Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,011
Sawa tuuu. Kikubwa umeelewa.Sio KULA ni KURA
CCM inawalea kwenye nini? Wasanii wengi waliofanikiwa wanakwambia machungu waliyopitia hadi kutoboa, mfano diamond alisema wasanii wanatumika wakati wa kampeni ila baada ya uchaguzi vinajengwa viwanja vya soka na sio ukumbi wa muziki ambao unakidhi vigezo vya msanii wa marekani kufanya show, waliahidiwa pale tanganyika packers pangejengwa lakini hadi leo kimya.Sawa tuuu. Kikubwa umeelewa.
Lakini wasani hawa wangehudhuria mkutano wa lisu, ungesikia ufipa nzima inabwabwaja eti wamejitambua. Ila kwakuwa wamehudhuria mikutano ya chama chao CCM ambacho ndio mlezi wao, sasa imekuwa nongwa
Kwani ulitaka na wao baada ya uchaguzi wawe wabunge au maraisi? Mbona hata wapiga kura baada ya kampeni na uchaguzi wanarudi kwenye majukum yao ya kawaida? Wanaufipa semeni tuuu kwamba mnaona nongwa kuona wasanii ni wanaccm. Lakini akitokea msaani mkubwa akaja kwenye hicho chama chenu utasikia ufipa yote mnabwabwaja eti Amejitambua. Acheni nongwa wasaniii wanauhuru wa kuwa mwanachama chochote wakipendacho acheni wivuuu.CCM inawalea kwenye nini? Wasanii wengi waliofanikiwa wanakwambia machungu waliyopitia hadi kutoboa, mfano diamond alisema wasanii wanatumika wakati wa kampeni ila baada ya uchaguzi vinajengwa viwanja vya soka na sio ukumbi wa muziki ambao unakidhi vigezo vya msanii wa marekani kufanya show, waliahidiwa pale tanganyika packers pangejengwa lakini hadi leo kimya.
Una kichwa kigumu mno, mimi nakataa kusema ccm inawalea. Ccm haina msaada wowote kwa wasanii zaidi ya kuwatumia tu, mara ngapi media zimelalamikiwa na wasanii lakini ccm haiwasaidii?Kwani ulitaka na wao baada ya uchaguzi wawe wabunge au maraisi? Mbona hata wapiga kura baada ya kampeni na uchaguzi wanarudi kwenye majukum yao ya kawaida? Wanaufipa semeni tuuu kwamba mnaona nongwa kuona wasanii ni wanaccm. Lakini akitokea msaani mkubwa akaja kwenye hicho chama chenu utasikia ufipa yote mnabwabwaja eti Amejitambua. Acheni nongwa wasaniii wanauhuru wa kuwa mwanachama chochote wakipendacho acheni wivuuu.
Una kichwa kigumu mno, mimi nakataa kusema ccm inawalea. Ccm haina msaada wowote kwa wasanii zaidi ya kuwatumia tu, mara ngapi media zimelalamikiwa na wasanii lakini ccm haiwasaidii?
Matusi yanapelekwa mahakamani sio kutekana, fuvu lako limetumika kutunzia nini?Huyo jamaa yako alitukana
CCM ni jitu kubwa kama upo Tanzania angalia pembeni kuna kitega uchumi cha CCM, Je unajua ruzuku ya CCM?,je unajua matajiri wakubwa unaowajua Tanzania hii wanafadhili mikutano ya CCM? CCM NG'ARA!NG'ARA CCM NG'ARA!Ccm wametoa wapi pesa ya kukodisha wasanii? Si bure nchi inauzwa kirahisi kwa hizo hadaa. Watu wanakusanya watu ili wapige picha za kwenda kuchukulia hela kwa waarabu kwa hadaa kuwa wanakubalika.
Kama mnaushaidi na kutekana nendeni mahakamani.Matusi yanapelekwa mahakamani sio kutekana, fuvu lako limetumika kutunzia nini?
Ni chawa wao🤗Pale uwanja wa taifa palikuwa na vihoja vikubwa sana. Utitiri wa wasanii wa tasnia zote wakiimba ccm ni mbele kwa mbele ! Wameenda kwa mapenzi ama ni nguvu ya bahasha?
Iweje Kila msanii awe CCM? Ni wasanii wangapi wanaunga mkono upinzani na wanaweza kujitokeza hadharani na kuungana na team ya lissu na mbowe kwenye kampeni yao ya 255?
Kama ni bahasha basi nchi hii Ina safari ndefu katika vita dhidi ya rushwa ya kisiasa ! Itafutwe namna ya kuwakomboa vijana kifikra
Nikikumbuka kuwa mimi ni mtanzania uwa najiskia kulia kusema kweli.Pale uwanja wa taifa palikuwa na vihoja vikubwa sana. Utitiri wa wasanii wa tasnia zote wakiimba ccm ni mbele kwa mbele ! Wameenda kwa mapenzi ama ni nguvu ya bahasha?
Iweje Kila msanii awe CCM? Ni wasanii wangapi wanaunga mkono upinzani na wanaweza kujitokeza hadharani na kuungana na team ya lissu na mbowe kwenye kampeni yao ya 255?
Kama ni bahasha basi nchi hii Ina safari ndefu katika vita dhidi ya rushwa ya kisiasa ! Itafutwe namna ya kuwakomboa vijana kifikra
Mahakama gani unadhani inaweza peleka kiongozi wa ccm mhalifu?Kama mnaushaidi na kutekana nendeni mahakamani.
Chama kubwa kinachotegemea fadhila za wakwepa kodi na wauza unga, hamna chama hapo bali ni genge la majizi.CCM ni jitu kubwa kama upo Tanzania angalia pembeni kuna kitega uchumi cha CCM, Je unajua ruzuku ya CCM?,je unajua matajiri wakubwa unaowajua Tanzania hii wanafadhili mikutano ya CCM? CCM NG'ARA!NG'ARA CCM NG'ARA!
Pelekeni uongo wenu hukooo. Ndio maaana mnaishia kulia lia tuuu. Kiki mzitengeneze wenyewe halafu eti muipake matope serikaliii. Tumeshawagunduaa.Mahakama gani unadhani inaweza peleka kiongozi wa ccm mhalifu?
Kama kesi ya Naibu Waziri kumtumbukizia chupa ya soda kijana huko Manyara haikupelekwa mahakamani unaionaje hiyo? Haya haikupelekwa, mbadala ikaenda kwa kutumia Private prosecution method nayo anaingilia kati DPP Kuifuta!
Ingekuwa Kenya hiyo, DPP angekuja shangaa member wa family yake mmoja ametumbukizwa chupa ya Coca ajue uchungu ukoje.
Unaishi dunia ya kijima na hata habari sahihi huwezi pata bali propaganda na uongo wa CCM.Pelekeni uongo wenu hukooo. Ndio maaana mnaishia kulia lia tuuu. Kiki mzitengeneze wenyewe halafu eti muipake matope serikaliii. Tumeshawagunduaa.
Wewe unayeishi hiyo dunia ya kutengeneza mapropaganda ya kuichafua serikali, unafikiri utafanikiwaa chochote. Matukio mtengeneze nyinyi eti mkaichafue serikali. Hovyo kabisaaa. Mtachafuka nyinyi na kiki zenuuUnaishi dunia ya kijima na hata habari sahihi huwezi pata bali propaganda na uongo wa CCM.
Kama yule kijana ni muongo hivyo kamdanganya hadi presidaa hata akamfyeka Naibu waziri?
Kwa hiyo nchi ni dhaifu hadi NW anaondolewa kwa uzushi wa kijana mdogo?
Huwezi kuwa cartel kama sio mwanaccm ukasalimika.Pale uwanja wa taifa palikuwa na vihoja vikubwa sana. Utitiri wa wasanii wa tasnia zote wakiimba ccm ni mbele kwa mbele ! Wameenda kwa mapenzi ama ni nguvu ya bahasha?
Iweje Kila msanii awe CCM? Ni wasanii wangapi wanaunga mkono upinzani na wanaweza kujitokeza hadharani na kuungana na team ya lissu na mbowe kwenye kampeni yao ya 255?
Kama ni bahasha basi nchi hii Ina safari ndefu katika vita dhidi ya rushwa ya kisiasa ! Itafutwe namna ya kuwakomboa vijana kifikra
Kumbe!Ccm wametoa wapi pesa ya kukodisha wasanii? Si bure nchi inauzwa kirahisi kwa hizo hadaa. Watu wanakusanya watu ili wapige picha za kwenda kuchukulia hela kwa waarabu kwa hadaa kuwa wanakubalika.