Nilichobaini kwa watu wa Njombe

madihani mahi bee
 
Kwani kuwa mkarimu na maambukizi ya vvu kuna uhusiano gani!????

Maambuziki kule Njombe yanasemekana n kutokana na wengi hawatairi, baridi Kali hivyo lile tendo linafanyika frequently na muda mrefu na mwingiliano wa biashara.
Ila jamaa unaonesha roho mbaya hatari.!
 
Maeneo ya home hapo Mtwango.!
 
Nipo airport, uko njombe pia???
Wao! Kumbe Njombe kuna Airport!

Nilifikiri ni "chai" hadi nilipogoogle.

Ni Uwanja mdogo, lakini kwa mabilionea wanaoendelea kuongezeka Njombe, itafikia hatua itakuwa na Airport kubwa ya kuweza kupokea ndege kubwa ya mizigo, n.k.

The time will tell!
 
Hatukutegemea jibu lingine zaidi ya hili hongereni njombe.
Pia naskia ukimwi n'je n'je
πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—
 
Ipo mkuu ingawa hakuna ndege zinazotua Mara kwa Mara sanasana ni zile ndogo ndogo. I hope miaka ijayo kutabadilika uwe uwanja mkubwa.
 
Ipo mkuu ingawa hakuna ndege zinazotua Mara kwa Mara sanasana ni zile ndogo ndogo. I hope miaka ijayo kutabadilika uwe uwanja mkubwa.
Nafikiri, katika kipindi cha miaka mitano ijayo, idadi ya ndege zitakazokuwa zinatua na kuruka kutoka Njombe Airport kwa wiki zitakuwa zimeongezeka mara kadhaa zaidi ya ilivyo sasa.
 
Ufupi unaendana na kiburi, ubishi, kisirani na hasira.
Lakini sijaona haya mambo ukiyahusianisha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…