LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 674
hv ww jamaa shoga au mana 2ache 2jadili ye2 cc wahanga na post znatoka ataufanye nn bata wewe bado mshamba sana
haya bwana endeleeni kusubiri hiyo tar 15 pamoja na matusi yako kijana utanipa majibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hv ww jamaa shoga au mana 2ache 2jadili ye2 cc wahanga na post znatoka ataufanye nn bata wewe bado mshamba sana
Mkuu labda nikuulize kitu ivi wewe unacheo gani labda katika taasisi yeyote ya government apa nchini coz unapenda kucrush kila kitu hapa jamvi nimekufuatilia sana post zako humu jf sana sana hili jukwaa la elimu mbona unapenda kudharau information za wenzio wewe kama nani.
swala sio kucrash ndugu tatizo watanzania ikiwaambia ukweli wa moja kwa moja wanakuchukia haya endelee kuwa amini hao wanao wapa taarifa za uchochoroni.
Tupe basi izo information zako ili tujuwe kinachoendelea
kiongozi mbona taarifa nilisha toa mda sana tangu kipindi kile mlipo danganywa kuwa zitatoka tarehe 1 may na hiyo ndio taarifa yenyewe sahihi wala mtu asiwarubuni we tafuta pot yangu kuhusu hizo ajira za awamu ya pili.
LOOK kaa kmya mada haikuhusu hata ww unijui unitishi sio lazma ukoment mi naongea na wakubwa ndo wananipa data we nan
look si utiririke tarifa kamili kuhusiana na kutokuajiriwa kwa walimu awamu ya pili, mbona unawapa vijana majibu ambayo ni incomplete ndio maana wanakutukana, maana inawauma sana wenzao kuajiriwa wenyewe wamebaki,
Tiririka basi vijana wakuelewe don't round the bush mkuu
cbahatk ww mi n muhanga wa st.john xaxa co unabsha find data zako na wew z2saidie ------- au nikupe namb ya n/wzr tamise
Sasa wewe kama sio muhanga wa hili jambo kwa nini unapenda kuwakatisha tamaa hisitoshe wewe pia ni mwalimu maisha ayaendi ivyo kweli nimeamini alie shiba amkumbuki mwenye njaa kumbe upo inservic kitambo unakuwa mlopokaji namna hii baada yakuwasaidia walimu wenzio kwa janga lililotukuta tena tu kwauzembe wawatu flani flani isnot fear mwalimu
LOOK ucwe km shoga ww nimepost nilichoambiwa niwajuze wahanga wenzangu unaleta upimbi toa data zako 2elewe MUONGO BABAKO
waalimu mnaosubiria awamu ya pili mtaajiriwa acheni kusikiliza porojo za akina Look
jaman wahanga wenzangu polen xana
nimeambiwa kesho -15/5 majina yanatoka mana nmeambiwa na naibu wazr leo dom kulpot 1/7
jaman wahanga wenzangu polen xana
nimeambiwa kesho -15/5 majina yanatoka mana nmeambiwa na naibu wazr leo dom kulpot 1/7
waalimu mnaosubiria awamu ya pili mtaajiriwa acheni kusikiliza porojo za akina Look