Niliagiza chakula, ilivyokuja bili nusura nikimbie niwaache watoto. Umewahi kukumbana na fedheha hii?

hii hatari sana, mimi niingiaga saluni namaliza kunyoa sikutaka mambo mengi nikaosha. kutoka hapo naambiwa 5000. toka ile siku sigusi kitu bila ya kujua bei. taja bei ndo nifanye maamuzi
 
Karibu tena VAMOS HOTEL MIKUMI
tuu wakarimu kwa wateja wa aina yote
 
Karibu tena VAMOS HOTEL MIKUMI
tuu wakarimu kwa wateja wa aina yote
Hahhahah! Nimeishasahau jina la hiyo hoteli! Lakini hiko mkono wa kulia ukitokea mbuga ya wanyama! Ni hoteri ya ghorofa moja imepakwa rangi nyeupe! Siku moja nitaenda kuwashukuru kwa ukarimu! BVR 2015
 
hii hatari sana, mimi niingiaga saluni namaliza kunyoa sikutaka mambo mengi nikaosha. kutoka hapo naambiwa 5000. toka ile siku sigusi kitu bila ya kujua bei. taja bei ndo nifanye maamuzi
mkuu,umekosea kuandika…nadhani ulikusudia 50,000/= ila umeandika 5000/=
 
Je, ikizidi?
 
Kabla sijampeleka Mtu sehemu naenda mwenyewe hiyo sehemu kuangalia na kuuliza bei, sitakagi hekeheka Mimi.... tangu niuziwe Ugali 30000 wakati Mfukoni nina 5000 nimejifunza
Hakika wewe ni MWAMBA haswa. Nimependa stratergy yako. Sijui kwa nini wengi wa Waafrika hatupendagi kitu kinahitwa; window+shopping?
 
Hapa kuna mawili; either wewe ni mwanamke usiejielewa au bado mtoto unayeishi kwa shemeji
 
Nimecheka sana, eti kamoja kiherehere, mie nakumbuka nikiwa kikazi Dom mida ya saa 4 usiku nikaingia saloon nikwangue nywele, ile kumaliza bei kaniambia buku 5 na kunyoa kwenyewe ovyo, iliniuma hiyo buku 5
Kuna mmoja alimaliza kunyoa akaambiwa buku 5 jamaa akakata akasema usione hiki kitambi mimi sina kitu buku 2 hii hapa kama hautaki piga mwano waje waniue
 
Hapa kuna mawili; either wewe ni mwanamke usiejielewa au bado mtoto unayeishi kwa shemeji
Naishe kwa shemeji....tena naona shemeji hamgegedi dada yangu vizuri. Itabidi nimsaidie shemeji kumgegeda dada vizuri haiwezekani kila leo dada ana makasiriko
 
Hiyo ndiyo ile maana ya jogoo washamba hawiki mjini.Wasalimie wapanda Katarama popote walipo waambie mjini shule ,shamba Darasani
 
H
 
mkuu,umekosea kuandika…nadhani ulikusudia 50,000/= ila umeandika 5000/=
5000 mkuu, hapo nilikua mwanafunzi mkuu nishazoea buku buku, kws pale niliona wakienda mbali buku 2, ila wakapita na buku 5 yangu. Ni hatari sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…