Wema anakaribia miaka 40 sasa ila bado ana act like mtoto aliyezaliwa miaka 13 iliyopita. Wenzake wanaolewa yeye anasuswa na kubaki kuchezewa tu na kina Diamond, matokeo yake kwa hasira anajipiga mapicha akionyesha makalio.
Una uhakika gani mkuu?Wema kazaliwa mwaka 1993
Wema kazaliwa mwaka 1993
Hivi wewe ni dume au jike. Kama ni dume basi comments zako nyingi una present kama shoga. BTW kitu kikishawekwa kwenye forum&public ni ruksa kujadiliwa. Hii ni pamoja na harusi. Wanaojadili wana haki.WABONGO KWA NINI TUNAPENDA NEGATIVE THINKING?? SASA AWE MIAKA 23 AU ASIWE 23 WEWE INAKUATHIRI VIPI
Umesahau kitu kimoja,Kupitia harusi ya Kiba Azam tv nimegundua mambo kadhaa kuhusu wanawake wa mombasa....
1.Ni wanawake wanaopenda kujisitiri maungo yao yani wanajua thamani ya miili yao...ushuhuda angalia walivyovaa hapo ukumbini kama wapo msibani vile madela na mashungi kibao assume hapo ingekua Dar es Salaam..mapaja nje nje
2.Ni wazi kuwa Wanawake wa Mombasa wanawazimia sana wanaume wa Bongo(si ajabu ndo mana wanaume wa kule wanapenda kulala chooni)....ushuhuda dada mmoja kaulizwa na mtangazaji umependa nini kwenye harusi hii...amejibu amependa wabongo.."Tz wako na swaga sana"
3.Wanawake wa Mombasa wana mzuka sana na taarabu za kibongo hasa za Isha Mashauzi..ushuhuda nyimbo nyingi ukumbini zinapigwa taarabu za Isha nA wanapata vibe ya kucheza kuliko hata zikipigwa ngoma za Bwana harusi muitikio hakuna.(mc kila muda dj weka mashauzi)
4.Wanawake wa Mombasa inaonekana ndio wapenzi wa burudani na sherehe kuliko wanaume au kwa lugha nyingine wanawake wa mombasa ni wajanja kuliko wanaume....ushuhuda 99% ya waliohudhuria ukumbini ni wanawake,hii labda ni kutokana na wanaume wa mombasa wengi labda ni maustadhi sana au vinginevyo
5.Mombasa haina tofauti na Tanga,tamaduni zao zinafanana kwa namna moja ama nyingine,labda kwa vile wanapakana.
Mwisho Kabisa kiroho safi kabisa Ukubw Wa tukio hili haukupaswa kuwa na uchangamfu hafifu pale ukumbini na kukosekana kwa Celebrity wakubwa kutoka Kenya...licha ya ukumbi kupambwa kwa namna ya kipekee unavutia sana naamini kabisa sherehe itakayo fanya bongo itakua si mchezo,funga kazi.
Kumbuka hata alshaabab na boko haram wanajisitiri ila wakishawashika mateka huwa wanawaua na wengine kuwajaza mimba
Hakuna mtu asie na kasoro. Some are just better at hiding them.Huyu Binti hana kasoro sasa wabongo wanazitafuta za uongo [emoji3][emoji3]
poa kibamia nilijuwa tu lazma utokwe povu huko nyumaMtoa mada ni bint mzalendo, alitamani kuolewa yeye
Wanawake wa kibongo hawa wanataka kumtoa kwenye reli mtoto wa kimombasa...iam sure huyu si mwanamke wa matukio anajitambua.....KWA NINI NYIE MANUNG'AYEMBE HAMKUBALI MATOKEO KWAMBA ALI KAWATOSA KAENDA KUOA NG'AMBO!kiba 100 kaingizwa mjini watu wanakata rufaaa eti mkee kadanganya age na kapicha apo chini....View attachment 750724
kudadeki una maneno magumu hapo mistari ya mwisho sijakuelewa we mwanamke, sijui kigego sijui tashtitiWana stara haswaa na haiba ya kike nimependa bi harusi alivyo na hayaa na staraa!hana matashtitiii mdada wa watu!hongera kungwiiii mwl wetu sio kigegooo!
wewe nina hakika unapajua mombasa mtoa post kadhihirisha madhaifu mengi mno na nina hakika kapaona mombasa kuoitia harusi ya kiba tena pale ukumbini tu. ChingaOne umeteleza bro. mombasa haiko kama ulivyoiandika kwenye uzi huu umeprove failureHivi unaweza ukawatizama watu kwenye Tv, kisha ukapata picha ya tabia zao halisi kweli?? Kwa hiyo wewe baada ya kutazama harusi kwenye Tv tayari umepata picha kuwa hivyo ndivyo wanawake wote wa Mombasa ndivyo walivyo?
Kwa hilo sikubaliani na wewe hata kidogo. Iko hivi, Mombasa hakuna tofauti na miji mingine mikubwa kama vile hapa Dar. Kuna mchanganyiko wa watu wa kila namna, wapo wenye kujisitiri na wasiojua kujisitiri. Nasema hivyo sababu binafsi nimewahi kukaa Mombasa na sikuona tofauti ya tabia za Wanawake wa Mombasa na Dar es salaam.