Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Huyo mnyama achana nae, tulipishana nae tukiwa na Audi, tulikuwa tunaenda mtwara,barabara nyeupe mixer pori asee jamaa alitoka huko alikotokea in a minute Alikuwa ashapotea kwenye anga zetu. Tulikuwa tunatembea 160-180/kph
Hujakutana na VX V8 mkuu? Hawa jamaa wanatembea aise. Unaichapa mashine 190kph halafu bado wanakuchapa kama umesimama sina ham nao. Unakaza pedal mpaka tako lakini ndio kwanza inazidi kupotea
 
Huyo mnyama achana nae, tulipishana nae tukiwa na Audi, tulikuwa tunaenda mtwara,barabara nyeupe mixer pori asee jamaa alitoka huko alikotokea in a minute Alikuwa ashapotea kwenye anga zetu. Tulikuwa tunatembea 160-180/kph

Audi mliokuwa nayo inawezekana ina horses ndogo sana, probably chini ya 200hp. Wakati LC 200 VX V8 ana 300hp na kuendelea. Lazima awanyanyase.

Mngekuwa na Audi yenye 400hp na kuendelea lazima mngemsumbua huyo jamaa.

Ila hizo VX V8 zikikutana na wababe wenzao wanakuwa wapole tu.
 
Subi. STI.. yaani hapo hizo vx v8 tunasumbuama sio zinanisumbuaView attachment 1643021
jamaa yangu hiyo green hapo katikati sio gear hizo mbona bado 0, halafu tank ni empty upo gereji mguu mmoja juu, badili
Subi. STI.. yaani hapo hizo vx v8 tunasumbuama sio zinanisumbuaView attachment 1643021
Sorry Mkuu hii gari ipo Gereji au barabarani? maana Mafuta ni E na km ni Auto hapo kwenye green pana matatizo haitaweza shindana na VX, wakati gari naiona Odomita ina kilomita 9800 basi ni kapya lkn karudi Gereji km kametoka
Mwenzako katoka Dsm na Duelis mpaka singida hajakutana na VX wakati njia ya Dar Moro Dodoma zimejazana hayo magari ya viongozi yasiyosimamishwa na Traffic
 
jamaa yangu hiyo green hapo katikati sio gear hizo mbona bado 0, halafu tank ni empty upo gereji mguu mmoja juu, badili

Sorry Mkuu hii gari ipo Gereji au barabarani? maana Mafuta ni E na km ni Auto hapo kwenye green pana matatizo haitaweza shindana na VX, wakati gari naiona Odomita ina kilomita 9800 basi ni kapya lkn karudi Gereji km kametoka
Mwenzako katoka Dsm na Duelis mpaka singida hajakutana na VX wakati njia ya Dar Moro Dodoma zimejazana hayo magari ya viongozi yasiyosimamishwa na Traffic
Ipo barabarani mkuu mafuta ni kweli haina na ni manua 6 speed gearbox .ni nzima kabisa hyo gari haina tatizo safari popote kama una gari yako ya uhakika ifate
 
Mmenichekesha sana na comment zenu looh.
Kiufupi napenda sana kundesha gari na napenda ligi ila kuna muda hjwa nasema je likitokea la kutokea.......!! Naanza kiwakumbuka wote waliokwishaniambia wananipenda, nafikiria vile watakuwa wanalia kwa uchungu nikiwa nimekufa kwa ajali......

Basi narudisha kisigino nyuma naanza kwenda mwendo wa kibalozi km 80 pale inapobidi, na 50 mpaka 30 pale nnapotakiwa kutii.

Na safari za nje ya Dar nikiwa naendesha binafsi huwa naifanya sehemu ya starehe, ambapo mwendo usio na ligi unaniondolea stress za kuovertake na kukaza tako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
umeipenda sana hiyo kukaza tako eeh, [emoji3][emoji3]
 
Subi. STI.. yaani hapo hizo vx v8 tunasumbuama sio zinanisumbuaView attachment 1643021
Kwahizo RPM sheli lazma iwe eneo rafiki na wewe 😝....

Gari inachezea 5-7 kmmmk sio kwa poor mileage hio. Hapo ikijitahidi sana ni 4.5km/l bila shaka. STi Gas Guzzler!!!

Unapata wapi ujasiri wa kutembelea robo tank humo😂😂😂
 
Mmenichekesha sana na comment zenu looh.
Kiufupi napenda sana kundesha gari na napenda ligi ila kuna muda hjwa nasema je likitokea la kutokea.......!! Naanza kiwakumbuka wote waliokwishaniambia wananipenda, nafikiria vile watakuwa wanalia kwa uchungu nikiwa nimekufa kwa ajali......

Basi narudisha kisigino nyuma naanza kwenda mwendo wa kibalozi km 80 pale inapobidi, na 50 mpaka 30 pale nnapotakiwa kutii.

Na safari za nje ya Dar nikiwa naendesha binafsi huwa naifanya sehemu ya starehe, ambapo mwendo usio na ligi unaniondolea stress za kuovertake na kukaza tako 🤣🤣🤣🤣
Kukaza nini? 😀😀
 
Kuna muda hjwa nasema je likitokea la kutokea.......!! Naanza kiwakumbuka wote waliokwishaniambia wananipenda, nafikiria vile watakuwa wanalia kwa uchungu nikiwa nimekufa kwa ajali......

Basi narudisha kisigino nyuma naanza kwenda mwendo wa kibalozi km 80 pale inapobidi, na 50 mpaka 30 pale nnapotakiwa kutii.

🤣🤣🤣🤣
Wameelewa
 
Back
Top Bottom