aikamatemu
JF-Expert Member
- Jan 29, 2020
- 464
- 1,897
Na huku utataka utumiwe na plate no mkuu uhakikishe ni mimi[emoji23][emoji23][emoji23]!! Punguza akili za kimasikini maisha yangu na yako ni kama mbingu na ardhi karibu chuga wasalimie na wenzakoNa nyimbo za kijerumani wapi na wapi mzee..tuacheni uongo..em tuma picha ikiwa na plate number [emoji23][emoji23][emoji23]..maana nimezoom kwenye screen naona miziki ya kidautch...[emoji1787][emoji1787]
Na huku utataka utumiwe na plate no mkuu uhakikishe ni mimi[emoji23][emoji23][emoji23]!! Punguza akili za kimasikini maisha yangu na yako ni kama mbingu na ardhi karibu chuga wasalimie na wenzakoView attachment 1654177
Akituma nitag mkuu
Ameamua kukimbia aise[emoji1787][emoji1787] hawezi sbb amedownload picha mtandaoni..
JF kila mtu tajiri, kila mtu qnaishi Dar, Kila mtu ameshawahi kukaa Ulaya/USA, Kila mtu ana ndinga kali,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] hawezi sbb amedownload picha mtandaoni..
Long live dualis.....lakin tuangalie huu mwezi sio poa kwa ligiHeshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
JF kila mtu tajiri, kila mtu qnaishi Dar, Kila mtu ameshawahi kukaa Ulaya/USA, Kila mtu ana ndinga kali,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Unaweza ukawa unabishana na mtu hapa, kumbe ni mlisha nguruwe nyumba ya pili kwa mzee Mosha hapo..[emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila Subaru zinajitahidi sana..[emoji28][emoji28]
Angalia Jqmaa wa Mark X kamaliza kisahani lakini anapitwa kama vile kasimama..
In short ni kwamba,Nissan dualis haiwezi ku perform better than crown in any way possible.In practice or Even in a theoretical way-Nissan dualis haiwez kuwa na muscle za kupambana na Nissan patrol-Any logical person atakushangaa based on your arguments.Heshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
Dar dodoma Mara nyingi Ni 5-6 Hadi 7...hours..labda Kama alikua anatembea Kama mwehu..hayo matano ukomae kweliKama ni hivyo basi ametisha..
Swali zuriHao wakina crown kabla ya safari mlikubaliana mshindane? au ulikuwa unajishindanisha peke yako?
Mimi huwa sizidi 150 kph hiyo ndo limit yangu..so mtu akiweza kunipita hapo nakuacha aendeKuna watu wengine wamejiwekea limit ya speed wanayoendesha maana wana uelewa wa hali zao na magari yao pia. Hivyo kuna wakati we unaweza kumuwekea ligi mtu ambaye yeye hana habari hizo.
Hiyo speed siyo ndogo mkuu..Mimi huwa sizidi 150 kph hiyo ndo limit yangu..so mtu akiweza kunipita hapo nakuacha aende
Maximum mkuu...100, 120, 130 Kama penyooka 140,150 mwisho..ukiweza nipita hapo nakuacha uende..Sasa huenda jamaa alikutana na watu Kama Mimi akajiona yy Ni mwambaHiyo speed siyo ndigo mkuu..
Dar - dom kuna 442Km.. akikuja goti vizuri na akafanikiwa tembea kwa 100 - 120 kwa sehemu kubwa.. msaa 5 : 30. Anafika.. dodoma to singida kuna 245Km kama anatembea kwa hiyo hiyo 100-120 kwa sehemu kubwa.. masaa 2 :30.. ukipiga jumla masaa 8 inakuwa ina sound.. maana kuna Trafic, mipishano ya gari, vifoleni uchwara, etc.. zinaweza badirisha hali ya hewaDar dodoma Mara nyingi Ni 5-6 Hadi 7...hours..labda Kama alikua anatembea Kama mwehu..
Kuna gari zingine ukifika 100.. aaaah! Yaani ile mia ya ukweli ukweli.. unaishia hapo hapo ukivuta sana 120.. unarudisha mguu.. ila kuna zingine unagusa kabisa hata 180 haufeel kituMaximum mkuu...100, 120, 130 Kama penyooka 140,150 mwisho..ukiweza nipita hapo nakuacha uende..Sasa huenda jamaa alikutana na watu Kama Mimi akajiona yy Ni mwamba
Umewaza kama mm mkuu kwenye kusimamishwa na traffic it's means kuna maswali na maongez yawepo mpaka ww kuwaonga sio chini ya dakika kumi na zaid maana haiji akili usimamishwe na traffic ww ushatoa pesa unawapa ni hard Lazma wakuhoji na kwa kiasi alichotumia inamaana alisimamishwa Sana barabarani na huko ni wastage of Time , je kivipi aliweza kucover huo mda mpaka anafika Dar inahitaji kufikiri kwa kina umetuacha na alama ya kuuliza na Nissan DualisIn short ni kwamba,Nissan dualis haiwezi ku perform better than crown in any way possible.In practice or Even in a theoretical way-Nissan dualis haiwez kuwa na muscle za kupambana na Nissan patrol-Any logical person atakushangaa based on your arguments.
Based on the distance between Dar & Singida,kuweza kucover hyo distance inahitaji a constant speed of not less than 100km/hr plus ambayo kwa mchana its nearly impossible unless unaendeshea kwenye barabara za Ulaya.
Kama ulitumia 100'000 out of 150'000 it means ulisimamishwa sana road na traffic na maongezi ya kuhonga yalikuwepo ambayo infact ni sehemu ya kupoteza muda,achilia mbali ubovu wa barabara na jam ndogondogo barabaran,Swali ni Je,Ulikuwa unawarushia traffic hela hewan bila kusimama ili usipoteze muda njiani na kuweza ku maintain hiyo 100+km/hr?
In practice-unachokiongelea ni habari za kufikirika kwa yeyote mwenye akili timamu,How on earth dualis limekuwa a muscular can on the road? [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Mafundi wabongo ndiyo wakijinga...kawaulize Wajapani......wakishindwa kutengeneza kitu hawataki kukubali kuwa wameshindwa...wanaaza kusingizia kuwa hakifai.....
Ingekuwa ni gari ya kijinga ungeshasikia recall huko kiwandani na leo hii kusingekuwepo na Xtrail Generation ya tatu..
Unamiliki nissana aina gani ?Nissan huzijui.kuwa mpole time will tell. Itatufanya uchukue mkopo bank au uliache porini. Nissan ni mziki mkubwa, hata spear zake kuzipata ni shida.