Nikweli yasemwayo kuwa wanaume wa Dar hawawezi kumenya muwa Otherwise watengenezewe juice?

Nikweli yasemwayo kuwa wanaume wa Dar hawawezi kumenya muwa Otherwise watengenezewe juice?

Sio Dar tu pekee yake ni mjini kote. sasa hyu jamaa tulienda nae shambani akasema hajui kumenyenya muwa kwa mdomo na hajawahi
Sio miji yote mzee, dar ndo wanamenyewa na kama dogo hajawahi kutoka dar ni jambo la ajabu kwake kukuta mtu anamenya muwa anakula, anenda shambani anamenya nanasi anakula wakati wao ni juice juice tu.
 
Wanaume wa Dar mmiminike kujibu hoja zetu za wanaume wa mkoani.

Wadau mambo mengi yanasemwa sana kuhusu wanaume wa dar mengi yakiwasilishwa kwa njia ya utani.
Leo asubuhi nimekutana na jamaa yangu tunafanya nae kazi pamoja katika story ikabidi twende nae shamba
kwenye lile shamba huwa kuna miwa kadhaa nikaona sio mbaya tupate miwa mimi na jamaa yangu.

Bahati mbaya hatukuwa na panga wala kisu.

Kama mjuavyo miwa ni mirahisi sana kuvunjika nimekanya muwa ukavunjika na kuvunja kipande nikamgawia akasema wewe!!! muwa unakulaje bila kumenyewa na kukatiwa katiwa vipande vidogo vidogo unakuwa unatafuna tu?

Akasema kwetu { Dar} lazima muwa umenywe na kukatwa vipande. Sijawahi kula muwa kwa namna hii.

Muda huo mimi nashangaa tu huku nakula muwa wangu na nikweli hakula alibeba akasema afike home aumenye.

Huku raha ya muwa umenye kwa meno yako na unalitafuna kidogo Ganda lake then unaitema.

Mnafeli wapi wanaume wa Daslma?View attachment 3161575
Angalia asikupe YAS washenzi sana
 
Back
Top Bottom