GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Chai za x-mass hizi, za motooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hivi mademu wa uchagani wanavyo zimikia kina ngosha huyu jamaa kaoa Rombo Tarakea 😂Wakwe zako watakua warombo wa tarakea
Kuna maneno ukiandika yanachanganyaWasalaam waungwana. Amani ipitayo akili na fahamu za binadamu iwe pamoja nami.
Tangu nioe nina mwaka wa kumi sasa ndoani. Wake zangu ni wakarimu sana na wacheshi mno. Ni marafiki na washauri wazuri sana kiasi kwamba unaweza kutamani kuwasimulia jinsi mchepuko wako ulivyo pasta kichwa.
Kwa kipindi chote cha ndoa yangu nilikuwa sijawahi kuujua upande wa pili a.k.a kisogo cha wakwe zangu. Nilikuwa nawajua sura tu... yaani upande wao wa mazuri tu.
Mwezi wa kumi na moja ndipo nilikuwa natimiza miaka kumi ya ndoa, anniversary ya kibabe sana nikafanya. Wake ndani ya nyumba.
Basi katika sherehe nikawa na mengi sana ya kuongea na wake zangu. Wakaninisistiza sana hii December nisikose.
Basi tarehe nane nikaliamsha dude kuelekea ukweni. Sina paparazzi wala haraka barabarani, mdogomdogo hadi nikafika upcountry ukweni.
Wakwe wakanipokea vizuri sana. Nikawa na mazungumzo na Baba mkwe wangu.
Tuliongea mengi lakini kila mara alikuwa ananisisitiza ni lazima niingie kwenye ukoo wao.
Kichwani nilikuwa nawaza sana naingiaje kwenye ukoo mara ya pili? Maana kama watoto nimeshazaa na binti yao, kitu ambacho ni kiunganishi haswa cha koo mbili.
Basi usiku ukaingia, akanifuata chumbani kisha akaniita nitoke nje. Nilipotoka akaniambia kibabe huku akipigapiga kifua changu kwa ngumi zisizoumiza "Kesho tunaenda kutafuta malighafi jiandae kiume".
Saa kumi na nusu alfajiri akaniamsha kwamba tuanze safari. Hiyo haina kuoga wala kupiga mswaki. Tukaingia kwenye Toyota Hilux 12R na safari ikaanza.
View attachment 2050739
Basi tuliingia majoring kwa saa moja na nusu nzima tukipita kwenye misitu na mapori. Hatimaye tukatokea kwenye kijiji chenye nyumba chache sana.
View attachment 2050737
Akaegesha gari kwenye moja ya nyumba ya nyasi kisha akaniashiria nimfuate.
Nikamfuata na tukaufikia mlango. Kabla hata hajaugusa nilistaajabu kuona mlango ukijifungua wenyewe bila ya kuguswa na mtu. Na hata tulipokwisha India ndani, mlango ukajifunga wenyewe.
Hapa kwenye kijisebule palikuwa na vigoda vinne na kiti cha mpando kimoja.
Tulikaa kimya na hamna aliyemuongelesha mwenzake.
Baada ya dakika kama tatu hivi chungu kidogo kama vile wanavyotumia wanawake kujifukiza kikaanguka na kuvunjika. Nikabaki najiuliza chungu hiki kimetokea wapi? Maana hamna sehemu ambayo kingeweza kujishikia au kuwekwa.
Mara akatokea babu kizee aliyekuwa kajitanda shuka huku kifuani kaning'iniza ngozi ya chatu.
Hakusalimia akaanza kuongea peke yake kwa kilugha. Aliongea kwa dakikanne mfululizo kisha akasema nendeni.
Nje tukakuta dume la ng'ombe kubwa lakini dupi
Wakwe wamekupa uchawi hahahahah[emoji23][emoji23][emoji23]Wasalaam waungwana. Amani ipitayo akili na fahamu za binadamu iwe pamoja nami.
Tangu nioe nina mwaka wa kumi sasa ndoani. Wake zangu ni wakarimu sana na wacheshi mno. Ni marafiki na washauri wazuri sana kiasi kwamba unaweza kutamani kuwasimulia jinsi mchepuko wako ulivyo pasta kichwa.
Kwa kipindi chote cha ndoa yangu nilikuwa sijawahi kuujua upande wa pili a.k.a kisogo cha wakwe zangu. Nilikuwa nawajua sura tu... yaani upande wao wa mazuri tu.
Mwezi wa kumi na moja ndipo nilikuwa natimiza miaka kumi ya ndoa, anniversary ya kibabe sana nikafanya. Wake ndani ya nyumba.
Basi katika sherehe nikawa na mengi sana ya kuongea na wake zangu. Wakaninisistiza sana hii December nisikose.
Basi tarehe nane nikaliamsha dude kuelekea ukweni. Sina paparazzi wala haraka barabarani, mdogomdogo hadi nikafika upcountry ukweni.
Wakwe wakanipokea vizuri sana. Nikawa na mazungumzo na Baba mkwe wangu.
Tuliongea mengi lakini kila mara alikuwa ananisisitiza ni lazima niingie kwenye ukoo wao.
Kichwani nilikuwa nawaza sana naingiaje kwenye ukoo mara ya pili? Maana kama watoto nimeshazaa na binti yao, kitu ambacho ni kiunganishi haswa cha koo mbili.
Basi usiku ukaingia, akanifuata chumbani kisha akaniita nitoke nje. Nilipotoka akaniambia kibabe huku akipigapiga kifua changu kwa ngumi zisizoumiza "Kesho tunaenda kutafuta malighafi jiandae kiume".
Saa kumi na nusu alfajiri akaniamsha kwamba tuanze safari. Hiyo haina kuoga wala kupiga mswaki. Tukaingia kwenye Toyota Hilux 12R na safari ikaanza.
View attachment 2050739
Basi tuliingia majoring kwa saa moja na nusu nzima tukipita kwenye misitu na mapori. Hatimaye tukatokea kwenye kijiji chenye nyumba chache sana.
View attachment 2050737
Akaegesha gari kwenye moja ya nyumba ya nyasi kisha akaniashiria nimfuate.
Nikamfuata na tukaufikia mlango. Kabla hata hajaugusa nilistaajabu kuona mlango ukijifungua wenyewe bila ya kuguswa na mtu. Na hata tulipokwisha India ndani, mlango ukajifunga wenyewe.
Hapa kwenye kijisebule palikuwa na vigoda vinne na kiti cha mpando kimoja.
Tulikaa kimya na hamna aliyemuongelesha mwenzake.
Baada ya dakika kama tatu hivi chungu kidogo kama vile wanavyotumia wanawake kujifukiza kikaanguka na kuvunjika. Nikabaki najiuliza chungu hiki kimetokea wapi? Maana hamna sehemu ambayo kingeweza kujishikia au kuwekwa.
Mara akatokea babu kizee aliyekuwa kajitanda shuka huku kifuani kaning'iniza ngozi ya chatu.
Hakusalimia akaanza kuongea peke yake kwa kilugha. Aliongea kwa dakikanne mfululizo kisha akasema nendeni.
Nje tukakuta dume la ng'ombe kubwa lakini dupi
Nyani ngabo na ngudume wak wapiWasalaam waungwana. Amani ipitayo akili na fahamu za binadamu iwe pamoja nami.
Tangu nioe nina mwaka wa kumi sasa ndoani. Wake zangu ni wakarimu sana na wacheshi mno. Ni marafiki na washauri wazuri sana kiasi kwamba unaweza kutamani kuwasimulia jinsi mchepuko wako ulivyo pasta kichwa.
Kwa kipindi chote cha ndoa yangu nilikuwa sijawahi kuujua upande wa pili a.k.a kisogo cha wakwe zangu. Nilikuwa nawajua sura tu... yaani upande wao wa mazuri tu.
Mwezi wa kumi na moja ndipo nilikuwa natimiza miaka kumi ya ndoa, anniversary ya kibabe sana nikafanya. Wake ndani ya nyumba.
Basi katika sherehe nikawa na mengi sana ya kuongea na wake zangu. Wakaninisistiza sana hii December nisikose.
Basi tarehe nane nikaliamsha dude kuelekea ukweni. Sina paparazzi wala haraka barabarani, mdogomdogo hadi nikafika upcountry ukweni.
Wakwe wakanipokea vizuri sana. Nikawa na mazungumzo na Baba mkwe wangu.
Tuliongea mengi lakini kila mara alikuwa ananisisitiza ni lazima niingie kwenye ukoo wao.
Kichwani nilikuwa nawaza sana naingiaje kwenye ukoo mara ya pili? Maana kama watoto nimeshazaa na binti yao, kitu ambacho ni kiunganishi haswa cha koo mbili.
Basi usiku ukaingia, akanifuata chumbani kisha akaniita nitoke nje. Nilipotoka akaniambia kibabe huku akipigapiga kifua changu kwa ngumi zisizoumiza "Kesho tunaenda kutafuta malighafi jiandae kiume".
Saa kumi na nusu alfajiri akaniamsha kwamba tuanze safari. Hiyo haina kuoga wala kupiga mswaki. Tukaingia kwenye Toyota Hilux 12R na safari ikaanza.
View attachment 2050739
Basi tuliingia majoring kwa saa moja na nusu nzima tukipita kwenye misitu na mapori. Hatimaye tukatokea kwenye kijiji chenye nyumba chache sana.
View attachment 2050737
Akaegesha gari kwenye moja ya nyumba ya nyasi kisha akaniashiria nimfuate.
Nikamfuata na tukaufikia mlango. Kabla hata hajaugusa nilistaajabu kuona mlango ukijifungua wenyewe bila ya kuguswa na mtu. Na hata tulipokwisha India ndani, mlango ukajifunga wenyewe.
Hapa kwenye kijisebule palikuwa na vigoda vinne na kiti cha mpando kimoja.
Tulikaa kimya na hamna aliyemuongelesha mwenzake.
Baada ya dakika kama tatu hivi chungu kidogo kama vile wanavyotumia wanawake kujifukiza kikaanguka na kuvunjika. Nikabaki najiuliza chungu hiki kimetokea wapi? Maana hamna sehemu ambayo kingeweza kujishikia au kuwekwa.
Mara akatokea babu kizee aliyekuwa kajitanda shuka huku kifuani kaning'iniza ngozi ya chatu.
Hakusalimia akaanza kuongea peke yake kwa kilugha. Aliongea kwa dakikanne mfululizo kisha akasema nendeni.
Nje tukakuta dume la ng'ombe kubwa lakini dupi
DuhWasalaam waungwana. Amani ipitayo akili na fahamu za binadamu iwe pamoja nami.
Tangu nioe nina mwaka wa kumi sasa ndoani. Wake zangu ni wakarimu sana na wacheshi mno. Ni marafiki na washauri wazuri sana kiasi kwamba unaweza kutamani kuwasimulia jinsi mchepuko wako ulivyo pasta kichwa.
Kwa kipindi chote cha ndoa yangu nilikuwa sijawahi kuujua upande wa pili a.k.a kisogo cha wakwe zangu. Nilikuwa nawajua sura tu... yaani upande wao wa mazuri tu.
Mwezi wa kumi na moja ndipo nilikuwa natimiza miaka kumi ya ndoa, anniversary ya kibabe sana nikafanya. Wake ndani ya nyumba.
Basi katika sherehe nikawa na mengi sana ya kuongea na wake zangu. Wakaninisistiza sana hii December nisikose.
Basi tarehe nane nikaliamsha dude kuelekea ukweni. Sina paparazzi wala haraka barabarani, mdogomdogo hadi nikafika upcountry ukweni.
Wakwe wakanipokea vizuri sana. Nikawa na mazungumzo na Baba mkwe wangu.
Tuliongea mengi lakini kila mara alikuwa ananisisitiza ni lazima niingie kwenye ukoo wao.
Kichwani nilikuwa nawaza sana naingiaje kwenye ukoo mara ya pili? Maana kama watoto nimeshazaa na binti yao, kitu ambacho ni kiunganishi haswa cha koo mbili.
Basi usiku ukaingia, akanifuata chumbani kisha akaniita nitoke nje. Nilipotoka akaniambia kibabe huku akipigapiga kifua changu kwa ngumi zisizoumiza "Kesho tunaenda kutafuta malighafi jiandae kiume".
Saa kumi na nusu alfajiri akaniamsha kwamba tuanze safari. Hiyo haina kuoga wala kupiga mswaki. Tukaingia kwenye Toyota Hilux 12R na safari ikaanza.
View attachment 2050739
Basi tuliingia majoring kwa saa moja na nusu nzima tukipita kwenye misitu na mapori. Hatimaye tukatokea kwenye kijiji chenye nyumba chache sana.
View attachment 2050737
Akaegesha gari kwenye moja ya nyumba ya nyasi kisha akaniashiria nimfuate.
Nikamfuata na tukaufikia mlango. Kabla hata hajaugusa nilistaajabu kuona mlango ukijifungua wenyewe bila ya kuguswa na mtu. Na hata tulipokwisha India ndani, mlango ukajifunga wenyewe.
Hapa kwenye kijisebule palikuwa na vigoda vinne na kiti cha mpando kimoja.
Tulikaa kimya na hamna aliyemuongelesha mwenzake.
Baada ya dakika kama tatu hivi chungu kidogo kama vile wanavyotumia wanawake kujifukiza kikaanguka na kuvunjika. Nikabaki najiuliza chungu hiki kimetokea wapi? Maana hamna sehemu ambayo kingeweza kujishikia au kuwekwa.
Mara akatokea babu kizee aliyekuwa kajitanda shuka huku kifuani kaning'iniza ngozi ya chatu.
Hakusalimia akaanza kuongea peke yake kwa kilugha. Aliongea kwa dakikanne mfululizo kisha akasema nendeni.
Nje tukakuta dume la ng'ombe kubwa lakini dupi
Hahah hahahBila shaka ni mapori ya umalila
Hahah hahah hahah ndoto inaendeleaukute yupo ndotoni na hapo ndo ndoto imekata.
Bujibuji unamjua vizuri weye?
Hahah hahah hahah ndoto inaendeleaukute yupo ndotoni na hapo ndo ndoto imekata.
Bujibuji unamjua vizuri weye?
mkuu sio fresh🤭🤭😂😂Gilesi
[emoji23][emoji1787]mkuu sio fresh[emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23]