Kwamba 🤣bhale ba mjini bale utindio gwa brain🤣ontwehahahaaaa bhanu bhaliho abha tuja gete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba 🤣bhale ba mjini bale utindio gwa brain🤣ontwehahahaaaa bhanu bhaliho abha tuja gete
Na unachomekea kabisa kwenda ukweni kusalimia🤣Mimi ni msukuma lakini siwezi kutafuna Kula embe ambalo halijamwe

Mhola dohoNkoi kinehe
Sio miji yote mzee, dar ndo wanamenyewa na kama dogo hajawahi kutoka dar ni jambo la ajabu kwake kukuta mtu anamenya muwa anakula, anenda shambani anamenya nanasi anakula wakati wao ni juice juice tu.Sio Dar tu pekee yake ni mjini kote. sasa hyu jamaa tulienda nae shambani akasema hajui kumenyenya muwa kwa mdomo na hajawahi
Nikweli mkuuSio miji yote mzee, dar ndo wanamenyewa na kama dogo hajawahi kutoka dar ni jambo la ajabu kwake kukuta mtu anamenya muwa anakula, anenda shambani anamenya nanasi anakula wakati wao ni juice juice tu.
UnajieteaTukivunja na meno ndugu zenu wanaotoka huko wanakuja kutuuzia miwa na kutembeza wasingepata fursa.
Lengo walitaka waseme NyashTigo sasa ni yas
Si unaona mpaka na Diamond siku hizi ameanza ku-act kama shoga baada ya kujilazimisha kupakwa mafuta ya mgongo na P. Diddy.Daaah haya nilikuwa sijua asee
hahahaSi unaona mpaka na Diamond siku hizi ameanza ku-act kama shoga baada ya kujilazimisha kupakwa mafuta ya mgongo na P. Diddy.
Angalia asikupe YAS washenzi sanaWanaume wa Dar mmiminike kujibu hoja zetu za wanaume wa mkoani.
Wadau mambo mengi yanasemwa sana kuhusu wanaume wa dar mengi yakiwasilishwa kwa njia ya utani.
Leo asubuhi nimekutana na jamaa yangu tunafanya nae kazi pamoja katika story ikabidi twende nae shamba
kwenye lile shamba huwa kuna miwa kadhaa nikaona sio mbaya tupate miwa mimi na jamaa yangu.
Bahati mbaya hatukuwa na panga wala kisu.
Kama mjuavyo miwa ni mirahisi sana kuvunjika nimekanya muwa ukavunjika na kuvunja kipande nikamgawia akasema wewe!!! muwa unakulaje bila kumenyewa na kukatiwa katiwa vipande vidogo vidogo unakuwa unatafuna tu?
Akasema kwetu { Dar} lazima muwa umenywe na kukatwa vipande. Sijawahi kula muwa kwa namna hii.
Muda huo mimi nashangaa tu huku nakula muwa wangu na nikweli hakula alibeba akasema afike home aumenye.
Huku raha ya muwa umenye kwa meno yako na unalitafuna kidogo Ganda lake then unaitema.
Mnafeli wapi wanaume wa Daslma?View attachment 3161575
Watu wanasema Nyash sio YAS tenaAngalia asikupe YAS washenzi sana