Nilichogundua katika hukumu za kifo ni kuwa kila binadamu anaogopa kuua binadamu wengine

Nilichogundua katika hukumu za kifo ni kuwa kila binadamu anaogopa kuua binadamu wengine

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nilikuwa napitia Hukumu ya Afande Zombe katika ile Kesi ya Muuza Madini aliyeuawa Mabwepande

Jaji alisema Zombe hana hatia Kwa Sababu Siyo yeye aliyefyatua risasi iliyomuuwa Muuza Madini

Pia soma: Arusha: Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yaiamuru Tanzania kuondoa adhabu ya kifo ndani ya Miezi 6

Nikatafuta hukumu ya Mamwindi aliyemuua Dr Kleruu sijaipata ila simulizi za wazed zinasema yule mnyongaji alishtakiwa Kwa kuuwa bila kukusudia na kuachiwa Huru na kwamba hiyo ndio kanuni Kwa Sababu kuna kujibu maswali mbele ya Mungu wa mbinguni baada ya kutwaliwa

Pia soma: Hivi watu wanaosubiri kutekelezwa kwa hukumu ya kifo, siku au dakika za mwisho huwa wanakuwa katika hali gani?

Nikayarejea tena maneno ya Shujaa Magufuli " sijawahi kusaini Hukumu ya Kifo kipindi chote nilipokuwa kiongozi"

Nilichogundua ni kwamba kila binadamu anaogopa kuuwa binadamu wengine

Sasa napitia maandiko ya Bible ndio nakutana na zile Amri 10 za Mungu wa mbinguni alizompa Nabii Mussa na mojawapo inasema." USIUE"

Ndugu Zangu tupendane, acheni Mungu aitwe Mungu wa Mbinguni

Jumaa Mubarak 😀🌹
 
Nilikuwa napitia Hukumu ya Afande Zombe katika ile Kesi ya Muuza Madini aliyeuawa Mabwepande

Jaji alisema Zombe hana hatia Kwa Sababu Siyo yeye aliyefyatua risasi iliyomuuwa Muuza Madini

Nikatafuta hukumu ya Mamwindi aliyemuua Dr Kleruu sijaipata ila simulizi za wazed zinasema yule mnyongaji alishtakiwa Kwa kuuwa bila kukusudia na kuachiwa Huru na kwamba hiyo ndio kanuni Kwa Sababu kuna kujibu maswali mbele ya Mungu wa mbinguni baada ya kutwaliwa

Nikayarejea tena maneno ya Shujaa Magufuli " sijawahi kusaini Hukumu ya Kifo kipindi chote nilipokuwa kiongozi"

Nilichogundua ni kwamba kila binadamu anaogopa kuuwa binadamu wengine

Sasa napitia maandiko ya Bible ndio nakutana na zile Amri 10 za Mungu wa mbinguni alizompa Nabii Mussa na mojawapo inasema." USIUE"

Ndugu Zangu tupendane, acheni Mungu aitwe Mungu wa mbinguni

Jumaa Mubarak 😀🌹
Usimlilie Magufuli anazo zake; jililie wew kwa sababu hujui lini na wapi utamfuata; he is gone leave him rest in peace if there is peace where he is
 
Nilikuwa napitia Hukumu ya Afande Zombe katika ile Kesi ya Muuza Madini aliyeuawa Mabwepande

Jaji alisema Zombe hana hatia Kwa Sababu Siyo yeye aliyefyatua risasi iliyomuuwa Muuza Madini

Pia soma: Arusha: Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yaiamuru Tanzania kuondoa adhabu ya kifo ndani ya Miezi 6

Nikatafuta hukumu ya Mamwindi aliyemuua Dr Kleruu sijaipata ila simulizi za wazed zinasema yule mnyongaji alishtakiwa Kwa kuuwa bila kukusudia na kuachiwa Huru na kwamba hiyo ndio kanuni Kwa Sababu kuna kujibu maswali mbele ya Mungu wa mbinguni baada ya kutwaliwa

Pia soma: Hivi watu wanaosubiri kutekelezwa kwa hukumu ya kifo, siku au dakika za mwisho huwa wanakuwa katika hali gani?

Nikayarejea tena maneno ya Shujaa Magufuli " sijawahi kusaini Hukumu ya Kifo kipindi chote nilipokuwa kiongozi"

Nilichogundua ni kwamba kila binadamu anaogopa kuuwa binadamu wengine

Sasa napitia maandiko ya Bible ndio nakutana na zile Amri 10 za Mungu wa mbinguni alizompa Nabii Mussa na mojawapo inasema." USIUE"

Ndugu Zangu tupendane, acheni Mungu aitwe Mungu wa Mbinguni

Jumaa Mubarak 😀🌹
Rekebisha: Siyo kila binadamu, Mbona jiwe ameua mamia? na huyu amefikisha maelfu anakaribi mamilioni?
 
Nilikuwa napitia Hukumu ya Afande Zombe katika ile Kesi ya Muuza Madini aliyeuawa Mabwepande

Jaji alisema Zombe hana hatia Kwa Sababu Siyo yeye aliyefyatua risasi iliyomuuwa Muuza Madini

Pia soma: Arusha: Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yaiamuru Tanzania kuondoa adhabu ya kifo ndani ya Miezi 6

Nikatafuta hukumu ya Mamwindi aliyemuua Dr Kleruu sijaipata ila simulizi za wazed zinasema yule mnyongaji alishtakiwa Kwa kuuwa bila kukusudia na kuachiwa Huru na kwamba hiyo ndio kanuni Kwa Sababu kuna kujibu maswali mbele ya Mungu wa mbinguni baada ya kutwaliwa

Pia soma: Hivi watu wanaosubiri kutekelezwa kwa hukumu ya kifo, siku au dakika za mwisho huwa wanakuwa katika hali gani?

Nikayarejea tena maneno ya Shujaa Magufuli " sijawahi kusaini Hukumu ya Kifo kipindi chote nilipokuwa kiongozi"

Nilichogundua ni kwamba kila binadamu anaogopa kuuwa binadamu wengine

Sasa napitia maandiko ya Bible ndio nakutana na zile Amri 10 za Mungu wa mbinguni alizompa Nabii Mussa na mojawapo inasema." USIUE"

Ndugu Zangu tupendane, acheni Mungu aitwe Mungu wa Mbinguni

Jumaa Mubarak 😀🌹
haa si kila binadamu anaogopa kuua kule mexico drug cartels wanachinja watu kama kuku. los zetas na magenge mengine kukuchinja ni jambo jepesi tu kama kuvuta fegi. Pia nenda hapo kwa boko haramu uone cha mtema kuni
 
Back
Top Bottom