NIKOLA TESLA: Kwa nini watu kama hawa dunia ni nadra kuwapata?

NIKOLA TESLA: Kwa nini watu kama hawa dunia ni nadra kuwapata?

Nikola Tesla the Genius of all days; big sana kwa mleta uzi huu nlikuwa nafahamu vichache juu ya mwanafizikia huyu ila kwa thread hii nimegain vingine vingi.

pamoja chief, hata hapa ni muhutasari tu, ingia utafute docummentary zake, jamaa alikuwa kipaji. wengi tunaowasifia leo katika technology msingi wao ni jamaa kama huyu tesla
 
Kweli mkuu hati miliki ilimcost huyu jamaa, Tunajifunza hapa kama umefanya hadimu jitahidi kuweka hati miliki. Mfano Leo Jamaa wa LG wanaproject ya kudesign a smartphone from camera yenye uwezo wa kupiga selfie eneo kubwa au watu wengi bila ya selfie stick, kwa mfumo huuhuu wa hati miliki nadhani watapata wateja wa technology hiyo karibu makampuni yote ya simu kwa mabilioni ya pesa.

Ila jamaa alikuwa anatamani kutumia muda mwingi sana kufanya ugunduzi na kutaka kazi yake isaidie watu wengi. Unajua kabla ya project ya niagara falls ya kuzalisha umeme, kulikuwa na vita vikali sana kati ya dc na ac ipi itumike kwa umeme wa majumbani.
Upande wa thomas edison ambao ni dc voltage, walikuwa na mkono wa J.P Morgan ambaye alikuwa mwanahisa. Upande wa ac tesla alikuwa na george westinghouse. Hela nyingi sana zilitumika na kila upande mpaka ikataka kupelekea westinghouse kutaka kufilisika. Ndo hapo Tesla ikabidi aseme yeye ataachia hati miliki zake na hata taka malipo(royalt) ya patents zake.
Westinghouse ndo walipoponea na kutengeneza pesa nyingi.
 

kwa point ya hapo chini, Tesla hakuhitaji mathematical formulas kuvumbua vitu kama akina Einstain ambaye formula yake ilitengeneza bomu la atomic liliouwa wajapani, jamaa alifikiri na kufanya majaribio na kuwaacha watu midomo wazi.

mfano alipotengeneza vibrating electric shock ambayo ilitetemesha ghorofa zima ilasababisha police na zima moto wajaea lakini kumbe ni tesla alikuwa kazini.

Baada ya hapo alisema anaweza tengeneza low friquency electric vibrator ambayo ikifungwa madarasani na watu wanapokuwa wanasoma hiyo vibration inaweza kustimulate ubongo na hata kama ni kilaza kiasi gani lazima akili zichaji.
Jamaa hawakumtilia maani lkn angeweza,
 
Bila tesla tusingekuwa na kidatu, mtera, na vyanzo vya umeme wa maji. yeye alidesign hiyo kitu akatengeneza matransformers kutoka niagara falls to towns in america na nchi yote ikawaka umeme. leo ni dunia nzima umeme wa maji ndio rahisi kwa sababu ya huyu jamaa.
TANESCO pia wanahaki ya kumkumbuka anamkono wake kwenye taasisi hiyo
 
Ila jamaa alikuwa anatamani kutumia muda mwingi sana kufanya ugunduzi na kutaka kazi yake isaidie watu wengi. Unajua kabla ya project ya niagara falls ya kuzalisha umeme, kulikuwa na vita vikali sana kati ya dc na ac ipi itumike kwa umeme wa majumbani.
Upande wa thomas edison ambao ni dc voltage, walikuwa na mkono wa J.P Morgan ambaye alikuwa mwanahisa. Upande wa ac tesla alikuwa na george westinghouse. Hela nyingi sana zilitumika na kila upande mpaka ikataka kupelekea westinghouse kutaka kufilisika. Ndo hapo Tesla ikabidi aseme yeye ataachia hati miliki zake na hata taka malipo(royalt) ya patents zake.
Westinghouse ndo walipoponea na kutengeneza pesa nyingi.

safi sana mdau, uko vizuri
 
Tesla alikuwa ni mvumbuzi si mfanya biashara.

Wametengeneza gari sasa hivi za umeme kwa kutumia teknolojia yake ya betri na super charger aliyoivumbuwa miaka mingi sana iliyopita , zinafanya kazi vizuri na zinauzika sana kuliko gari yoyote ya umeme na imepewa jina hilo hilo Tesla:

hero_forest_nored.jpeg

Source na soma zaidi: Tesla Motors | Premium Electric Vehicles
 
Tesla alikuwa ni mvumbuzi si mfanya biashara.

Wametengeneza gari sasa hivi za umeme kwa kutumia teknolojia yake ya betri na super charger aliyoivumbuwa miaka mingi sana iliyopita , zinafanya kazi vizuri na zinauzika sana kuliko gari yoyote ya umeme na imepewa jina hilo hilo Tesla:

hero_forest_nored.jpeg

Source na soma zaidi: Tesla Motors | Premium Electric Vehicles
uko vizuri. Kama maabara yake liyokuwa na pepars zaidi ya mamia ya ugunduzi kuungua na vitu vyote vilivyokuwemo kubaki majivu ambayo ikapelekea aanze moja tena, KAribu kila kitu duniani huyu jamaa angekuwa na mkono wake.
 
uko vizuri. Kama maabara yake liyokuwa na pepars zaidi ya mamia ya ugunduzi kuungua na vitu vyote vilivyokuwemo kubaki majivu ambayo ikapelekea aanze moja tena, KAribu kila kitu duniani huyu jamaa angekuwa na mkono wake.

Sasa hivi wapenzi wa Tesla wameinunuwa iliyokuwa maabara yake na wameisafisha na kuirudisha katika hali ya kutazamika na wana plan nyingi sana kuhusu hiyo sehemu, soma zaidi: Tesla Science Center at Wardenclyffe
 
Vizuri havimudu kwakweli, je kuhusu technolojia ya kupaa kwa ndege aeroplane vp kuna mkono wake?
 
Vizuri havimudu kwakweli, je kuhusu technolojia ya kupaa kwa ndege aeroplane vp kuna mkono wake?

"You should not be at all surprised if someday you see me fly from New York to Colorado Springs in a contrivance which will resemble a gas stove and weigh almost as much."— Nikola Tesla, 1913 ALIKUWA ANAZUNGUMZIA HERIKOPTER UNAYOIJUA KWA SASA
O-and-O-388-sept06.jpg__800x600_q85_crop.jpg

hiki ndicho alaichokuwa anakifikillia muda mchache kabla mauti hayajamkuta, na kwa maarifa na papers alizoacha jamaa wametengeneza Engine za ndege,

In January 1928, the U.S. Patent Office granted Tesla what would be his final patent, for a “novel method of transporting bodies through the air.” He described and sketched an open box-type craft with a tilting propeller and wing that theoretically would enable the vehicle to rise vertically and fly horizontally, though he also suggested a design in which two propellers “coaxially or otherwise disposed” would “revolve in opposite directions,” powered by his turbine engine.

jamaa alikuwa balaa, japo waamerika walimzimazima wakawapaisha wakina edison thomas na Albet einsten kuwa ndio mageneous. Lakini hadi wanakuwa ukiwauliza wao wanakurudisha hukohuko kwa tesla mkuu.

images





 
uko vizuri. Kama maabara yake liyokuwa na pepars zaidi ya mamia ya ugunduzi kuungua na vitu vyote vilivyokuwemo kubaki majivu ambayo ikapelekea aanze moja tena, KAribu kila kitu duniani huyu jamaa angekuwa na mkono wake.

Tesla alikuwa kikwazo kwa wafanya biashara wakubwa na wanasayansi wenzake,hivyo walifanya kila mbinu kumtuliza.Hayo mabaya karibu yote yaliyomtokea yalipangwa na wafanyabiashara akiwemo JP.Morgan.

-Tesla alipingana na mwalimu wake kuhusu sayansi ya AC motor,Tesla alikuwa sahihi.
-Tesla alipingana na Edison kuhusu sayansi na faida za AC current,Tesla alishinda.
-Mantiki za Tesla zilipingana na hoja za Albert Eistein kuhusu relativity theory,Tesla alikuwa sahihi.

Tesla alijenga mnara mkubwa sana kwa lengo la kulisha umeme dunia nzima bure,watu wangepata umeme huo kwa njia ya kuukinga na antenna kwenye nyumba zao.JP.Morgan alipomuuliza "unajenga mnara huo kwa lengo gani?",Tesla akasema "nataka kulisha umeme dunia nzima bure bila kutumia wire".JP.Morgan aliposikia hivyo akasimamisha ufadhili wake kwa Tesla na kuachana naye,Tesla akashindwa kuendelea na project hiyo kwa kukosa mfadhili.

Tesla alikuwa mwanasayansi mwenye ethics halisi za sayansi halisi,alikuwa na lengo hasa la kuona watu wanafaidika na kichwa chake.Lakini lengo lake lilitofautiana na mabeberu wa kipindi kile ambao ndio offsprings zao zinashikilia serikali ya Marekani kwa sasa.Na ndio maana project yoyote yenye lengo la kusaidia watu walio wengi bure au kwa gharama nafuu kwa sasa haiwezi kufadhiliwa au kuachwa iendelee.Ukitaka kuamini hili anza kufuatilia taratibu masuala makubwa kwenye AFYA,KILIMO na ELIMU,utaona kuna watu kazi yao ni kuzuia maendeleo katika nyanja hizo.

Kwangu mimi Tesla ndio mwanasayansi bora wa karne yake.Sasa hivi kuna mwanasayansi mmoja muhimu sana na amefanya mambo mazito sana kwenye dunia hii lakini wengi hawamfahamu,huyu jamaa project yake ikikamilika dunia itaandika historia nyingine kabisa na kuweka mambo ya sasa kwenye makabrasha yatakayowekwa kwenye makumbusho kwa ajili ya kufundishia watoto wetu.Huyu anaitwa Jacque Fresco,project yake inaitwa The Venus.

Fuatilia 'The Venus Project' kwenye mitandao/youtube ili ujionee huyu ni mtu wa aina gani.Hapa ndio utaona kwamba sisi tumewekewa vifungo vya akili na mambo fulani katika dunia hii,especially MONEY.
 
Tesla alikuwa kikwazo kwa wafanya biashara wakubwa na wanasayansi wenzake,hivyo walifanya kila mbinu kumtuliza.Hayo mabaya karibu yote yaliyomtokea yalipangwa na wafanyabiashara akiwemo JP.Morgan.

-Tesla alipingana na mwalimu wake kuhusu sayansi ya AC motor,Tesla alikuwa sahihi.
-Tesla alipingana na Edison kuhusu sayansi na faida za AC current,Tesla alishinda.
-Mantiki za Tesla zilipingana na hoja za Albert Eistein kuhusu relativity theory,Tesla alikuwa sahihi.

Tesla alijenga mnara mkubwa sana kwa lengo la kulisha umeme dunia nzima bure,watu wangepata umeme huo kwa njia ya kuukinga na antenna kwenye nyumba zao.JP.Morgan alipomuuliza "unajenga mnara huo kwa lengo gani?",Tesla akasema "nataka kulisha umeme dunia nzima bure bila kutumia wire".JP.Morgan aliposikia hivyo akasimamisha ufadhili wake kwa Tesla na kuachana naye,Tesla akashindwa kuendelea na project hiyo kwa kukosa mfadhili.

Tesla alikuwa mwanasayansi mwenye ethics halisi za sayansi halisi,alikuwa na lengo hasa la kuona watu wanafaidika na kichwa chake.Lakini lengo lake lilitofautiana na mabeberu wa kipindi kile ambao ndio offsprings zao zinashikilia serikali ya Marekani kwa sasa.Na ndio maana project yoyote yenye lengo la kusaidia watu walio wengi bure au kwa gharama nafuu kwa sasa haiwezi kufadhiliwa au kuachwa iendelee.Ukitaka kuamini hili anza kufuatilia taratibu masuala makubwa kwenye AFYA,KILIMO na ELIMU,utaona kuna watu kazi yao ni kuzuia maendeleo katika nyanja hizo.

Kwangu mimi Tesla ndio mwanasayansi bora wa karne yake.Sasa hivi kuna mwanasayansi mmoja muhimu sana na amefanya mambo mazito sana kwenye dunia hii lakini wengi hawamfahamu,huyu jamaa project yake ikikamilika dunia itaandika historia nyingine kabisa na kuweka mambo ya sasa kwenye makabrasha yatakayowekwa kwenye makumbusho kwa ajili ya kufundishia watoto wetu.Huyu anaitwa Jacque Fresco,project yake inaitwa The Venus.

Fuatilia 'The Venus Project' kwenye mitandao/youtube ili ujionee huyu ni mtu wa aina gani.Hapa ndio utaona kwamba sisi tumewekewa vifungo vya akili na mambo fulani katika dunia hii,especially MONEY.

asante mkuu
 
"You should not be at all surprised if someday you see me fly from New York to Colorado Springs in a contrivance which will resemble a gas stove and weigh almost as much."— Nikola Tesla, 1913 ALIKUWA ANAZUNGUMZIA HERIKOPTER UNAYOIJUA KWA SASA....

In January 1928, the U.S. Patent Office granted Tesla what would be his final patent, for a “novel method of transporting bodies through the air.” He described and sketched an open box-type craft with a tilting propeller and wing that theoretically
would enable the vehicle to rise vertically and fly horizontally, though he also suggested a design in which two propellers “coaxially or otherwise disposed” would “revolve in opposite directions,” powered by his turbine engine....

Kama umeshawahi kusikia kitu kinachoitwa UFO(controvesial);
-Kinasafiri kwa kasi ya ajabu,
-Kinakata kona kwa 'acute angles' kwa kupingana na 'inertia',
-Kinapingana na nguvu za mvutano wa dunia(anti gravity),
-Kinapaa kwa kimo na ulalo(vertical and horizontal propagation).
-Kinakiuka Newton's laws of motion.

Basi wamarekani sasa hivi wameshaanza project ya kutengeneza chombo kama hicho na wamefika mbali.Chombo hicho kina umbo la sahani lakini kinaweza kupaa kama kinavyoelezwa hapo juu angalau bado kasi yake si kubwa sana.Technology wanayoitumia wamarekani ni ile waliyoiba kutoka kwa Tesla pamoja na coanda effect,possibly Tesla angekuwapo mpaka leo lazima wangekuwa wameshakamilisha project.Two opposite electromagnetic forces zinazopingana ndizo zinazowezesha hili kutokea.Hapa Newton's Second law of motion inakiukwa,hapa hakuna external force inayosukuma chombo,chombo kinasukumwa kutoka ndani.

Siku moja nilipokuwa chuoni niliwahi kumuuliza Prof swali ambalo hakuweza kulijibu,lilihusu Eisten theory of relativity kuhusu speed of light na particle.Baadaye nikaja kugundua kwamba hata Eisten mwenyewe hakuweza kulijibu kwa kipindi kile,lakini baadaye zaidi nikaja kupata jibu lake kutoka kwenye makabrasha ya Nikola Tesla.Huyu mtu ni tofauti sana.

Kwa mtu asiyejua anaweza kufikiri kwamba Tesla anakuzwa sana,lakini huo ndio ukweli.
 
Back
Top Bottom