Nilianza kucheza karate nikiwa na miaka 4 nahitaji kutoa usugu kwenye vidole

Nilianza kucheza karate nikiwa na miaka 4 nahitaji kutoa usugu kwenye vidole

Midazolam

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
807
Reaction score
1,340
Mada inajieleza,huo mchezo mjomba wangu alikuwa ni master huko china zaidi ya miaka 30.aliporudi Tz akaanza kunifundisha nikiwa na miaka 5 mpaka miaka 27 na Sasa nina miaka 30 hakuna kitu nisichokijua kwenye karate nimepiga wengi wanaojiita master na sijui kumchokoza mtu ukinichoza najaribu kuepuka ugomvi.

Tatizo langu nahitaji kumaliza usugu kwenye vidole vya mkono wangu,maana inanipa shida na imewahi kunipa kesi uzuri nafanya kazi pendwa na halali kwa hiyo kunitia shaka ni vigumu.

Ni kipodozi gani itanifaa kutoa huu usugu,mda mwingi navaa gloves za nguo.
 
We Ni mshamba, unaanzaje kutengeneza sugu? Watu wanapiga karate na martial arts nyingi lakini unaweza usibaini kuwa Ni mtaalamu, shida mnafanya tizi za vichochoroni ( kukaanga mchanga wa Moto[emoji23])

Cha msingi anza kupaka glicerine na uanze kuvaa gloves ukiwa unapasha tizi hasa punching.
 
We Ni mshamba, unaanzaje kutengeneza sugu? Watu wanapiga karate na martial arts nyingi lakini unaweza usibaini kuwa Ni mtaalamu, shida mnafanya tizi za vichochoroni ( kukaanga mchanga wa Moto[emoji23])


Cha msingi anza kupaka glicerine na uanze kuvaa gloves ukiwa unapasha tizi hasa punching.
Mkuu kumbuka mi sijafundisha karate za mtaani ,master wangu alikuwa ni mjomba wangu na yeye ndo alikuwa ananielekeza ,nimeivaa Sana kwenye huo mchezo,na vigumu sana mimi kuhombana na mtu na ikitokea huwa naonya tu maana nikipiga madhara yake ni makubwa sana na mjomba alifundisha kuvunja inapotekea mimi kuzindiwa na hapo ndo kuna ukali wangu ila kuweka mwili sawa na kutafuta nguvu za mkono na huwa push up ndo ilisababisha usugu huu.nimejifunza karate na hakuna nisichokijua ndo ya huo mchezo
 
Mkuu kumbuka mi sijafundisha karate za mtaani ,master wangu alikuwa ni mjomba wangu na yeye ndo alikuwa ananielekeza ,nimeivaa Sana kwenye huo mchezo,na vigumu sana mimi kuhombana na mtu na ikitokea huwa naonya tu maana nikipiga madhara yake ni makubwa sana na mjomba alifundisha kuvunja inapotekea mimi kuzindiwa na hapo ndo kuna ukali wangu ila kuweka mwili sawa na kutafuta nguvu za mkono na huwa push up ndo ilisababisha usugu huu.nimejifunza karate na hakuna nisichokijua ndo ya huo mchezo
Mjomba wako ana dan ngapi? Na unaposema tu karate , unaongelea uwanja mpana sana wa japanese muscle art .

Karate imegawanyika mno kuna shoto ryu,okinawan karate,goju ryu,wado ryu na shito ryu. Yeye yupo wapi hasa ? Binafsi ninacheza shorinji kenpo pamoja na eskrima (nikishika chochote chenye ncha kwangu ni silaha).
 
Mkuu kumbuka mi sijafundisha karate za mtaani ,master wangu alikuwa ni mjomba wangu na yeye ndo alikuwa ananielekeza ,nimeivaa Sana kwenye huo mchezo,na vigumu sana mimi kuhombana na mtu na ikitokea huwa naonya tu maana nikipiga madhara yake ni makubwa sana na mjomba alifundisha kuvunja inapotekea mimi kuzindiwa na hapo ndo kuna ukali wangu ila kuweka mwili sawa na kutafuta nguvu za mkono na huwa push up ndo ilisababisha usugu huu.nimejifunza karate na hakuna nisichokijua ndo ya huo mchezo
Usichokijua ni kwamba karate ni umeongelea uwanja mpana sana.
Wewe unacheza karate ipi? Okinawa,shotokan,goju ryu,shito ryu e.t.c?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Ningekuwa Mimi walahi wangekoma watu!.. hakuna Cha kufuta sugu wala nini atakae nichokoza lazima ataniambia ikitoka herufi Z inafuata herufi gani!!.. alasivyo namng'oa mimeno yale ya uwalazani Bata kabisa!.. mi siwezi jisumbua kufuta sugu..😅
 
Mkuu kumbuka mi sijafundisha karate za mtaani ,master wangu alikuwa ni mjomba wangu na yeye ndo alikuwa ananielekeza ,nimeivaa Sana kwenye huo mchezo,na vigumu sana mimi kuhombana na mtu na ikitokea huwa naonya tu maana nikipiga madhara yake ni makubwa sana na mjomba alifundisha kuvunja inapotekea mimi kuzindiwa na hapo ndo kuna ukali wangu ila kuweka mwili sawa na kutafuta nguvu za mkono na huwa push up ndo ilisababisha usugu huu.nimejifunza karate na hakuna nisichokijua ndo ya huo mchezo
Mkuu Nina miaka mingi napiga push up ila Sina nakos Ila miaka ya zamani bila kuwa na nakos hujaonekana umeiva ndio maana weng wakawa wanatafuta kwa kutumia kokoto zikiwa ndani ya Moto,mchanga,na kupiga punch bag zilizojaa mawe ili kuua seli zilizo katika vidole na kutengeza usugu huo
 
Dah! Ningekuwa Mimi walahi wangekoma watu!.. hakuna Cha kufuta sugu wala nini atakae nichokoza lazima ataniambia ikitoka herufi Z inafuata herufi gani!!.. alasivyo namng'oa mimeno yale ya uwalazani Bata kabisa!.. mi siwezi jisumbua kufuta sugu..[emoji28]
Ukishajifunza huo mchezo automatically unakuwa mpole Sana coz unajua madhara gani mtu ukimpiga sehemu fulani ana pata madhara makubwa ila Kama unaupenda jifunze kwa self defense Mana hujui lin utakutana na kisanga itakuokoa Mana ukimzibua mtu tu maygel ilioshiba lazima wajue hapa Kuna bingwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukishajifunza huo mchezo automatically unakuwa mpole Sana coz unajua madhara gani mtu ukimpiga sehemu fulani ana pata madhara makubwa ila Kama unaupenda jifunze kwa self defense Mana hujui lin utakutana na kisanga itakuokoa Mana ukimzibua mtu tu maygel ilioshiba lazima wajue hapa Kuna bingwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu mi napenda karate sijui Kung Fu na boxing napenda kinyama ila napenda na kukimbia..😂😂 ili nikizidiwa mbio ziniokoe sio adui akushinde mbio na ngumi jua akikushinda hivyo kwisha habari yako..😅
 
Mkuu kumbuka mi sijafundisha karate za mtaani ,master wangu alikuwa ni mjomba wangu na yeye ndo alikuwa ananielekeza ,nimeivaa Sana kwenye huo mchezo,na vigumu sana mimi kuhombana na mtu na ikitokea huwa naonya tu maana nikipiga madhara yake ni makubwa sana na mjomba alifundisha kuvunja inapotekea mimi kuzindiwa na hapo ndo kuna ukali wangu ila kuweka mwili sawa na kutafuta nguvu za mkono na huwa push up ndo ilisababisha usugu huu.nimejifunza karate na hakuna nisichokijua ndo ya huo mchezo
Naomba pambano kama upo tayari..

Napatikana Dar..
 
Huyu jamaa sio martial art anajisifu tu ili tumjue kama yupo vzuri,, na martial art ajisifii kama huyu boya, na kama angekua na shida ya kutoa sugu, angesema tu naomba kujua dawa ya kutoa sugu, angepata majibu, kuliko kuanza kujisifia koote huko kumbe boya. akijibu hili swali ulilomuuliza, nami nitampa swali kwa atakavyojibu hili.
Mjomba wako ana dan ngapi? Na unaposema tu karate , unaongelea uwanja mpana sana wa japanese muscle art .
Karate imegawanyika mno kuna shoto ryu,okinawan karate,goju ryu,wado ryu na shito ryu. Yeye yupo wapi hasa ? Binafsi ninacheza shorinji kenpo pamoja na eskrima (nikishika chochote chenye ncha kwangu ni silaha).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi napenda karate sijui Kung Fu na boxing napenda kinyama ila napenda na kukimbia..[emoji23][emoji23] ili nikizidiwa mbio ziniokoe sio adui akushinde mbio na ngumi jua akikushinda hivyo kwisha habari yako..[emoji28]
Nakushauri jifunze self defense mwamba najivunia naweza enda sehemu yeyote na muda wowote uje na lifimbo,panga,shoka nakuvibua tu nacheza shotokan brown belt now[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
huyu jamaa sio martial art anajisifu tu ili tumjue kama yupo vzuri,, na martial art ajisifii kama huyu boya, na kama angekua na shida ya kutoa sugu, angesema tu naomba kujua dawa ya kutoa sugu, angepata majibu, kuliko kuanza kujisifia koote huko kumbe boya. akijibu hili swali ulilomuuliza, nami nitampa swali kwa atakavyojibu hili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nawaza siku moja nikachukue Dan 1 Kwanza Chinese huko napambana Sana nimalize brown nipate kaa black alfu tupambanie dan
 
Back
Top Bottom