Niko ukweni kwa mapumziko ya Xmas, ninachokishuhudia hakielezeki

Ngumu kumeza, Ila mbona huyu ngombe mfupi ni wa India na alizua taaruki kule India tuliona BBC kwenye magazet na mitandaoni.?
 
Mkuu njiani mlibadili plate namba?vp mliruhisiwa kumpiga picha Ng'ombe?
 
mnakaaga mnawaza nini hadi mnakuja na story hizi za akina shigongo???
 
Mbona haya magari plate namba hazifanani then inaonekana kama ni picha za mtandaoni yaani ni magari yaliyopo sokoni ... pia huyo ngombe mbona kama siyo wa Tanzania... au hizo picha ni nadhqria tu ila stori ya kweli ... bado nipo njia panda kama kuna alive elewa vzri ifafanuzi tqfadhali ... mwisho kabisa nategemea tutapewa namba za mkwe
 

Acha tunywe chai mkuu, maisha yenyewe ndio haya
 

Vipi shujaa wetu asiyetishwa hakuonekana huko?
 
Kwahiyo wewe si mwenzetu kabisa utamiliki utajiri Zaidi hata ya tajiri wa JF Bill Lugano
 
Nishaiona taswira ya baba mkwe,,
Mzee fulan hv,mtemi wa kijiji na anapenda kuvaa koti wakati wotee..

Mkuu tuletee mwendelezo,
 
Ngumu kumeza, Ila mbona huyu ngombe mfupi ni wa India na alizua taaruki kule India tuliona BBC kwenye magazet na mitandaoni.?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…