Niliagiza chakula, ilivyokuja bili nusura nikimbie niwaache watoto. Umewahi kukumbana na fedheha hii?

mungu mwema mudawote, alifanikisha usianze kudanganya housegirl wa watu uchape(upwiru usikiage tu ukiwa ugenini
 

Katarama Bus Services baada ya kupigwa tukio la kikatili kabisa!

Umenivunja mbavu
 
kwahali hiyo hata mbususu ulipewa?
 
wala usiumie, siyo wewe, ni ukosefu wa pesa.
 
Walikuona umetoka pori sana
 
😄😄Ndo maan hata nikitolewa kabla sijaagiza nauliza bei hat km sinunui mm nijue ninaubavu nikikimbiwa kulipa nitaweza 😄
Kuosha vyombo sio poa
😄😄Ndo maan hata nikitolewa kabla sijaagiza nauliza bei hat km sinunui mm nijue ninaubavu nikikimbiwa kulipa nitaweza 😄
Kuosha vyombo sio poa
Kabisa kuuliza mapema kunakuepusha na aibu ndogo ndogo
 
Hahahaaa nimecheka, hivi shoppers plazza pale Dodoma ndo pakuniuzia breakfast 25,000 × 2 = 50,000 ~ wakati mm nilitegemea brekafast iwe 10,000]
Hahahaha asee wamekuonea, kidogo ninachojua huwa Kuna resident rates hata kwa hotel kubwa kubwa..
 
Kitu cha kwanza ukifika mahali , omba menu au kama hamna uliza bei kwa wahudumu !
Yaan mimi bora mnione bahiri ila ni muhimu sana !!
Unaweza umbuka vibaya sana !
ukishaonba nn kinafata::=walaji ni watoto na ndo waagizani ebo!! unataka uwashikishe menu afu iweje au kshike ww iweje uwakataze kula vya bei(nn maana ya matembezi hapo?)

FATA KILICHOKUPELEKA [emoji23][emoji23]

Huyo cha mtoto Dar free market kuna mtu alikutana na za uso
 
Matembezi ni kitu kizuri kwa watoto hata mimi hupendelea kumpeleka Dogo na mama mahali wakapate chochote kitu inaongeza upendo !

Ila kwenye kutembea kuna mahali unaweza kwenda huenda ni kiwanja kipya au unapachukulia poa ukaingia ukala vitu vile vile ambavyo ungekula au huwa mnakula sehemu nyingine Bill ikaja ukapiga ukunga sehemu ambayo ungetumia 100k unakuja kusomewa Bill inasoma 300k kuna mahala soda ni 4k-7k ila hiyo hiyo kuna sehemu inauzwa 2000 tu, chips kuku 25k wakati maeneo mengine hata kwa 10k utakula

Bora nusu shari kuliko shari kamili uliza bei ukiona hamuwezi mnahama na mama watoto na mtoto ! Yaan kuna haja gani kujimwambafai kwa mke na mtoto wangu wakati niwaoneshe ushujaa wa kulipia vitu 🤣🤣 wakati tukirudi nyumbani wote tunasuffer hayo madhara !
 
Kuna baa moja niliifakamia mida asubuhi holiday flani way back, sasa kilochotokea kumbe pale kila baada lisaa limoja ikifika saa 1 usiku bia hupandwa kwa 2.5k haijalishi ni brand gani na uliingia saa ngapi pale.
Kwa kua nilikua fresh sikudhalilika ila nikaishia kumfadhil staff mwenzangu ili asiabike kwan alikua anapiga Mji mkuu wa Namibia , ilipoanza kupanda bei yeye alikua hajui na akawa anazidi kuziagiza tu .
 
Mi 'watoto' walitaka nikawanunulie soda nikajua ni soda za kawaida! Walikuwa wawili tu, tukaenda sehemu tulivu wakaagiza vinywaji na kitimoto kilo moja. Ghafla wakawa wanne wawili wakasema hawali kitimoto wanataka nyamachoma ikabidi waagize kilo moja kama wenzao wawili. Zile 'soda' walizoagiza ni bia za yale machupa ya shingo ndefu. Mzee nikabaki na soda yangu nakunywa taratibu huku wale mabinti wanafakamia bia zao kwa fujo, wakaaigiza tena chupa za pili, changanya na madikodiko mengine bili ikaja ni laki moja ikateketea ndani ya muda mfupi na bajeti yangu ya kwenda kununua simu kali mpya ikavurugika palepale. Nilidhani wanakunywa soda kumbe ni bia, bahati yao nilikuwa na hela nikalipa huduma hiyo. Cha ajabu wale mabinti hawakulewa walikwenda baa kunyweshwa na masela wengine
 
nmecheka sana sas ww ndugu utaagizaje chakula bila kusoma kwanz menu!!?

shukur Mungu jomba ulikuw unaosheshwa vyombo😂😂😂
 
Nimecheka sana, eti kamoja kiherehere, mie nakumbuka nikiwa kikazi Dom mida ya saa 4 usiku nikaingia saloon nikwangue nywele, ile kumaliza bei kaniambia buku 5 na kunyoa kwenyewe ovyo, iliniuma hiyo buku 5
Kuna sehemu nilienda nyoa na rafiki yangu na kupaki mikweche miwili jamaa yangu kapigwa 20000 na scrubing ila mimi sikunyoa, siku nyengine nimeenda wameona mkweche mmoja umekuja, ile nanyoa namaliza dada mmoja na mshepu wake kaka hamia kiti kile pale, nikwambia wife atamind nikiosha, nikakwepa mshale wa 20000 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…