Niliacha pombe baada ya kukutana na mwanamke mwenye kalio nusu

Niliacha pombe baada ya kukutana na mwanamke mwenye kalio nusu

Shimo baya la nyoka haya mengine tunaishi nay
Huyu Lafa kweli anii...
Watu tuna kula machizi na makopo yao na nywele kitim tim...
Unanunua chupa la maji ya Afya anaosha mbunyee watu tuna tupiamo mkunyengee.

Tushakula mpaka Teja maninaa kashazima tunasogeza uchupi tuna sugua bichwa la Athumani.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwamba Unapeleka RUNGU BESHI🤣🤣
 
Kuna mdada mtaani kwetu alipataga ajali gari ilimkokota kutoka kituo kimoja hadi kingine

Muda wote alikuwa anaburuzwa kwenye lami akiwa kichalichali kwahiyo aliumia Sana mgongoni na hasa kwenye tako ndio nyama nyingi zilitoka kutokana na hali yake hatukudhani km angepona alikaa hospital km mwaka hv
Kipindi hicho alikuwa sekondali
Sasa Ni mdada mkubwa tu

Kwahiyo hizo Ni ajali tu km zingine palikuwa hakuna haja ya kuja kumsema huku

Anyway hujafa hujaumbika
Tunajaribu kukumbushana tu madhara ya pombe mkuu
 
Back
Top Bottom