Nile chakula gani tofauti na wali na ugali kwa muda wa wiki mbili mfulizo?

Nile chakula gani tofauti na wali na ugali kwa muda wa wiki mbili mfulizo?

1.Viazi vitamu-option ya kukaanga ama kuchemsha..siku 2 hizo

2.viazi ulaya-kukaanga,kuoka na mashed potatoes-siku 3 hizooo

3.tambi
4.Boga la kuchemsha
5.Chapati
6.ndizi mzuzu za kuchemsha na kukaanga -siku 2 hapoo
7.ndizi bukoba-za kukaanga na za kuweka kwenye mchemsho
8.mahindi ya kuchemsha
9.magimbi ya kuchemsha na futari
10.mihogo-ya kuchemsha,ya kukaanga na ya futari ya nazii

kama siku 15 hapo
then js serve kwa kubadili badili mboga of ur choice
Haya hapo kwenye tambi napo panalika kwa styles tofauti
Mfano ;
1.tambi plain
2.tambi na vegetables
3.tambi na sausage
4.tambi/spaghetti na nyama ya kusaga
5.Pasta salad
6.Macaroni and cheese
 
Na siku ingine kula tu;
fruit salad
Ama vegetable salad kusafisha mwili tuu
 
Mbona naona Menu yako hapo juu imejaa wanga tupu kuanzia jtatu to Jpili..!??

Mihogo,Ndizi,Magimbi,Tambi si bado wanga tu!??au umepunguza ulaji tu rafiki
Hiyo sio menu yangu, mtu alitaka ratiba ambayo haitahusisha wali na ugali na nikamjibu, wala hamna mahala niliposema hiyo ni menu yangu
 
Back
Top Bottom