Mungu anapatikana kanisani?Angalia ukristo unasemaje sio wakristo wanafanyaje wao matendo yao kinyume na biblia sio juu yako kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake
Zimenifikia vilivyo kabisa. [emoji23][emoji23][emoji23]Heshima kwako mtetezi
😂😂😂hutaki shidaWazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.
Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.
Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.
Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.
Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.
Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Kabisa😂😂😂hutaki shida
Rejea maazimio ya freemason utapata jibu.Kweli. Lakini kwanini ushoga unakuwa promoted kwa gharama kubwa?
Kuna makanisa ya aina mbili la Mungu na la shetaniMungu anapatikana kanisani?
Comment ya kulipiza kisaai unajaribu kurusha na wewe dongo kwa waislamu ili wapate maumivu kama ulivyopata wewe, Hakuna Suna ya ushoga kwenye uislamu ni dhambi kubwa na limekewa vikali kwenye Quran na mtume .Mashehe wengi ni wapenzi wa kula jicho...eti suna
Tofauti na hao wanaofunga ndoa ni usiri(misikiti) na uwazi(makanisa).
Wewe mwabudu Mungu usifuate watu.
La shetani likoje? Kwanini lisajiliwe nchini?Kuna makanisa ya aina mbili la Mungu na la shetani
Msikilize huyu katibu wa iluminat mstaafu alishiriki vikao vyao vya kupitisha ajenda za ushoga, mabadiliko ya tabia nchi na mipango mingi ya kidunia ishatimia na mingine inakuja.Kweli. Lakini kwanini ushoga unakuwa promoted kwa gharama kubwa?
[emoji23][emoji23][emoji23]Baba dume
Mama dume
Issue kama hiyo ilinitokea kwenye club moja darisalama niko nimekaa nakula mambo taratibu kupoteza muda mara wakatokea mablaza wawili wakakaa pale nilipo kwa muonekano ukiwacheki ni wanaume hata sauti zao za kiume ila sasa wanavyo behave iliniacha hoi kabisa wakaanza kuweka miguu mezani wakichat chat na simu nikasema hapa wananiharibia siku hawa ilinibidi nibadili kiwanja...Hakika nilibishana sana na Mzungu mmoja mcanada kuhusu kipi ni upuuzi zaidi, kati ya ndoa za mashoga na ndoa za wake wengi!? Tuliishie kuchukizana tu.
Wakati huo kulikuwa na kesi ya kikatiba ilifunguliwa na aboriginal-wenye asili ya Canada wakitaka ndoa za wake wengi ziruhusiwe kama mwanzo, na kulikuwa na viapo vya wanawake elfu sita wakiunga mkono kesi hiyo. Sijafuatilia kesi iliishaje.
PENYE MASHOGA SIKAI, Kuna bar DSM nilienda nilipoona jamaa lenye dalili za ushoga niliondoka fasta na sirudi tena hapo.
Kwann isisajiliwe kama wanatimiza masharti.La shetani likoje? Kwanini lisajiliwe nchini?
Vipi kuhusu misikiti, je ipo ya shetani na ya Mungu?
Vipi kuhusu misikiti, je ipo ya Mungu na ya sheitwani?Kwann isisajiliwe kama wanatimiza masharti.
Unayatambua kwa matendo yao.
hivi hiyo kitu huwa ni suna kweli au masighara? na kama ni suna inakuwa vp suna, embu tupe muongozo sheighe
Asante kwa taarifa,hapa tunaelimishana tu na hakuna nia mbaya.Comment ya kulipiza kisaai unajaribu kurusha na wewe dongo kwa waislamu ili wapate maumivu kama ulivyopata wewe, Hakuna Suna ya ushoga kwenye uislamu ni dhambi kubwa na limekewa vikali kwenye Quran na mtume .
Mwenye kufanya ushoga amekaidi makatazo ya Quran na ya mtume ,na mwenye kukaidi ametenda dhambi na mwenye kutenda dhambi makazi yake motoni.
No hard feelings pokea tu ukweli mkuu
hivi hiyo kitu huwa ni suna kweli au masighara? na kama ni suna inakuwa vp suna, embu tupe muongozo sheighe
Asante kwa taarifa,hapa tunaelimishana tu na hakuna nia mbaya.Comment ya kulipiza kisaai unajaribu kurusha na wewe dongo kwa waislamu ili wapate maumivu kama ulivyopata wewe, Hakuna Suna ya ushoga kwenye uislamu ni dhambi kubwa na limekewa vikali kwenye Quran na mtume .
Mwenye kufanya ushoga amekaidi makatazo ya Quran na ya mtume ,na mwenye kukaidi ametenda dhambi na mwenye kutenda dhambi makazi yake motoni.
No hard feelings pokea tu ukweli mkuu
Tuanzie hapa kwanza...unasema kanisa lako la Uingereza🧐Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.
Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.
Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.
Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.
Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.
Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Sio kweliNdoa za jinsia moja hazijawahi kufungwa kanisani , huwa zinafungwa serikalini na zinaitwa civil partnership
duh!! basi wee ushanogewa mazima, haya mambo ukishaonja au kuonjeshwa unanogewa mazima,Unataka nikue mara ngapi? Au unataka uthibitisho gani kujua kuwa nimekua?
Unapotoa hoja acha kuleta personal attacks, unadhihirisha ufinyu wa fikra zako. Poleeeeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]