Nikutongoze tukubaliane, halafu nikukute na mwanaume mwingine uzuge zuge! Labda kama sio Makide mimi

Nikutongoze tukubaliane, halafu nikukute na mwanaume mwingine uzuge zuge! Labda kama sio Makide mimi

Mkuu pole kwa kuangukiwa na kitu kizito, piga moyo konde uendelee na ishu nyingine.......achana na kujifariji kwamba huyo manzi anaumia kisa umemchunia.
 
😅😂 leo umelewa sana Kiongozi, nenda tu kalale uepushe mengine yasitokee
 
Maki naona Visungura Vinaongea.
Na sasa chaji imekata bila shaka.
 
Nina mchumba angu wa tangia 2014.

Ni single mother wa watoto watatu bado mbichi hajachujuka sana, ni kaunta Bar jina kapuni. Siku moja tulitofautiana nilikaa caunta nikala bia sana, namjua kitabia ukimpa upenyo anakuibia.

Nilimpa Cash akanipa bia. Sikudai chench before hand. Akanipa larger nyingine, wanywaji tunajielewa sana kwa wale wasiojua hilo. Nikaanza nyingine sikuwa nimemlipa safari hii. Baadae akapigia bili mkeka wote. Nilishangaa kimoyomoyo na kumfungukia, akakaza.

Nikamulewesha, akadai nimelewa. Kwa kuwa hatujaachana , ni kitu na dem wake. Tukaendelea, siku moja ninakuta mabadiliko kaunta. Mtu mmja amenipindua, nikasema isiwe kesi. Nikakaa pembeni, mwezi sasa umepita, namuona atapata tabu na mimi nimeamua kula kobis.

Niliamua kuwa mpole maana mapenz ni kuzunguzungu, sikutaka matata. Yaani nikukute na mikwaju mingine nichecheke kama mwehu sii mimi makide, sipendu uchafu
Sentensi mbili za mwazo imejipa majibu...


Kaka kapime afya yako....
 
Nimecheka eti ana watoto watatu harafu bado mbichi mbichi ukipata mbichi kweli sijui utamwita nani? daah madomo zege mns tabu sana papuchi za kumwaga hizi ninyi bado mnahangaika na Vietnam hizo...
 
Nakumbuka nilikuwa mwaka wa pili nililewa mapenz GPA ikashuka, ikaathiri maisha yote, imergine kama unaweka ukapata first class 5.0 ukapata 3.9
Acha sifa wewe inaonekana hata hiyo GPA uliyo itaja ni ya kufikirika
 
Nimecheka eti ana watoto watatu harafu bado mbichi mbichi ukipata mbichi kweli sijui utamwita nani? daah madomo zege mns tabu sana papuchi za kumwaga hizi ninyi bado mnahangaika na Vietnam hizo...
Wadada wa Bar wanatumia uchawi kuwakamata watu wenye pesa. Kwa iyo, uyo kakumata na uwezi muacha
 
Wanaume bwana yaani demu yupo exposed hvyo mtu anampenda kiasi hicho demu wa bar unampa moyo wako.
 
Wadada wa Bar wanatumia uchawi kuwakamata watu wenye pesa. Kwa iyo, uyo kakumata na uwezi muacha
Wanajiroga wenyewe kwa kuwa hawajakutana na watundu mkuu ndio maana unaona huyu jamaa analialia hapa na hawezi kuchomoka kwenye hiyo Pandu mpaka atolewe na watu...
 
Back
Top Bottom