Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Wana jukwa salaam kwenu.
Imekuwa kawaida kwangu Mimi kula ugali na wali kama Chakula kikuu siku hadi siku. Sasa nimepata wazo la kuviweka kando kwa siku 14 bila kuvigusa
Hivyo naomba mniambie kwa hapa kwetu Tanzania ni Chakula gani mbadala naweza kutumia kwa hizo siku 14 na mwili ukabaki na nguvu zake zile zile
1.Jumapili
2.Jumatatu
3.Jumanne
4.Jumatano
5.Alhamisi
6.Ijumaa
7.Jumamosi
8.Jumapili
Natanguliza shukrani za dhati
Imekuwa kawaida kwangu Mimi kula ugali na wali kama Chakula kikuu siku hadi siku. Sasa nimepata wazo la kuviweka kando kwa siku 14 bila kuvigusa
Hivyo naomba mniambie kwa hapa kwetu Tanzania ni Chakula gani mbadala naweza kutumia kwa hizo siku 14 na mwili ukabaki na nguvu zake zile zile
1.Jumapili
2.Jumatatu
3.Jumanne
4.Jumatano
5.Alhamisi
6.Ijumaa
7.Jumamosi
8.Jumapili
Natanguliza shukrani za dhati