Nilichogundua kuhusu maisha ya utafutaji usiombe mtu hela muombe connection

Nilichogundua kuhusu maisha ya utafutaji usiombe mtu hela muombe connection

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nilichogundua Kama upo na circle ya watu waliofanikiwa Kama ukiwa mtu wa kuwaomba hela Basi Fahamu watakupa bloko au watakuchukulia Kama msumbufu tu.

Yaani haijalishi mtu analipwa sh ngapi au anaingiza sh ngapi usithuhubutu kumjengea mazoea ya kumuomba hela ni hatari Sana. Labda uwe unafanya huo mchezo kwa ndugu zako tu wanaokujua vizuri.

Lakini ukimuomba mtu connection ya Kazi anaweza kukupambania ukapata au hata Biashara na sio kukupa hela zake .

So tujifunze kuomba connection za Kazi na sio pesa in short hakuna mtu anapenda kuombwa pesa.
 
C3D54C12-3911-4AFF-876B-9CAB315ED5DB.jpeg
Naomba Connection🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
📍-> Web Designing.

-> TRA Online services.

-> Logo, Banners, Poster [GRAPHIC]Designs.

-> Social media Advertisements [Sponsored Ads].

-> Business name & Company Registration. [BRELA]

-> Air Reservations and Bookings.

-> Passport Applications.

-> Visa Applications.

-> Study Abroad Programs. (Tuition Fees are as low as Tanzanian Shillings (TZS) 1.5millionper year depending on the program of study)

(+ Scholarshipsincluded)

-> And other I.T related services..(Hardware& SoftwareSolutions)









Our office is located at:

📍White Beach Park,

Tanki Bovu, Mbezi Beach

Dar es Salaam, Tanzania.

Call: +255787308831
 
Back
Top Bottom