Truths
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,494
- 1,504
Mkuu,Watu wamesha choshwa Na ukiritimba wa Ruge Mutanjunjizzzz
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.
Kuna Radio nyingi sana nchini ikiwemo vipindinvya burudani nchini,
Q. kwanini hawapeleki Sura zao huko, kama Ruge ni mbaya?.
Kwanini wanalialia tu?
RUGE NI MFANYA BIASHARA KAMA WENGINE. KAMA HUPENDI HUDUMA UNASEPA. SUBSTITUTES ZIPO NYINGI SANA.
TVE, Channel 5, Star tv, Channel 10, Itv, tv1,Abood,Azam Tv, Capital, Mtv, efm, Tbc, just to mentions the few...
Wasanii wana waziri wa Burudani. Na bodi yake kama mtetezi wao.
Tcrs, nk.
So mpaka hapa utagundua mindsets za wasanii ndio kansa inayowatafuna.
Ruge is innocents so far...