tanzanians kazi tunawaza chini. Hakuna hata mmoja ameuliza ni ya kwakoo amaaa?! Straight MTU ananisifia. So I just swayed the same direction as the dumb a$$e$ think.Nimevutiwa na picha ,ikabidi nikafukue makaburi,kule nakuta thread za mwanaume[emoji3][emoji3],jf bhana[emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app