Niliahidi kuja na 'Exclusives' Saba (7) Saa 3 hii sasa naweka Mambo yote hadharani...

Kigwangalla aliwaambia MO ni mjanja mjanja mkatokwa povu sasa subirini
 
Huwezi kula ugali tangu utotoni Hadi leo ukawa na akili nimeamini

/QUOTE]

[emoji23][emoji23]

Kwamba mwamba amekulia kwenye maisha magumu hata familia ikawa haina uwezo wa kutafuta balanced diet?
 
Bakressa chukua timu, hiyo takataka ya mo dewji na barbara tupa chini, watatuchelesha hao
 
Kwa hiyo bifu la barbara na manara kumbe ilikua ni kumgombania injinia [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hahaha “mahusiano ya kibaiolojia” [emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]
 
Mirija ya upigaji pale simba imefungwa unahangaika sana na Una unafki mwingi halafu huna kumbu kumbu
 
POPO-ma ktk kiwango chako cha juu kabisa cha ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…