Nikweli yasemwayo kuwa wanaume wa Dar hawawezi kumenya muwa Otherwise watengenezewe juice?

Sio Dar tu pekee yake ni mjini kote. sasa hyu jamaa tulienda nae shambani akasema hajui kumenyenya muwa kwa mdomo na hajawahi
Sio miji yote mzee, dar ndo wanamenyewa na kama dogo hajawahi kutoka dar ni jambo la ajabu kwake kukuta mtu anamenya muwa anakula, anenda shambani anamenya nanasi anakula wakati wao ni juice juice tu.
 
Angalia asikupe YAS washenzi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…