Niliacha pombe baada ya kukutana na mwanamke mwenye kalio nusu

Wewe ndo ulikunywa nyingi halafu yeye akakosea kutembea kwa maringo yao yale akatembea kama anapiga picha ya kubinua. Umeona sasa ndo mambo yakawa hivo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sasa tako la nini moja si lilikuwepo ungeendelea tu halafu kibaya zaidi hukuuliza labda aliliwa na.mende [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Heri huyo tako nusu,ndgu yangu aliopoa dem bar namanga border akiwa tungi sana,kumekucha kakuta kalala na kibibi cha miaka 70...pombe aliacha toka siku hiyo
 
Nimecheka sana,ila umalaya haulipi,acha.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkiambiwa pombe sio chai hamsikii[emoji2960]
 

Nimecheka Sana mpaka nimepitiliza kituo, Bado janiuliza/

1. Mtu anawezaje kulewa Chakari na kuchukua mwanamke asiye mjua.

2. Akampeleka kwake, a kaoga bafun kwake na akalala naye kabisa na sex.

3. Akapitiwa na usingizi mpaka pakakucha?

Hiki Ni kipaji
 
Miaka ya nyuma Kuna kabinti kaliniandikia barua kakaniambia eti "Mchagua amuK si jiambtoM"!
Hahahahahhahhahahahhahahahahahahahahahahahahhahahahhahahahahahahhahhaha! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ulikajibu?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…