Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Tayaari kawa releasedNdugu wasomaji, nasikitika kuwataarifu kuwa Baba mke amekamata simu ya Bujibuji Simba Nyanaume atarejea punde baada ya kujieleza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayaari kawa releasedNdugu wasomaji, nasikitika kuwataarifu kuwa Baba mke amekamata simu ya Bujibuji Simba Nyanaume atarejea punde baada ya kujieleza.
Kile cha ujasusi wa kidola?Nikajua ni kitabu cha yeriko
NimekujaGilesi njoo umalizie story bana
Nyani Ngabu yuko IKUNGU LYA BASHASHI.Nyani ngabo na ngudume wak wapi
WoyooooGilesi
Kumbe jamaa yuko famous hivyo😁😅🤣Wewe si ulisema ukweni kwenu ni manushi/ Narumu wewe?
YerewiiiiiiMchezo wa usambaa huko,na utakuwa na mafanikio sana ila ndo ushakuwa mwanga,ushabebeshwa miroho ya ajabu.Kuna mshikaji alipigwa zindiko hilo but mwisho wa siku akarudi home ghafla na kuchinja wazazi wake nadhan misukule ilimshawishi kiroho aue ili ibadilishe radha ya mboga(damu)
Huyu babu noma sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani hukuogopa kumvulia nguo mwanaume mwenzako, ten sehemu ngeni usiyoijua
Hahah hahahCha ajabu
Kuna watu Humu nao watakuja kuomba waingizwe KWENYE huo ukoo[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app