Nilichobaini kwa watu wa Njombe

Nilichobaini kwa watu wa Njombe

1703562655097.jpg
 
Haya ndo mambo ya Mbaga Jr na mwenzake Intelligent businessman

* Kuosha viombo vingae na kusugua sufuria kwa weledi

*Kupika pishi tamu kushinda hata mwanamke

*Kufua nguo , tena unakuta anarundika na anaratiba yake maalumu ya kufua na anang'arisha pasi na shaka lolote

* Kuweka chumba katika hali ya usafi wa hali ya juu mpaka mwanamke akiingia anatetemeka

* Kuchambua mboga, kukata mboga, kukata vitunguu, kuchambua mchele , maharage na vitu vingine vinavyofanana na hivyo

* Kupika chai asubuhi na kunywa kabla ya kwenda kazini / kibaruani/ mihangaikoni
Umesahau kukuna nazi 😂
 
Ila mbona kuna matukio ya ajabu ajabu sana yanaripotiwa kutoka pande hizo
Njombe
Geita
Kwa siku chache nilizokaa huko, sikukutana na tukio lolote la ajabu, labda mambo na mazingira ya ajabu kama:
1. Miteremko mikali ambayo wakati mwingine nilitamani kushika garini na kutembea kwa miguu

2. Watu kulima mashamba yaliyo kwenye miteremko mikali sana ambayo kama siyo kuona mazao yaliyolimwa, nisingeamini kama kuna raia angeweza kutembea kwenye eneo lenye mteremko mkali kiasi hicho

3. Mabilionea wenye mionekano ya kawaida. Unakuta mtu ana shamba la parachichi zaidi ya ekari 200 lililoajiri wafanyakazi wengi wanaolipwa kwa mwezi lakini hana "makelele"

4. Upatikanaji wa kitimoto kwa wingi na bei rahisi

5. Ukijani karibia mji mzima kama siyo mji wote kutokana na mazingira kutunzwa vizuri

6. Baadhi ya watu kuotesha miti ya miparachichi aina ya HASS kama miti ya mapambo kwenye makazi yao na ofisi zao

7. Mabwana shamba wenye "hela". Wengi wao wana mikataba ya kusimamia mashamba ya wakulima wa parachichi, na hivyo kujikuta wanajikusanyia kitita kizuri cha hela kuzidi baadhi ya waajiriwa wenye masters degree ingawa wao wengi wao wana certificate kutoka Vyuo vya kilimo
 
😂😂😂😂😂😂
Mgeni mgeni mgeni huyu mgeniiii
Huyo mgeni anatisha

Najua Vijana wa sasa hawamjui vizuri ndiyo maana wacheza peku mechi zao Kwa kiburi cha Arv 🙌
 
Hilo basi likiwa njiani kuelekea Ludewa, lilikwama na hivyo kondakta na dereva wakawaomba abiria msaada wa kusukumwa. Mbona waligoma kufanya hivyo!. Hata mimi ilinibidi "nijikaushe" japo nilitamani kuwasaidia.
Sasa huu si ujinga ...kadiri gari linavyochelewa si nyote mnachelewa?
Au Kondakta alilizima kwa kukusudia?
 
Njombe ni moja ya mkoa ambao imejipambanua zaidi na utazidi kukua zaidi kutokana na nature ya watu wake ni wampambanaji na wanapenda maendeleo na kupitia miji yao miwili makambako na njombe wameteua mji wa makambako uwe wa viwanda na biashara hii ni kutokana na jiografia pia na utajiri wa rasilimali walizo nazo kama madini na mazao ya kibiashara nk ko utarajie kuona mkoa wa njombe utazidi kukua mno ndo kwanza wawekezaji wanazidi kwenda kuwekezana plan yao ni kukuza mji wa makambako ili wa host kibiashara kwa mikoa ya iringa na ruvuma na nchi jilan kwa kujenga bandari kavu, industrial park,masoko ya mazao nk makambako na kazi imeanzaView attachment 2965895 View attachment 2965894View attachment 2965899View attachment 2965886View attachment 2965887View attachment 2965888View attachment 2965889View attachment 2965890View attachment 2965891View attachment 2965892
1711339180702-jpg.2965893

Hiyo mipango ya kiccm isiyokuwa na mbele wala nyuma kila mahali ipo.
 
ukiweka utani wote pembeni, watu wa njombe kwa maana ya wabena, wakinga na wapangwa, wanaweza kushika usukani kwenye wanadamu wachapakazi kwa makabila ya Tanzania. mimi sio mtu wa huko, ila nilishawahi kuishi maeneo mengi including huko. wabena kwa mfano wapo vizuri sana kwenye kilimo na maduka ya kawaida. ila wakinga, akizaliwa anawaza tu biashara tena biashara kubwa. wapangwa wanajisogeza polepole ila nao asili yao ileile, wanachapa sana kazi wakipata opportunity. UKioa mke, oa mbena au mpangwa, ila uishi naye kwa amani ama la......, wanao uwezo kuchukua maamuzi magumu. mkinga ukioa hakikisha wewe ni mfanyabiashara pia, hapo mtaendana, ila kama ni mtu mzembe mzembe usiyetafuta pesa, hamtadumu. all in all hayo yapo kwa wanadamu wote ila hicho ndicho hilichokiona kwa watu wa kule wawe wanaishi kule au hawaishi kule ndivyo walivyo.

wanaweza kuonekana wadumavu sio kwasababu hawana chakula, bali kwasababu hawali chakula bora, mkinga yupo tayari ashindie mkate wa asili, hata mbena yupo tayari ale vibaya ila biashara yake iendelee, wanao uwezo mkubwa sana kusevu pesa na hii inasaidia sana kwa vizazi vyao vya mbeleni. mtu ana pesa nyingi hata 100m lakini hali chakula bora anaogopa hela itapungua. ndivyo walivyo.
 
Back
Top Bottom