Exactly, na ile kubadilika nafsi au matendo kisa umetendwa haifai kua wewe kama wewe ajae akupende hivo hivo na mapungufu yako ambayo aliepita alishindwa kuyastahmiliKabisa sio kuamini pekee hata ukijua ndio ukweli huo sio kisa mimi mwanamke mmoja kanizingua ndio ni jumuishe wanawake wote.
Nitakuwa nakosea sana
Gia iyo tena ya Bajaji !!100%...anatafuta wazee wa poleee,polee.Kumbe inawezekana ni gear ya kutuibia chief?
mfariji mwenzioHahaha!! kivp mkuu.
Bora wee unatunza kumbukumbu.Haya nenda urudi na ID mpya....
Hahaha. Ila inawezekana yamemkuta kweli mkuuGia iyo tena ya Bajaji !!100%...anatafuta wazee wa poleee,polee.
Asitukute zimejipanga kwa head[emoji23][emoji23]
[emoji119][emoji108][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atajutraa kuzaliwa
Ameen ameen [emoji120][emoji120] nilichokuelewa hapo kama Mungu atakuwa na mkono wake vitakuwa tu kingine niongeze beer ya 7 bill ikuje woooozeeerSi ndo hapo shogaangu maisha yenyewe mafupi haya na tunaishi Mara moja,..em ongeza ya saba bili yangu..kuna vitu bhana kama Mungu ana mkono wake vitakuwa tuu,kama vya kufosi havifiki hata lukwili...
Bili juu yangu,..let's have fun tonight sweetpie wa mm....cheerful[emoji482][emoji482]Ameen ameen [emoji120][emoji120] nilichokuelewa hapo kama Mungu atakuwa na mkono wake vitakuwa tu kingine niongeze beer ya 7 bill ikuje woooozeeer
Cheers babe [emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]Bili juu yangu,..let's have fun tonight sweetpie wa mm....cheerful[emoji482][emoji482]
Je ulivaa uhusika wa kutokutakwa kwa kumegwa tu ???Wanakuzingua tu hawana ishu ni kweli mtu aliniambia nika puuzia hawajanimegA asilimia kubwa wao ni wanaume za watu wanakutaka kwa kumegwa basi tu
Watu wanasema hivyi unavyosema ila ukianza maongezi tu zero.Pole kwa yaliyo kukuta
Sisi bado tupo wa kweli na waaminifu
People are not the same and will never be
[emoji1] [emoji1] [emoji1] acha tu ndo dada zetu aoHamna wengine humu break Pumbu so yanini kuendelea mdogo mdogo unaacha manyoya tu mkuuu.....
Hahahaha!! hakika kwa kwel, umenena vyema.mfariji mwenzio
Unaona ndio hicho mnataka kingine noHamna wengine humu break Pumbu so yanini kuendelea mdogo mdogo unaacha manyoya tu mkuuu.....
Mungu abariki kazi za mikono yetu kesho tupate dou ya bierree[emoji482][emoji482][emoji482]Cheers babe [emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
Kabisa unafikiri vizuri hongera kwa kutumia ubongo wako vizuriExactly, na ile kubadilika nafsi au matendo kisa umetendwa haifai kua wewe kama wewe ajae akupende hivo hivo na mapungufu yako ambayo aliepita alishindwa kuyastahmili
Uzuri wa mahusiano haya bubu u can quit anytime unapoona you have to,
Ameen lovie atubariki mpaka tushangae [emoji120][emoji120][emoji120][emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8]Mungu abariki kazi za mikono yetu kesho tupate dou ya bierree[emoji482][emoji482][emoji482]
Haha asante rafiki, asante sanaKabisa unafikiri vizuri hongera kwa kutumia ubongo wako vizuri