Nikopeshe 140K nirudishe 230 Ndani ya wiki mbili

Freygod

Member
Joined
Mar 13, 2019
Posts
15
Reaction score
10
Wakuu heshima kwenu

Shida haina mwenyewe,naomba kama kuna mdau ambaye anaweza kunikopesha hicho kiasi nilichokitaja hapo juu na kwa riba hiyo anisaidie nimalize shida yangu

Kuhusu kitu cha kuweka bondi naweza nisiwe nacho cha maana kwa sasa ila tutaongea zaidi jinsi tutakavyofanya.

Nitaacha simu tecno W1,pasi,nhif card,birth cert,leaving cert

Location-Dar es salaam
 
Weka kitu bond acha blahblah hutopata mkopo wewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sababu sina dhamana kama material thing..nina identities zangu na pia nina shida sana na hicho kiasi
Sema hizo identities ni gani! Watu siku hizi wachungu kusaidizana, rahisi kupondea starehe
Waafrika ndivyo tulivyo
 
Nipige 0714501478

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama bado njoo kwa bobo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema hizo identities ni gani! Watu siku hizi wachungu kusaidizana, rahisi kupondea starehe
Waafrika ndivyo tulivyo
Mfano nhif,living certificate,birth cert,voter ID..na ndo maana nikaweka riba kubwa maana dhamana ya material thing kwa sasa sina
 
Mkuu hadi saivi hujapata kweli mpk na namba za simu hapo nmeona raia wema wamekupa au hamjaafikiana nao? na huyo alosema umfate PM kama hujapata vipi hujamuona? Au unataka kukusanya 140k kwa member wote humu mwsho utuache sorembaaaaa
Bado hatujahafikiana mkuu,aliyeweka no mmoja ndo namcheki saivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…