Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Unataka vita na wakurya na maasai? Why waoHauna shughuli yaani show kali ndo maana bado anakmkumbuka Ex wake vile alivyokuwa anamuandaa hana papara dem bao 3 2 za foreplay romance moja ya dyudu πsasa wewe mwenzangu na mie sasa kama Mkurya au Mmasai jamani sijataja kabila πna ubaya wanawake wengi sio watu wa wazi hata kama humlizishi hawezi kusema baby nifanyie hiki niguse hapa matokeo yake anamkumbuka X wake alokuwa anampatia.
Aisee sio kiivo huko ni kuendesha na nyege sio mapenzHauna shughuli yaani show kali ndo maana bado anakmkumbuka Ex wake vile alivyokuwa anamuandaa hana papara dem bao 3 2 za foreplay romance moja ya dyudu πsasa wewe mwenzangu na mie sasa kama Mkurya au Mmasai jamani sijataja kabila πna ubaya wanawake wengi sio watu wa wazi hata kama humlizishi hawezi kusema baby nifanyie hiki niguse hapa matokeo yake anamkumbuka X wake alokuwa anampatia.
Sio wako huo ujauzito. !!.Naombeni ushauri mke wangu ameshika ujauzito ambao ndo wa Kwanza ila ana mawasiliano bhado na eX wake.
Niimkataza mimba ikiwa ina miezi miwili Ila cha ajabu nmekaa sasa hivi ina miez saba nmekuta bado wana mawasiliano ila yeye anadai jamaa ndo huo anampigia nkamwambia kwann usimblock Hana jibu.
Halafu na pia hiyo imenipa mashaka ujauzito unaweza usiwe wa kwangu.
Naombeni ushauri wenu.
Aya ndio mnayafanya kwenye ndoa?Acha mambo ya wivu wakijinga.
Kuchapiwa hakuepukiki. Cha msingi wewe sii unapata mbususu kwa muda wako. Na hakikisha na wewe unakuwa na micheps miwili yenye shape na sura kuzidi yeye maisha yanaenda
Nilitaka nimtukane lakini nikakuta wewe umemuweza zaidi. Atakakoma kuanzisha thread za aina hii.Sasa ataachaje kuwasiliana na baba kijacho kuhusu jina la mtoto wao.
Pole sana mkuu
Wee ulitaka yafanyike wapi? Mbona hata kwa wagegedaji kama sie yanatokea tuu.Aya ndio mnayafanya kwenye ndoa?
#YNWA
ππππNaombeni ushauri mke wangu ameshika ujauzito ambao ndo wa Kwanza ila ana mawasiliano bhado na eX wake.
Niimkataza mimba ikiwa ina miezi miwili Ila cha ajabu nmekaa sasa hivi ina miez saba nmekuta bado wana mawasiliano ila yeye anadai jamaa ndo huo anampigia nkamwambia kwann usimblock Hana jibu.
Halafu na pia hiyo imenipa mashaka ujauzito unaweza usiwe wa kwangu.
Naombeni ushauri wenu.
Pole sana, shutka mapema...Niimkataza mimba ikiwa ina miezi miwili Ila cha ajabu nmekaa sasa hivi ina miez saba nmekuta bado wana mawasiliano ila yeye anadai jamaa ndo huo anampigia nkamwambia kwann usimblock Hana jibu.
Daaaah, me ex wangu aliolewa na mchungaji na anahudumu kanisa huu mwaka wa3 sasa ila bado simu zinapigwa lakini me naogopa kabisa kumla mke wa mchungaji, hata washkaji wamenionya.Kwann huwa mnaowa wake za watuuu.......nliona fb dem wangu wa advance anafunga ndo mapicha kama yote nkamtext vp umeniacha akasema ww siwez kukuacha vjn achen kuolea genye.....
Unaibiwa wewe hebu shtukaila ana mawasiliano bhado na eX wake.
Vipi wewe uliye naye anakuridhisha?Hauna shughuli yaani show kali ndo maana bado anakmkumbuka Ex wake vile alivyokuwa anamuandaa hana papara dem bao 3 2 za foreplay romance moja ya dyudu πsasa wewe mwenzangu na mie sasa kama Mkurya au Mmasai jamani sijataja kabila πna ubaya wanawake wengi sio watu wa wazi hata kama humlizishi hawezi kusema baby nifanyie hiki niguse hapa matokeo yake anamkumbuka X wake alokuwa anampatia.
Wewe lea mimba mkuu,Naombeni ushauri mke wangu ameshika ujauzito ambao ndo wa Kwanza ila ana mawasiliano bhado na eX wake.
Niimkataza mimba ikiwa ina miezi miwili Ila cha ajabu nmekaa sasa hivi ina miez saba nmekuta bado wana mawasiliano ila yeye anadai jamaa ndo huo anampigia nkamwambia kwann usimblock Hana jibu.
Halafu na pia hiyo imenipa mashaka ujauzito unaweza usiwe wa kwangu.
Naombeni ushauri wenu.
Huyu bado hajaweza kukutofauti na ex, ndio maana ameshindwa kuheshimu makatazo yako, hana hofu ya kukupoteza.Naombeni ushauri mke wangu ameshika ujauzito ambao ndo wa Kwanza ila ana mawasiliano bhado na eX wake.
Niimkataza mimba ikiwa ina miezi miwili Ila cha ajabu nmekaa sasa hivi ina miez saba nmekuta bado wana mawasiliano ila yeye anadai jamaa ndo huo anampigia nkamwambia kwann usimblock Hana jibu.
Halafu na pia hiyo imenipa mashaka ujauzito unaweza usiwe wa kwangu.
Naombeni ushauri wenu.