Ushauri wa busara sana huo.
Mi nshajifunza siku nyingi sana hayo mambo, tena kwa kitu kidogo tu soda.
Nimefika sehemu,... 'tupe soda'.. tukanywa mbili mbili kwa maongezi zaidi tukiwa watatu.
Kila kona bei ya soda inajulikana ni 500/-, nikatoa noti ya Sh. 5,000/-nikitumaini kurejeshewa 2,000/-.
Mhudumu naye akawa anasubiri buku, hadi nilivyoidai kwa sauti, ndonikaelezwa niongeze buku, yaani soda 350ml elfu, kwa lipi hasa!
Tangu siku hiyo ni mwiko kwangu kutumia huduma za watu bila kuuliza bei kwanza.