Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjibu kibabeMkuu pole kwa kuangukiwa na kitu kizito, piga moyo konde uendelee na ishu nyingine.......achana na kujifariji kwamba huyo manzi anaumia kisa umemchunia.
Duuuuh poleeeeh.Nakumbuka nilikuwa mwaka wa pili nililewa mapenz GPA ikashuka, ikaathiri maisha yote, imergine kama unaweka ukapata first class 5.0 ukapata 3.9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maki naona Visungura Vinaongea.
Na sasa chaji imekata bila shaka.
Mchumba katika maisha ya mahusiano ,ni yupiUmesema mchumba tangu 2014?
UliyemposaMchumba katika maisha ya mahusiano ,ni yupi
Sentensi mbili za mwazo imejipa majibu...Nina mchumba angu wa tangia 2014.
Ni single mother wa watoto watatu bado mbichi hajachujuka sana, ni kaunta Bar jina kapuni. Siku moja tulitofautiana nilikaa caunta nikala bia sana, namjua kitabia ukimpa upenyo anakuibia.
Nilimpa Cash akanipa bia. Sikudai chench before hand. Akanipa larger nyingine, wanywaji tunajielewa sana kwa wale wasiojua hilo. Nikaanza nyingine sikuwa nimemlipa safari hii. Baadae akapigia bili mkeka wote. Nilishangaa kimoyomoyo na kumfungukia, akakaza.
Nikamulewesha, akadai nimelewa. Kwa kuwa hatujaachana , ni kitu na dem wake. Tukaendelea, siku moja ninakuta mabadiliko kaunta. Mtu mmja amenipindua, nikasema isiwe kesi. Nikakaa pembeni, mwezi sasa umepita, namuona atapata tabu na mimi nimeamua kula kobis.
Niliamua kuwa mpole maana mapenz ni kuzunguzungu, sikutaka matata. Yaani nikukute na mikwaju mingine nichecheke kama mwehu sii mimi makide, sipendu uchafu
Acha sifa wewe inaonekana hata hiyo GPA uliyo itaja ni ya kufikirikaNakumbuka nilikuwa mwaka wa pili nililewa mapenz GPA ikashuka, ikaathiri maisha yote, imergine kama unaweka ukapata first class 5.0 ukapata 3.9
Wadada wa Bar wanatumia uchawi kuwakamata watu wenye pesa. Kwa iyo, uyo kakumata na uwezi muachaNimecheka eti ana watoto watatu harafu bado mbichi mbichi ukipata mbichi kweli sijui utamwita nani? daah madomo zege mns tabu sana papuchi za kumwaga hizi ninyi bado mnahangaika na Vietnam hizo...
Wanajiroga wenyewe kwa kuwa hawajakutana na watundu mkuu ndio maana unaona huyu jamaa analialia hapa na hawezi kuchomoka kwenye hiyo Pandu mpaka atolewe na watu...Wadada wa Bar wanatumia uchawi kuwakamata watu wenye pesa. Kwa iyo, uyo kakumata na uwezi muacha