Nilee mimba au nimwache?

Nilee mimba au nimwache?

Naombeni ushauri mke wangu ameshika ujauzito ambao ndo wa Kwanza ila ana mawasiliano bhado na eX wake.

Niimkataza mimba ikiwa ina miezi miwili Ila cha ajabu nmekaa sasa hivi ina miez saba nmekuta bado wana mawasiliano ila yeye anadai jamaa ndo huo anampigia nkamwambia kwann usimblock Hana jibu.

Halafu na pia hiyo imenipa mashaka ujauzito unaweza usiwe wa kwangu.

Naombeni ushauri wenu.
Wewe ni mpumbavu.
 
Acha mambo ya wivu wakijinga.
Kuchapiwa hakuepukiki. Cha msingi wewe sii unapata mbususu kwa muda wako. Na hakikisha na wewe unakuwa na micheps miwili yenye shape na sura kuzidi yeye maisha yanaenda
Vipi kuhusu kuambukizana magonjwa?
 
Kumbuka vizuri namna mlivyo kutana utapata jibu kuwa una mke au ka çhangu kalichotulia na x wake¡
Huu ni ukweli ambawo hatutaki kuuskia
Mwanamke uliyemshawishi sana kwa Hela Ili uwe naye jua hakupendi,
Mwanamke anayekuomba Hela hovyo jua hakupendi!
 
Uyu mwanamke ukiendelea nae anakuuwa kwa msongo wa mawazo
 
Vumilia kidogo katoto kakizaliwa kapime naye DNA... alaf fanya maamuzi
Bado miezi miwili tu jombaa
 
Naombeni ushauri mke wangu ameshika ujauzito ambao ndo wa Kwanza ila ana mawasiliano bhado na eX wake.

Niimkataza mimba ikiwa ina miezi miwili Ila cha ajabu nmekaa sasa hivi ina miez saba nmekuta bado wana mawasiliano ila yeye anadai jamaa ndo huo anampigia nkamwambia kwann usimblock Hana jibu.

Halafu na pia hiyo imenipa mashaka ujauzito unaweza usiwe wa kwangu.

Naombeni ushauri wenu.
Atakuwa anaendelea kumpa nyapu ilihali ana ujauzito wako. Kuna jamaa wanapenda sana kula wajawazito kwa reason kuwa wanakuwa na joto jingi sana kipindi hicho.
 
Back
Top Bottom