DOTHRAK
Member
- May 22, 2021
- 15
- 154
Dah ile vuuu!! Paaa si nikamaliza six mzee sahiyo akili inafahamu kuwa chuo ni bata na mademu wa kumwaga duh!!!.
Fresh mzee nikajitusu nikaomba mkopo Mungu Si MWENDAZAKE nikapata tena 100%. Basi mzee nikaingia Univ. Aisee hao mademu mbona siwaoni?
Aise mbona hata hizo bata ni za manati jamani. Au me nakosea wapi wakulungwa. Yaani kila orbit iko full of electron. Kila electron iko paired .
Fresh mzee nikajitusu nikaomba mkopo Mungu Si MWENDAZAKE nikapata tena 100%. Basi mzee nikaingia Univ. Aisee hao mademu mbona siwaoni?
Aise mbona hata hizo bata ni za manati jamani. Au me nakosea wapi wakulungwa. Yaani kila orbit iko full of electron. Kila electron iko paired .