Niliagiza chakula, ilivyokuja bili nusura nikimbie niwaache watoto. Umewahi kukumbana na fedheha hii?

Niliagiza chakula, ilivyokuja bili nusura nikimbie niwaache watoto. Umewahi kukumbana na fedheha hii?

Mkuu siku zngne uliwa na mob ya watu kama hivo usithubutu kwenda sehem kila mmoja akaaagiza vyakwake utafilisika kweupe ujanja agiza kisinia hata cha 80-100k na vinjwaji tena soda au ungechukua pizza 2 chips 2 na kuku mzima umalize kazi na soda zenu bc
 
We umeenda sehemu iko ufukweni na laki 1 huku ukiwa na nyomi la vijana😁!? Bahati yako tu tajiri alifanya miujiza.

Siku nyingine usirudie kushobokea viwanja vya ufukweni kama huna walau million 1 kwenye account.
 
Kitu cha kwanza ukifika mahali , omba menu au kama hamna uliza bei kwa wahudumu !
Yaan mimi bora mnione bahiri ila ni muhimu sana !!
Unaweza umbuka vibaya sana !
Yaani hilo muhimu sana. Hapo ukiona bei km huiwezi ama unasepa zako au unanunua Chakula kdg. Hapo hio sahani ya elfi 6 wangekula mtu mbili dadeki 😅😅😅
 
Mkuu Nimecheka kwamba kuna mmoja kiherehere aliagiza pizza. Mimi kipindi nipo chuo weekend na mama watoto tumeingia supermarket tunafanya shopping sasa kuna shelf la wine tukafika sasa ile nachukua chupa ya wine lahaula upande wa shelf wote upo chini wine kadhaa zimepasuka walinifwata spidi kama mama anavyosikia kishindo alafu mtoto wake Akalia huko nje. Wakawa wanafoka kweli kwa hasira nikasema nipeni bill nitalipia. Nakumbuka mmoja akaniambia utaweza wife akamjibu Unatuchukulia kama wewe mfanyakazi supermaket. Wakatupa bill inasoma 645000/-. Uzuri pembeni kulikuwa na ATM ya NBC wife akaenda kutoa maana mfukon nilikuwa na 180000/- Tukawalipa Tukawafyonza Tukaondoka Zetu Ila ile pesa inaniuma mpaka Leo nadhan lile shelf walikuwa wamelitegesha sikuapply nguvu kubwa kuchukua chupa ya wine kiasi cha kuuangusha ule upande wa shelf
 
Niliwahi kunywa chai ya 25,000/= nashela hotel Morogoro.

Chai yenyewe Sasa:-
1. Kipande Cha kiazi Cha kienyeji kimoja.
2. Kikombe kidogo Cha Maziwa mixer kahawa.
3. Yai moja lililokaangwa
4. Slices mbili za mkate
Bia moja 5000/=

Jumla fasta tu 50,000/=
 
Mm yangu ilikua differrent.

Kuna piki piki ya kampuni hua natumia kwa ajili ya mishen town, sasa hua tuna jaza mafuta kwa card, Wakati niko mitaa flan ambapo mm ni mgeni nikasense kua wese linakata soon, ikabidi niulize wana Sehemu ilipo sheli ya Total ya karibu wakanielekeza fresh, ni kama 100km kutoka hapo.

Sasa ile nafika, nikapanga foleni chapu nikaomba 10l ile wanajaza, wanadai malipo ndo nakumbuka kuangalia sheli nakunda ni nyekundu tu kama Total lkn sio Total, hapo ndo nikapagawa, sijui hata niseme nn litres zinashuka tu.

Ikabidi nimwambie tu mhudumu stopisha hapo hapo, Nikacheki mfukoni nilibahatika kutembea na card ya NMB ikabidi nilipe shwaaa 23500 ikakatika kizembe kabisa.

Nili laani kishenzi, Nachangiaje 23500 ahsubuhi yote hii kwa kampuni ya Mkaburu
Daah hii inauma yaani kumlipia mkaburu ha
Nilienda kutembea Dar es Salaam kwa dada yangu wakati wa sherehe hizi za christimass.

Basi tarehe 25/12 kama kawaida tulikwenda ibadani na kurudi nyumbani,kilichofuata ni maongezi tu ya kifamilia huku tukichoma nyama jioni na kunywa pombe pamoja na shemeji na marafiki zake.

Tarehe 26/12 nikataka na mimi onyesha msuli wangu kwa shemeji ili asinichukulie poa…Basi bwana nikawaambia leo niachieni hawa vijana nitoke nao out nao waone raha ya kuwa na mjomba,wako watoto wanne na dada wa kazi. jumla watano.

Basi wao wenyewe wakataja mahala wanataka kwenda…ni beach fulani hivi wamejenga vizuri sana na kuna michezo mingi sana ya watoto,vyakula na vinywaji.

Basi tukaondoka tukafika…kiukweli mimi nilidhani ni mahala naweza afford kulipia kila kitu na nilitenga 100,000/= nzima kwa ajili ya kutumbua.

Sasa kufika nikaambia kwanza vijana wapate chakula.Wakaagiza kila mmoja chipsi kavu pamoja na kuku nusu.Pia waliagiza juice freshi na kuna kamoja kiherehere kakaagiza pizza moja ya kushare wote…yule dada wa kazi kwa aibu za kikubwa aliagiza chipsi na mshkaki mmoja tu na juice.

Mahesabu yangu yalikua pale itakata kama 50,000/= hivi pamoja na michezo yao ile…wakamaliza kula,mimi mwenyewe nikaagiza bia zangu 5 pamoja na nyama choma ya mbuzi.

…..sasa game ikaanza karibia wanamaliza kula yule dada ndio akaniletea ile “menu”,lahaulaaaa

chipsi kavu-inasoma 6000/= mara 5
kuku nusu-inasoma 21,000/= mara 4
fresh juice-inasoma glass moja 6000/= mara 5
pizza moja-inasoma 35,000/=
mshkaki mmoja(niligundua wameandika fillet)-3500/=
nyama choma mbuzi—inasoma 25,000/= per portion
bia moja local ni 4000/= mara 5

kwa haraka haraka ilisoma kama 227,500/= kinyume kabisa na matarajio yangu.

Kwanza nilihisi baridi sana imenichapa sababu vitu vyote vishaagizwa na vingine vishaanza kutumika,watoto wanaenjoy sana na huwezi waambia kitu wakakuelewa.

Hapo wanasubiri washibe nikawalipe kila mmoja 5000/= ya kwenda kwenye michezo yao ya watoto…

Mimi bhana nikajitetea nataka kulipa kwa kadi…walete mashine,lengo langu hapa kubahatisha sababu ndio zilikua tarehe bosi anaingiza chochote kwenye account.

Ile kugusa tu pyaaaaa….nakuta sms inaingia umefanikiwa kulipia 227,500/= kwenda Utulivu beach resort,ikaja na sms ya muamala wa makato ya muamala kama 4000/= hivi.

Kwa kweli mood yote ilikata…kwa mshahara wangu hiko kiwango kilikua ni zaidi ya nusu yake mimi nimetumia kulipia watoto kula sehemu ambayo siyo level zangu….ila nikakaza kiume,ile kulipia kwa kadi nikaonekana doni sana pale.

basi na ile laki mkononi nayo nikaibunya mjini…..sahivi niko zangu kwenye katarama narudi zangu mkoani na somo.

Umewahi kutana na dhahama kama hii?!😂
Mi mwenyewe juzi shangazi na Dada wamekuja kutembelea na watoto kibao wakawa wanasema eti mjomba wao awatoe out awapeleke campsite wakanywe hata soda na chips nikachenga chenga nikamwambia sister chukua 30k inawatosha Hawa alafu mi nikasepa masuala ya kuanza kusumbua watu hapana asee
 
Mkuu Nimecheka kwamba kuna mmoja kiherehere aliagiza pizza. Mimi kipindi nipo chuo weekend na mama watoto tumeingia supermarket tunafanya shopping sasa kuna shelf la wine tukafika sasa ile nachukua chupa ya wine lahaula upande wa shelf wote upo chini wine kadhaa zimepasuka walinifwata spidi kama mama anavyosikia kishindo alafu mtoto wake Akalia huko nje. Wakawa wanafoka kweli kwa hasira nikasema nipeni bill nitalipia. Nakumbuka mmoja akaniambia utaweza wife akamjibu Unatuchukulia kama wewe mfanyakazi supermaket. Wakatupa bill inasoma 645000/-. Uzuri pembeni kulikuwa na ATM ya NBC wife akaenda kutoa maana mfukon nilikuwa na 180000/- Tukawalipa Tukawafyonza Tukaondoka Zetu Ila ile pesa inaniuma mpaka Leo nadhan lile shelf walikuwa wamelitegesha sikuapply nguvu kubwa kuchukua chupa ya wine kiasi cha kuuangusha ule upande wa shelf
Tulawalipa tukawafyonza tukaondoka zetu 😀😀
 
Mkuu Nimecheka kwamba kuna mmoja kiherehere aliagiza pizza. Mimi kipindi nipo chuo weekend na mama watoto tumeingia supermarket tunafanya shopping sasa kuna shelf la wine tukafika sasa ile nachukua chupa ya wine lahaula upande wa shelf wote upo chini wine kadhaa zimepasuka walinifwata spidi kama mama anavyosikia kishindo alafu mtoto wake Akalia huko nje. Wakawa wanafoka kweli kwa hasira nikasema nipeni bill nitalipia. Nakumbuka mmoja akaniambia utaweza wife akamjibu Unatuchukulia kama wewe mfanyakazi supermaket. Wakatupa bill inasoma 645000/-. Uzuri pembeni kulikuwa na ATM ya NBC wife akaenda kutoa maana mfukon nilikuwa na 180000/- Tukawalipa Tukawafyonza Tukaondoka Zetu Ila ile pesa inaniuma mpaka Leo nadhan lile shelf walikuwa wamelitegesha sikuapply nguvu kubwa kuchukua chupa ya wine kiasi cha kuuangusha ule upande wa shelf
Mama mtu hapendi aibu ndogo ndogo mkuu 🤣🤣 ila salute sana huyo ndo mke sasa anapangua mashambulizi mtaenda mkajadili wenyewe ndani !!

Mwingine angejificha nyuma yako tu anaangalia.
 

Attachments

  • Screenshot_20241230_203325_Chrome.jpg
    Screenshot_20241230_203325_Chrome.jpg
    137.8 KB · Views: 3
Nilienda kutembea Dar es Salaam kwa dada yangu wakati wa sherehe hizi za christimass.

Basi tarehe 25/12 kama kawaida tulikwenda ibadani na kurudi nyumbani,kilichofuata ni maongezi tu ya kifamilia huku tukichoma nyama jioni na kunywa pombe pamoja na shemeji na marafiki zake.

Tarehe 26/12 nikataka na mimi onyesha msuli wangu kwa shemeji ili asinichukulie poa…Basi bwana nikawaambia leo niachieni hawa vijana nitoke nao out nao waone raha ya kuwa na mjomba,wako watoto wanne na dada wa kazi. jumla watano.

Basi wao wenyewe wakataja mahala wanataka kwenda…ni beach fulani hivi wamejenga vizuri sana na kuna michezo mingi sana ya watoto,vyakula na vinywaji.

Basi tukaondoka tukafika…kiukweli mimi nilidhani ni mahala naweza afford kulipia kila kitu na nilitenga 100,000/= nzima kwa ajili ya kutumbua.

Sasa kufika nikaambia kwanza vijana wapate chakula.Wakaagiza kila mmoja chipsi kavu pamoja na kuku nusu.Pia waliagiza juice freshi na kuna kamoja kiherehere kakaagiza pizza moja ya kushare wote…yule dada wa kazi kwa aibu za kikubwa aliagiza chipsi na mshkaki mmoja tu na juice.

Mahesabu yangu yalikua pale itakata kama 50,000/= hivi pamoja na michezo yao ile…wakamaliza kula,mimi mwenyewe nikaagiza bia zangu 5 pamoja na nyama choma ya mbuzi.

…..sasa game ikaanza karibia wanamaliza kula yule dada ndio akaniletea ile “menu”,lahaulaaaa

chipsi kavu-inasoma 6000/= mara 5
kuku nusu-inasoma 21,000/= mara 4
fresh juice-inasoma glass moja 6000/= mara 5
pizza moja-inasoma 35,000/=
mshkaki mmoja(niligundua wameandika fillet)-3500/=
nyama choma mbuzi—inasoma 25,000/= per portion
bia moja local ni 4000/= mara 5

kwa haraka haraka ilisoma kama 227,500/= kinyume kabisa na matarajio yangu.

Kwanza nilihisi baridi sana imenichapa sababu vitu vyote vishaagizwa na vingine vishaanza kutumika,watoto wanaenjoy sana na huwezi waambia kitu wakakuelewa.

Hapo wanasubiri washibe nikawalipe kila mmoja 5000/= ya kwenda kwenye michezo yao ya watoto…

Mimi bhana nikajitetea nataka kulipa kwa kadi…walete mashine,lengo langu hapa kubahatisha sababu ndio zilikua tarehe bosi anaingiza chochote kwenye account.

Ile kugusa tu pyaaaaa….nakuta sms inaingia umefanikiwa kulipia 227,500/= kwenda Utulivu beach resort,ikaja na sms ya muamala wa makato ya muamala kama 4000/= hivi.

Kwa kweli mood yote ilikata…kwa mshahara wangu hiko kiwango kilikua ni zaidi ya nusu yake mimi nimetumia kulipia watoto kula sehemu ambayo siyo level zangu….ila nikakaza kiume,ile kulipia kwa kadi nikaonekana doni sana pale.

basi na ile laki mkononi nayo nikaibunya mjini…..sahivi niko zangu kwenye katarama narudi zangu mkoani na somo.

Umewahi kutana na dhahama kama hii?!😂
Mimi mtu akileta mada tatamishi kwanza ukimbilia kuangalia "avatar" yake maana inabeba taswira ya muhusika! Hiyo avatar inaonyesha hukukosea kujiingiza katika maamuzi yatakayokugharimu! Pole!
 
Daah hii inauma yaani kumlipia mkaburu ha
Mi mwenyewe juzi shangazi na Dada wamekuja kutembelea na watoto kibao wakawa wanasema eti mjomba wao awatoe out awapeleke campsite wakanywe hata soda na chips nikachenga chenga nikamwambia sister chukua 30k inawatosha Hawa alafu mi nikasepa masuala ya kuanza kusumbua watu hapana asee
Hiyo akili kubwa
 
Mafundi gareji wanafikiri kumiliki gari ni utajiri. Nilienda gereji nikamueleza tatizo akasema andaa kama 60,000. Nikasema fanya kazi. Wakafungua kwenye miguu baadaye anasema wamekuta matatizo mengine. Jumla ikaja 380,000. Ilikuwa balaa. Kuacha gari gereji siwezi maana wizi mwingi. Mpangaji akaniokoa. kodi ilikuwa inaisha siku hiyo, kumpigia akatuma muamala chap😃. Nikalipa na kusepa. Sijarudi gereji hiyo tena.
 
Nilienda kutembea Dar es Salaam kwa dada yangu wakati wa sherehe hizi za christimass.

Basi tarehe 25/12 kama kawaida tulikwenda ibadani na kurudi nyumbani,kilichofuata ni maongezi tu ya kifamilia huku tukichoma nyama jioni na kunywa pombe pamoja na shemeji na marafiki zake.

Tarehe 26/12 nikataka na mimi onyesha msuli wangu kwa shemeji ili asinichukulie poa…Basi bwana nikawaambia leo niachieni hawa vijana nitoke nao out nao waone raha ya kuwa na mjomba,wako watoto wanne na dada wa kazi. jumla watano.

Basi wao wenyewe wakataja mahala wanataka kwenda…ni beach fulani hivi wamejenga vizuri sana na kuna michezo mingi sana ya watoto,vyakula na vinywaji.

Basi tukaondoka tukafika…kiukweli mimi nilidhani ni mahala naweza afford kulipia kila kitu na nilitenga 100,000/= nzima kwa ajili ya kutumbua.

Sasa kufika nikaambia kwanza vijana wapate chakula.Wakaagiza kila mmoja chipsi kavu pamoja na kuku nusu.Pia waliagiza juice freshi na kuna kamoja kiherehere kakaagiza pizza moja ya kushare wote…yule dada wa kazi kwa aibu za kikubwa aliagiza chipsi na mshkaki mmoja tu na juice.

Mahesabu yangu yalikua pale itakata kama 50,000/= hivi pamoja na michezo yao ile…wakamaliza kula,mimi mwenyewe nikaagiza bia zangu 5 pamoja na nyama choma ya mbuzi.

…..sasa game ikaanza karibia wanamaliza kula yule dada ndio akaniletea ile “menu”,lahaulaaaa

chipsi kavu-inasoma 6000/= mara 5
kuku nusu-inasoma 21,000/= mara 4
fresh juice-inasoma glass moja 6000/= mara 5
pizza moja-inasoma 35,000/=
mshkaki mmoja(niligundua wameandika fillet)-3500/=
nyama choma mbuzi—inasoma 25,000/= per portion
bia moja local ni 4000/= mara 5

kwa haraka haraka ilisoma kama 227,500/= kinyume kabisa na matarajio yangu.

Kwanza nilihisi baridi sana imenichapa sababu vitu vyote vishaagizwa na vingine vishaanza kutumika,watoto wanaenjoy sana na huwezi waambia kitu wakakuelewa.

Hapo wanasubiri washibe nikawalipe kila mmoja 5000/= ya kwenda kwenye michezo yao ya watoto…

Mimi bhana nikajitetea nataka kulipa kwa kadi…walete mashine,lengo langu hapa kubahatisha sababu ndio zilikua tarehe bosi anaingiza chochote kwenye account.

Ile kugusa tu pyaaaaa….nakuta sms inaingia umefanikiwa kulipia 227,500/= kwenda Utulivu beach resort,ikaja na sms ya muamala wa makato ya muamala kama 4000/= hivi.

Kwa kweli mood yote ilikata…kwa mshahara wangu hiko kiwango kilikua ni zaidi ya nusu yake mimi nimetumia kulipia watoto kula sehemu ambayo siyo level zangu….ila nikakaza kiume,ile kulipia kwa kadi nikaonekana doni sana pale.

basi na ile laki mkononi nayo nikaibunya mjini…..sahivi niko zangu kwenye katarama narudi zangu mkoani na somo.

Umewahi kutana na dhahama kama hii?!😂
Kuna sehemu wana menu za hovyo. Msosi wenyewe sio mzuri, hio bei yake sasa
 
Nilienda kutembea Dar es Salaam kwa dada yangu wakati wa sherehe hizi za christimass.

Basi tarehe 25/12 kama kawaida tulikwenda ibadani na kurudi nyumbani,kilichofuata ni maongezi tu ya kifamilia huku tukichoma nyama jioni na kunywa pombe pamoja na shemeji na marafiki zake.

Tarehe 26/12 nikataka na mimi onyesha msuli wangu kwa shemeji ili asinichukulie poa…Basi bwana nikawaambia leo niachieni hawa vijana nitoke nao out nao waone raha ya kuwa na mjomba,wako watoto wanne na dada wa kazi. jumla watano.

Basi wao wenyewe wakataja mahala wanataka kwenda…ni beach fulani hivi wamejenga vizuri sana na kuna michezo mingi sana ya watoto,vyakula na vinywaji.

Basi tukaondoka tukafika…kiukweli mimi nilidhani ni mahala naweza afford kulipia kila kitu na nilitenga 100,000/= nzima kwa ajili ya kutumbua.

Sasa kufika nikaambia kwanza vijana wapate chakula.Wakaagiza kila mmoja chipsi kavu pamoja na kuku nusu.Pia waliagiza juice freshi na kuna kamoja kiherehere kakaagiza pizza moja ya kushare wote…yule dada wa kazi kwa aibu za kikubwa aliagiza chipsi na mshkaki mmoja tu na juice.

Mahesabu yangu yalikua pale itakata kama 50,000/= hivi pamoja na michezo yao ile…wakamaliza kula,mimi mwenyewe nikaagiza bia zangu 5 pamoja na nyama choma ya mbuzi.

…..sasa game ikaanza karibia wanamaliza kula yule dada ndio akaniletea ile “menu”,lahaulaaaa

chipsi kavu-inasoma 6000/= mara 5
kuku nusu-inasoma 21,000/= mara 4
fresh juice-inasoma glass moja 6000/= mara 5
pizza moja-inasoma 35,000/=
mshkaki mmoja(niligundua wameandika fillet)-3500/=
nyama choma mbuzi—inasoma 25,000/= per portion
bia moja local ni 4000/= mara 5

kwa haraka haraka ilisoma kama 227,500/= kinyume kabisa na matarajio yangu.

Kwanza nilihisi baridi sana imenichapa sababu vitu vyote vishaagizwa na vingine vishaanza kutumika,watoto wanaenjoy sana na huwezi waambia kitu wakakuelewa.

Hapo wanasubiri washibe nikawalipe kila mmoja 5000/= ya kwenda kwenye michezo yao ya watoto…

Mimi bhana nikajitetea nataka kulipa kwa kadi…walete mashine,lengo langu hapa kubahatisha sababu ndio zilikua tarehe bosi anaingiza chochote kwenye account.

Ile kugusa tu pyaaaaa….nakuta sms inaingia umefanikiwa kulipia 227,500/= kwenda Utulivu beach resort,ikaja na sms ya muamala wa makato ya muamala kama 4000/= hivi.

Kwa kweli mood yote ilikata…kwa mshahara wangu hiko kiwango kilikua ni zaidi ya nusu yake mimi nimetumia kulipia watoto kula sehemu ambayo siyo level zangu….ila nikakaza kiume,ile kulipia kwa kadi nikaonekana doni sana pale.

basi na ile laki mkononi nayo nikaibunya mjini…..sahivi niko zangu kwenye katarama narudi zangu mkoani na somo.

Umewahi kutana na dhahama kama hii?!😂
Ungempigia mkaza dadako (shem) akupunguzie maumivu...
 
Back
Top Bottom