Kuna wahuni wala mihogo na wana daka mademu tuHao wanataka vitu viwili tu [emoji23][emoji23] darasani uwe vizuri uwe unajibu sana maswali utagombaniwa ili uwasaidie kuwaelekeza hasa mitihani ikikaribia maana wao mwalimu anavyofundisha wao hawana habari wapo bize kuchati na marafiki ...
Chuo mademu wapo kuliko hizo stage za mwanzoni. Jana hapa nilikuwa na mtoto wa mtu mpaka saa 5 usiku nikamrudisha hostel kwao. Ile A level tulikuwa tunawavizia hospitali wao wanajifanya wanaumwa sisi tunatoroka. Au kwenye events nazo mnapiga stori mmevaa sare. Mpaka likizo ndio mkutane Mchikichini...
πππ Kulaleki.Jaribu kumwuliza mkuu wa chuo
Sex ni physical need tunafanya kwa afya. Hiyo ni sehemu ya matumizi kama kula na kuvaa. Savings na biashara zinafanyika pia kwa wanaowezaBro hizo hela unazomaliza kwenye mbunye zitumie kwenye ukombozi wako.
Zi save halafu fanya biashara/uwekezaji ule uupendao.
Si unaona wenzako walivyo jobless, ipo siku utaujutia huo mtaji unaouchoma.
#YNWA