Nikupe siri 3 usizozijua ewe mwanaume unayenunua 'Dada Poa' kwa lengo la kujiridhisha kingono

Nikupe siri 3 usizozijua ewe mwanaume unayenunua 'Dada Poa' kwa lengo la kujiridhisha kingono

“Kwa maana kahaba ni shimo refu; Na malaya ni rima jembamba.

— Mithali 23:27 (Biblia Takatifu)
 
Mithali 23 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁷ Kwa maana kahaba ni shimo refu; Na malaya ni rima jembamba.
²⁸ Naam, huotea kama mnyang'anyi; Huwaongeza wenye hila katika wanadamu.
 
Mimi sinunui malaya lakini huo ujinga sijui wa tajiri ananunua mbegu ni uongo mtupu, uchawi haupo kiongozi... kadanganye wengine..
Hizo hadithi za kwenye vijiwe mkishashiba ugali, mboga za majani na pilipili ya mwendokasi pembeni ni uongo mtupu..

Tuelimike jamani tuache ujinga..
Naona dogo kajichanganya hakujua kama huku ni Facebook 🥺
 
Unaacha malaya wa kimboka aliye direct 🤣🤣 unamchukua mwingine unayeamini ni wa kwako tu unamhudumia kumbe tupo wahuni tunamega kisela 🤣

Kila mwanamke ana price tag yake ! Sema hawa wengine wameamua tu mbwai mbwai hawataki attachment anaset bei yake ! Hawa wengine wanajificha kwenye kivuli cha kuhudumiwa tu!
Kama ni issue za kurogwa hata huyo uliyemweka ndani anaweza kukuroga tu ! Malimbwata yote si yako kwenye ndoa ?

Kusema mikosi inaletwa na kulala na wanaume wengi, wanaooa bikira ni asilimia ndogo sana !! Na ukioa bikira haiondoi ukweli kwamba hatakigawa akikigawa si anabeba mikosi !

Ukija kuoa mtu alishaachana na watu karibia saba hebu tuambie hiyo imekaaje?

Hakuna uhusiano wowote uliopo wa kulala na mwanamke na mikosi , na kutofanikiwa! Mfanye kazi na mtunze akiba !
Usipokula malaya wa kujitambulisha identity yake , utakula malaya anayejificha ficha kwenye kivuli cha kuhudumiwa huo ndo ukweli.

Yaan mimi nazichakata sana tu na mambo yanaenda 🤣 sio kwamba mimi ni tajari ila mishe mishe zinaenda nashkuru Mungu nikikwama najua tu kuna mahala nimekosea Sex iko overated sana halafu kumbe kitu cha kawaida sana tu.
 
Kahaba ni sawa na shimo la choo au dustbin kila mwanaume anatupa uchafu wake pale na mwingine anaubeba uchafu anaondoka nao
 
Mungu wangu! Tufundishe jinsi ya kutongoza tuziepuke hizi laana.

Ah kumbe umesema ukianza huachi, basi bhana.
 
Maneno ya kishujaa sana vijana tujitambue thamn yetu
1. Huyo unaemnunua anamvulia kila Mwenye pesa hata kama ni kichaa, ivyo wewe msafi unavyoenda kushiriki nae unajivisha Maroho machafu kwa starehe ya dk tu🤦‍♂️

2. Hivi unatambua baadhi ya matajiri hununua mbegu zenu kwa hao malaya mnaowaita Dada poa. Maana unapomwaga wanawahi kukuvua condom na wewe unadhani ni mahaba. Lini malaya akawa na mahaba na Iliali kila Mwenye pesa anakojoa?

Kifupi ni kwamba baadhi ya matajiri uingia biashara na madada poa wamkusanyie mbegu za wanaume kadhaa na azipeleke kwa mganga ili afanyiwe Dawa ya kusudi lake la utajiri. Hivyo nguvu zako Zote za utafutaji zinauzwa na kahaba kwa elfkumi tu na unakua nguvu zako umezipoteza kwa raha ya dk tu hata upambane vipi utoboi,

3. Ukionja huachi kamwe. Tena utajifanya unahudumia kuliko unavyo hudumia Mke wako na watoto. Huku unajua mnakula wengi Lakini uwazi. Kosa la yote nikile kitambaa alicho kufuta Baada ya tendo. Akakupumbaza kwa madawa. Ivyo uoni usikii😳

JITAMBUE DUNIA HAIPO KAMA UIONAVYO KWA MACHO YA KAWAIDA😳

Usipo kua na jicho la tatu. Omba Mungu akupe macho ya rohoni.
 
ukionja uachi kamwe
Tena utajifanya unahudumia kuliko unavyo hudumia Mke wako na watoto
Huku unajua mnakula wengi Lakini uwazi 😳
Kosa la yote nikile kitambaa alicho kufuta Baada ya tendo🤦‍♂️
Akakupumbaza kwa madawa
Ivyo uoni usikU



SIO KWELI
Weka ukweli sasa
 
Kwahizi stress tunazopewa na hao waitwao mama watoto kwenye majumba tulioyajenga Kwa mateso mengi! Nasema Mungu aendelee kuwabariki makahaba popote walipo na awafanyie wepesi!

Siku ukahaba ukiisha wanaume wengi tutakufa kwa msongo was mawazo!!!

Acheni kazi iendelee kwakwel!
 
Nikiunua malaya hata haisimamii na ikisimama nakula kimoja na nikila kimoja namchukia balaa na nikimchukia hata kuongea naye sitaki kwakweli asante yesu muhamad Mungu na allah
 
No 2

Hii wengi wanaweza wasiamini, ila ni ukweli kabisaa, ilimtokea rafiki angu, ila yeye sio Dada poa, basi akapata fogo, alikua ana m spoil hatari, sasa ajabu haombi sex, huwezi amini siku 1 yule Fogo, alimfungukia ukweli shostito kua haitaji wafanye mapenzi, ila yeye shost km ana jamaa mwingine awe anatumia condoms ktk sex, afu ahifadhi zile condoms zilizotumika na ampe yeye.

Shost aliduwaa kwani, baadae akamjibu sawa, ndo akaja kwangu kunielezea hili jambo, nkamchana shost huu ni ushirikina, usikubali kuharibu kijana wa watu, yeye si atumie zake kwani hana shahawa.

Na mahusiano yalifia hapo, hii dunia ina mengi nyuma ya pazia.
 
Back
Top Bottom