Nikweli yasemwayo kuwa wanaume wa Dar hawawezi kumenya muwa Otherwise watengenezewe juice?

Lakini Mkoa unaoongoza kwa upinde ni Arusha, Zanzibar na Tanga
 
Dar hatuna mambo mengi akili tu, nyie kutoka mikoani mnakuja na miguvu yenu ndio tunawatumia kutuchotea maji ya kuoga tunawalipa mia tano mpate hela za kununua mbegu za mahindi mkalime kwenu mje mtuuzie tule.
 
Ndio.
 
Ukiwa mjini sikatai mkuu wangu. shida tupo shambani anataka amenyewe ndo ale na anasema wazi hajawahi kabisa kumenya kwa mdomo wake!
Huyo jamaa alionyesha mambo ya mjini shambani ? 🤣🤣🤣
Nakumbuka nilienda Kijijini nikawa naongea Kisukuma wakaanza kuniletea ujuaji Wanyantuzu. Wewe unaongea Kisukuma sisi tunaongea Kiswahili mbona unajifanya mjuaji sana ? ???

Nikawaambia hapa ni home tuongee cha home, achananeni na Kiswahili.
 
Kijijini unatafuna muwa road huku ukipiga misele, unadondosha maganda utakavyo, unaenjoy vibaya mno
Dar kila pahala mtu katandika biashara yake, kula muwa ni mpaka ufike kwako, na joto la dar kumenya muwa ni kama adhabu tu.

Wauza juice ya muwa big up sana kwao, wanarahisisha mambo.
 
Sasa anatka muwa amenyewe halafu tupo wanaume wote. nikamwambia beba kamenyee kwako.
akasema angekuwa na machine ya kukamua angekamua juice kabisa.


Kuna jamaa miaka ya 2003 alirudi kutoka zanzibar akijidai kisukuma kashakisahau. Yaani aliondoka mkubwa tu baada ya miaka miwili eti kisukuma hakijui tena. nilimwambia lekaga ubhunywana nkoyi
 
🤣Nasekhaga sana nkoi mbavu Jane
 
Sio Dar tu pekee yake ni mjini kote. sasa hyu jamaa tulienda nae shambani akasema hajui kumenyenya muwa kwa mdomo na hajawahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…