cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Idiot...Idiot...tena idiote mkubwa,
huna unalojua wewe kaa kimya tu
Yeye maoni yake,Umemuita hivyo.. ungekuwa na nondo kumzidi ungeziandika.. unaonyesha tu jinsi unavyopigika kimaisha kwa lugha chafu sababu ni yeye afikiriavyo.. hukutakiwa kuandika hayo.
we unaongea kitu gani? brand ya Clouds imebaki daslam tu,nenda mikoani utajua WCB ni kitu gani.akili yako ndogoClouds inajulikana kuliko wasafi wewe!! You cant compare Brand ya Clouds na WASAFI ni mlima na kichuguu.
Vijana wa siku hiz hawana uwezo wa kujenga hoja kinga yao ni matus badala ya hojaUmemuita hivyo.. ungekuwa na nondo kumzidi ungeziandika.. unaonyesha tu jinsi unavyopigika kimaisha kwa lugha chafu sababu ni yeye afikiriavyo.. hukutakiwa kuandika hayo.
Clauds inajulikana tu kwenu huko nyie wanaume wa dar lakin siyo huku kwetu wasafi inajulikana kimataifa lakin clauds haijulikana hata hapo tu kenyaClouds inajulikana kuliko wasafi wewe!! You cant compare Brand ya Clouds na WASAFI ni mlima na kichuguu.
Nguvu ya Clouds imebaki kwa shilawadu tu,umbe umbea...Clauds inajulikana tu kwenu huko nyie wanaume wa dar lakin siyo huku kwetu wasafi inajulikana kimataifa lakin clauds haijulikana hata hapo tu kenya
Nimefungua huu uzi ili niulize swali hilo hiloUmetoroka shule mkuu??
Kama makonda akitumia vyombo vya dola na utawala hapo hawana jinsi ila awaache wapambane bila kuingiza serikali watambaga sekunde mbili tu.Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Kati ya huu mgogoro unaondelea chin chin kati ya wasafi na clouds nimegundua NGUVU YA UMMA IKO NYUMA YA DIOMOND
Yaan japo jana mitandaon watu wenye wafuas wengi walikuwa nyuma ya luge lakin watu wengi ukisoma coment zao wanamuunga mkono diomond kwa nguvu na akili zao zote
Jana nahis clouds walikuwa wanahaha kinoma na kuona kabisa ndo wamefika tamati maana wameshikwa pabaya
Baada ya kusaga kuona biashara yake inaenda kufa maana aliona nguvu ya umma iko nyuma ya wasafi akaomba msamaha fasta kwa salam
Ruge unachoweza ni kulilia mademu tu lakin huna chochote
Siku magufur akimua akuache peke yako makonda atakunyosha kisawa sawa kwa sasa nguvu yako iko kwa magu tu hata wasanii wamekuchoka ile mbaya yaan magu akikuacha tu siku hiyo utaisoma namba
Wasafi wanauwezo wa kuifuta clouds ndan ya week moja na ikabak historia
BOY FROM LONDON
Kwanza ushaanza kumwamkia shemeji yako? Yule kiben ten cha dadako.Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Kati ya huu mgogoro unaondelea chin chin kati ya wasafi na clouds nimegundua NGUVU YA UMMA IKO NYUMA YA DIOMOND
Yaan japo jana mitandaon watu wenye wafuas wengi walikuwa nyuma ya luge lakin watu wengi ukisoma coment zao wanamuunga mkono diomond kwa nguvu na akili zao zote
Jana nahis clouds walikuwa wanahaha kinoma na kuona kabisa ndo wamefika tamati maana wameshikwa pabaya
Baada ya kusaga kuona biashara yake inaenda kufa maana aliona nguvu ya umma iko nyuma ya wasafi akaomba msamaha fasta kwa salam
Ruge unachoweza ni kulilia mademu tu lakin huna chochote
Siku magufur akimua akuache peke yako makonda atakunyosha kisawa sawa kwa sasa nguvu yako iko kwa magu tu hata wasanii wamekuchoka ile mbaya yaan magu akikuacha tu siku hiyo utaisoma namba
Wasafi wanauwezo wa kuifuta clouds ndan ya week moja na ikabak historia
BOY FROM LONDON
Kwani Ruge ni mwenyekiti wa Chama cha Wasanii Tanzania mpaka mwamchoke? Mimi naona wasanii wa Tanzania hawajajitambua ndio maana hawana umoja kila mtu anangalia tumbo lake, nadhani wao wamechangia kuwa na upebari kwenye sanaa yao(hasa mziki na filamu).hata wasanii wamekuchoka ile mbaya yaan magu akikuacha tu siku hiyo utaisoma namba
[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1]Muda wa masomo unapost halafu badae mnamlaumu ndalichako