Nikupe siri 3 usizozijua ewe mwanaume unayenunua 'Dada Poa' kwa lengo la kujiridhisha kingono

Nikupe siri 3 usizozijua ewe mwanaume unayenunua 'Dada Poa' kwa lengo la kujiridhisha kingono

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
1. Huyo unaemnunua anamvulia kila Mwenye pesa hata kama ni kichaa, ivyo wewe msafi unavyoenda kushiriki nae unajivisha Maroho machafu kwa starehe ya dk tu🤦‍♂️

2. Hivi unatambua baadhi ya matajiri hununua mbegu zenu kwa hao malaya mnaowaita Dada poa. Maana unapomwaga wanawahi kukuvua condom na wewe unadhani ni mahaba. Lini malaya akawa na mahaba na Iliali kila Mwenye pesa anakojoa?

Kifupi ni kwamba baadhi ya matajiri uingia biashara na madada poa wamkusanyie mbegu za wanaume kadhaa na azipeleke kwa mganga ili afanyiwe Dawa ya kusudi lake la utajiri. Hivyo nguvu zako Zote za utafutaji zinauzwa na kahaba kwa elfkumi tu na unakua nguvu zako umezipoteza kwa raha ya dk tu hata upambane vipi utoboi,

3. Ukionja huachi kamwe. Tena utajifanya unahudumia kuliko unavyo hudumia Mke wako na watoto. Huku unajua mnakula wengi Lakini uwazi. Kosa la yote nikile kitambaa alicho kufuta Baada ya tendo. Akakupumbaza kwa madawa. Ivyo uoni usikii😳

JITAMBUE DUNIA HAIPO KAMA UIONAVYO KWA MACHO YA KAWAIDA😳

Usipo kua na jicho la tatu. Omba Mungu akupe macho ya rohoni.
 
ukionja uachi kamwe
Tena utajifanya unahudumia kuliko unavyo hudumia Mke wako na watoto
Huku unajua mnakula wengi Lakini uwazi 😳
Kosa la yote nikile kitambaa alicho kufuta Baada ya tendo🤦‍♂️
Akakupumbaza kwa madawa
Ivyo uoni usikU



SIO KWELI
 
Mimi sinunui malaya lakini huo ujinga sijui wa tajiri ananunua mbegu ni uongo mtupu, uchawi haupo kiongozi... kadanganye wengine..
Hizo hadithi za kwenye vijiwe mkishashiba ugali, mboga za majani na pilipili ya mwendokasi pembeni ni uongo mtupu..

Tuelimike jamani tuache ujinga..
 
Mimi sinunui malaya lakini huo ujinga sijui wa tajiri ananunua mbegu ni uongo mtupu, uchawi haupo kiongozi... kadanganye wengine..
Hizo hadithi za kwenye vijiwe mkishashiba ugali, mboga za majani na pilipili ya mwendokasi pembeni ni uongo mtupu..

Tuelimike jamani tuache ujinga..
Zipo hizo business
 
1 - Uyo unae mnunua anamvulia kila Mwenye pesa hata kama ni kichaa
Ivyo wewe msafi unavyo enda kushirki nae unajivisha Maroho machafu kwa starehe ya dk tu🤦‍♂️

2- Ivi unatambua baadhi ya matajiri ununua mbegu zenu kwa hao malaya mnao waita Dada poa 😳
Maana unapo mwaga wanawahi Kukuvua condom😳 na wewe unadhani ni mahaba 😳 Lini malaya akawa na mahaba na Iliali kila Mwenye pesa anakojoa
Kifupi ni kwamba
Baadhi ya matajiri uingia biashara na madada poa wamkusanyie mbegu za wanaume kadhaa na azipeleke kwa mganga ili afanyiwe Dawa ya kusudi lake🤦‍♂️ la utajiri
Ivyo nguvu zako Zote za utafutaji zinauzwa na kahaba kwa elfkumi tu😳 na unakua nguvu zako umezipoteza kwa raha ya dk tu hata upambane vipi utoboi,

3- ukionja uachi kamwe
Tena utajifanya unahudumia kuliko unavyo hudumia Mke wako na watoto
Huku unajua mnakula wengi Lakini uwazi 😳
Kosa la yote nikile kitambaa alicho kufuta Baada ya tendo🤦‍♂️
Akakupumbaza kwa madawa
Ivyo uoni usikii,😳

#JITAMBUE DUNIA HAIPO KAMA UIONAVYO KWA MACHO YA KAWAIDA😳

Usipo kua na jicho la tatu 🔺
Omba Mungu akupe macho ya rohoni.
Hakuna lolote hapo ao wanawake ni kiungo muhimu sana hapa duniani na hata Mwenyezi Mungu anajua kwasababu bila hao wanaume wengi wangeishia kua wapiga punyeto tu
 
1 - Uyo unae mnunua anamvulia kila Mwenye pesa hata kama ni kichaa
Ivyo wewe msafi unavyo enda kushirki nae unajivisha Maroho machafu kwa starehe ya dk tu🤦‍♂️

2- Ivi unatambua baadhi ya matajiri ununua mbegu zenu kwa hao malaya mnao waita Dada poa 😳
Maana unapo mwaga wanawahi Kukuvua condom😳 na wewe unadhani ni mahaba 😳 Lini malaya akawa na mahaba na Iliali kila Mwenye pesa anakojoa
Kifupi ni kwamba
Baadhi ya matajiri uingia biashara na madada poa wamkusanyie mbegu za wanaume kadhaa na azipeleke kwa mganga ili afanyiwe Dawa ya kusudi lake🤦‍♂️ la utajiri
Ivyo nguvu zako Zote za utafutaji zinauzwa na kahaba kwa elfkumi tu😳 na unakua nguvu zako umezipoteza kwa raha ya dk tu hata upambane vipi utoboi,

3- ukionja uachi kamwe
Tena utajifanya unahudumia kuliko unavyo hudumia Mke wako na watoto
Huku unajua mnakula wengi Lakini uwazi 😳
Kosa la yote nikile kitambaa alicho kufuta Baada ya tendo🤦‍♂️
Akakupumbaza kwa madawa
Ivyo uoni usikii,😳

#JITAMBUE DUNIA HAIPO KAMA UIONAVYO KWA MACHO YA KAWAIDA😳

Usipo kua na jicho la tatu 🔺
Omba Mungu akupe macho ya rohoni.
mimi kamwe siwezi toka kwangu eti niende kwa kahaba sijawahi kutana naye kabla kununua penzi.

Ila ni bora uwe na mmoja wa pembeni huyo huyo anakuwa kimada unamuhudumia kila kitu matibabu,kumsomeshea wanawe itapendeza kama ni mjane utapata thawabu kwa MUNGU,NSSF n.k hiyo ndio mbinu yangu mke mmoja ni kimeo hasa ukute ameingia kwenye kufunga zile siku zao wanaita menopause.Ile dini inayoruhusu kuongeza wako sawa kabisa narudia tena mke mmoja ni kimeo na mzigo hasa ukifikia umri wa uzee
 
Utasikia wanakuambia husile Kitimoto , mwingine atakwambua husinywe pombe, mwingine atakwambia husile vyakula vya wanga, mwingine atakwambia husile nyama nyekundu nk.

HAO WOTE WANAOSEMA HIVYO NI VICHAA KAMA HUYU MLETA ..........
yuko mmoja hivi karibuni anaitwa professa (Muddy Jana) ametukataza kula pilau na soda maisha yenyewe ni mafupi sana hata kwenye biblia waliandika mungu alisema maisha ya binadamu ni mafupi sana na yamejaa tabu nyingi.Sijui anataka tuishi miaka 200 kama Kobe? halafu tuanze kusumbua vitukuu vyetu kututunza kututoa nje kwenye jua na kuturudisha ndani kila siku
 
1 - Huyo unaemnunua anamvulia kila Mwenye pesa hata kama ni kichaa
Ivyo wewe msafi unavyoenda kushiriki nae unajivisha Maroho machafu kwa starehe ya dk tu🤦‍♂️

2- Hivi unatambua baadhi ya matajiri ununua mbegu zenu kwa hao malaya mnaowaita Dada poa 😳
Maana unapomwaga wanawahi Kukuvua condom😳 na wewe unadhani ni mahaba 😳 Lini malaya akawa na mahaba na Iliali kila Mwenye pesa anakojoa

Kifupi ni kwamba Baadhi ya matajiri uingia biashara na madada poa wamkusanyie mbegu za wanaume kadhaa na azipeleke kwa mganga ili afanyiwe Dawa ya kusudi lake🤦‍♂️ la utajiri
Hivyo nguvu zako Zote za utafutaji zinauzwa na kahaba kwa elfkumi tu😳 na unakua nguvu zako umezipoteza kwa raha ya dk tu hata upambane vipi utoboi,

3- ukionja uachi kamwe
Tena utajifanya unahudumia kuliko unavyo hudumia Mke wako na watoto
Huku unajua mnakula wengi Lakini uwazi 😳
Kosa la yote nikile kitambaa alicho kufuta Baada ya tendo🤦‍♂️
Akakupumbaza kwa madawa
Ivyo uoni usikii,😳

#JITAMBUE DUNIA HAIPO KAMA UIONAVYO KWA MACHO YA KAWAIDA😳

Usipo kua na jicho la tatu 🔺
Omba Mungu akupe macho ya rohoni.
Ila mbona ndo wanazidi baada ya kupungua na kujua kote huku 🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom