Nilee mimba au nimwache?

Labda wewe hilo suala unachukulia kawaida ndio maana na yeye haachi.

Na huenda ni kweli hana mahusiano na huyo jamaa na nafsi yake inamshuhudia hiyo, ila siku jamaa akitaka mchezo kuchomo sidhani kama ana ubavu huo.
 
Unataka vita na wakurya na maasai? Why wao

Huyo ex inawezekana ndio baba kijacho au kuna sintofaham ndio maana bado mawasiliano yapo
 
Aisee sio kiivo huko ni kuendesha na nyege sio mapenz
 
Sio wako huo ujauzito. !!.
 
Angekuwa singo maza tungesema anawasiliana na mzazi mwenzie kuhusu mtoto wao, haya mambo ni tabia tu ya mtu. Ila watu wanapenda sana kuwashambulia masingo maza,kumbe hata wanawake fresh wanaowaoa huweza kuwasiliana na wapenz wao wa nyuma. Nakushaur sikiliza moyo wako
 
Na hizi ndio NDOA ZENU.
Halafu Kuna mbwa anakuja kunishauri NIOEEE
πŸ™„πŸ™„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

#YNWA
 
Acha mambo ya wivu wakijinga.
Kuchapiwa hakuepukiki. Cha msingi wewe sii unapata mbususu kwa muda wako. Na hakikisha na wewe unakuwa na micheps miwili yenye shape na sura kuzidi yeye maisha yanaenda
Aya ndio mnayafanya kwenye ndoa?

#YNWA
 
Aya ndio mnayafanya kwenye ndoa?

#YNWA
Wee ulitaka yafanyike wapi? Mbona hata kwa wagegedaji kama sie yanatokea tuu.
Mwanaume au mwanamke kuwa na partners kadhaa ni jambo la kawaida sasa so wala usiumize kichwa wether umeoa au unazichakata tuu
 
πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€
 
Niimkataza mimba ikiwa ina miezi miwili Ila cha ajabu nmekaa sasa hivi ina miez saba nmekuta bado wana mawasiliano ila yeye anadai jamaa ndo huo anampigia nkamwambia kwann usimblock Hana jibu.
Pole sana, shutka mapema...
 
Kwann huwa mnaowa wake za watuuu.......nliona fb dem wangu wa advance anafunga ndo mapicha kama yote nkamtext vp umeniacha akasema ww siwez kukuacha vjn achen kuolea genye.....
Daaaah, me ex wangu aliolewa na mchungaji na anahudumu kanisa huu mwaka wa3 sasa ila bado simu zinapigwa lakini me naogopa kabisa kumla mke wa mchungaji, hata washkaji wamenionya.
 
Vipi wewe uliye naye anakuridhisha?
 
Wewe lea mimba mkuu,
Hayo mengine muachie yeye..

Kingine kama wana mtoto na X wake hapo huna namna waache wawasiliane tu hakuna baya ndo utaratibu upo hivyo
 
Huyu bado hajaweza kukutofauti na ex, ndio maana ameshindwa kuheshimu makatazo yako, hana hofu ya kukupoteza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…