Ulikuwa upo kiunoni kwa mzee wako bado! Awamu ya mkapa ndio hela tulitumia hizo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] watoto wa 20000'nini!
Sawa mkuu ila noti za elf10 za bluu,sina kumbu kumbu ka'zishawahi tumika nchini!
Nimejitahid mno kuvuta memory langu lakini wapi!
Emb tukumbushane bas bwaashe, mwaka gani huo, ama kipindi cha Mwinyi?
Mkuu tangia Nyerere nilikuwepo tena mwajiriwa, cjui unaweza semaje kwa hilo.Ulikuwa upo kiunoni kwa mzee wako bado! Awamu ya mkapa ndio hela tulitumia hizo
Basi fanyia kazi kumbukumbu zako maana mie pia nilikuwa meneja wa bodi ya Pamba by that time baba wa Taifa akanitumbua 🤣🤣🤣Mkuu tangia Nyerere nilikuwepo tena mwajiriwa, cjui unaweza semaje kwa hilo.
Ninaweza kukuzaa sema kumbukumbu ndoishafuta, c unajua uzee tena!
Maana minoti ya Tz wameyabadilisha sana hasa kuanzia utawala wa alhaji.
Ushirikina ni tatizo. Wote wanaouendekeza wana matatizo makubwa sana. Hakuna maendeleo. Hakuna amani. Hakuna legacy ya maana zaidi ya mambo ya hovyo hovyo tu. Ndio maana kuua watu wa vipara, albino ah kufukua maiti ndio sifa zetu za hovyo mbele ya watu waliostaarabika. Tuache ushirikina
Unadani jina la Mr Blue lilitokea wapi? Kama jamaa amekuzidi umri ujue tatizo liko hapo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] watoto wa 20000'nini!
Sawa mkuu ila noti za elf10 za bluu,sina kumbu kumbu ka'zishawahi tumika nchini!
Nimejitahid mno kuvuta memory langu lakini wapi!
Emb tukumbushane bas bwaashe, mwaka gani huo, ama kipindi cha Mwinyi?
Usicheke sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nmecheka kinoma
[emoji16][emoji16][emoji16]nyie mbwa tenaa,hivi ikinasiana pale huwa inauma eh???[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Yani vijana wa siku hizi dah..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani pamoja na kuchanjiwa dawa ndo ukaishia kula walembo saba jalafu unakuja hapa kuanzisha uzi unajisifu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi hapa sikuwahi kuchanjiwa wala kuoga hizo dawa ila kwa huo umri kama wako nilikula kama mademu 124 hivi
Na mpaka kufikia sasa nilishatomba wanawake wapatao mia nne
Yes uko sahihiKwenye maelezo yangu sijatoa marital status yangu so naweza kuwa nimeoa au sijaoa pia. Nyongeza ya hapo, kuoa ni maaamuzi ya mtu na ndoa sio ya kukurupukia
Vp ikawaje Sasa ?Umenikumbusha rafiki yangu alikuwa na rafiki yake naye alichanjwa ili apendwe na wanaume wenye pesa..ndele bwana.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]watu wana mambo.Kuna wadada frani walienda kwa mganga wakiwa na shida awapatie dawa ili wapendwe na wazungu.
sijui walifanikiwa au laaa
Akapendwa maupendo Kama yoteVp ikawaje Sasa ?
Ok Safi sanaAkapendwa maupendo Kama yote
2002 kurudi nyuma hukoNoti ya blue ya sh.10,000/=!
Mwaka gani huo?
Maana hii nyekundu na tembo tembo zake ni beyond 20yrs.
Muulize Mr blue akitamba na kibao chake cha blue blue ni miaka gani hiyo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] watoto wa 20000'nini!
Sawa mkuu ila noti za elf10 za bluu,sina kumbu kumbu ka'zishawahi tumika nchini!
Nimejitahid mno kuvuta memory langu lakini wapi!
Emb tukumbushane bas bwaashe, mwaka gani huo, ama kipindi cha Mwinyi?